Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Mkuu usemalo nimelifikiria sana.
Natamani kuweka jina halisi na kuwa verified user lakini naona gharama yake baadae ni kubwa mno.
 
Sasa mdogo wangu umenitajia favorites people wangu wote huoni kama utanimalizia.???

you're one of the 'toppest' (halipo kwenye kimalkia) girls I do admire humu ndani pia.!!
 
Hakika kupewa tag na role model sio mchezo mzee.. im humbled fam

Hongera Saint Anne kwa kukubalika na huyu kibopa 😊😊😊 and nakukubali pia the REALEST
Toa list yako mzee wangu acha habari nyeusi nitakupasua kichwa kama jana ujue alafu mm usiniweke kwenye top list yako ujue πŸ˜‚ maana najua mm nipo namba 5 na hapa wanataka wa 2 tu ukinitag najua unazingua maana nawajua nitawatag kwa niaba yako ujue 😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Depal ake jamani, najua unaelewa jinsi ninavyokukubali wewe kivuruge wangu.

Ila hili jina lako jipya ulilonitunuku sijui nimekukosea nini, ni kupenda app tu ama kuna kingine. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uhuh nakuelewa dada Monitress πŸ˜‚πŸ˜‚

Hilo jina jipya ni cheo chako asee, haiwezekani mtoto mbichii unatumia app ya wazee
 
Mkuu usemalo nimelifikiria sana.
Natamani kuweka jina halisi na kuwa verified user lakini naona gharama yake baadae ni kubwa mno.
Kuwa verified jf ni mzigo maana unatakiwa kuwa makini sana na kila unachokiandika maana hujui ni andiko lako lipi litatumika kama silaha dhidi yako. Pia kuna mada inabidi uachane nazo kabisa.
Ila ukiwa mtu wa maneno yako na misimamo wako mwenyewe una nafasi kubwa ya kuwa salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…