Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Wapo wengi mzee ila wewe hukosekani kwenye ile top layer ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. yaani night ikifika tukikutana lindoni hali inakuwa shwari
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.
 
Mkuu,wawili ni wachache mno

Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha

Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoรซ mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
Nakukubali pia Joanah wangu, comments zako huwa zinanifurahisha na ninapenda vyenye unawashushua watu wanaokuja na negative energy humu.

Oh and kuweka mambo sawa, Zoรซ ndiye huyo huyo Karma my dear.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.
Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†...
Tutamalizana chimbo usiwaze maana hapa tutafaidisha raia
 
Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†...
Tutamalizana chimbo usiwaze maana hapa tutafaidisha raia
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Utani wa ngumi huu acha niwaachie watu watag watu wao wanaowakubali huu uzi hautaki story tag ukimaliza pita zako mm nishamaliza acha niende zangu ๐Ÿ˜Ž
 
Thanks for that..
Me too you make ma surfing better with your presence

Ngikuthanda kakhulu, Uzoba njalo enhliziyweni yami sithandwa. uyinenjabulo yami, Uyisizathu sami esiyinkulungwane.[emoji173][emoji173][emoji173]
Sina uhakika hiyo lugha mnayoongea ni ipi ila nahisi ni kizulu, Vinci nakuja unipe tafsiri tafadhali kama ni kizulu lakini.

Nakipenda sana kizulu na kama siyo basi
 
Back
Top Bottom