Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Sawa haya chalaza bango lako sasa na ww hapa acha maneno ๐Na umeisha kweli ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa haya chalaza bango lako sasa na ww hapa acha maneno ๐Na umeisha kweli ๐๐๐๐
Daah shukrani kwa kuorodhesha chama letu lote la likesWanafamilia yangu wa LIKES [emoji173][emoji173]
Numbisa The Happiness carbamazepine Saint Anne Khantwe
Davet king himself [emoji3]
SHIMBA YA BUYENZE big bro
andjul uncle maparachichi
capitalpool mr. Codes
ningendako baba kajacho [emoji3][emoji3]
myoyambendi jirani [emoji870]
moudgulf [emoji870][emoji870]
Daemusin babu rojo rojo [emoji262]
Kilugha gani hichoThanks for that..
Me too you make ma surfing better with your presence
Ngikuthanda kakhulu, Uzoba njalo enhliziyweni yami sithandwa. uyinenjabulo yami, Uyisizathu sami esiyinkulungwane.[emoji173][emoji173][emoji173]
๐คฃ๐คฃTujaribu kutaja wapya hawa kila cku wanatajwa na wameshazoea so haiwastui kabisa
Sawa haya chalaza bango lako sasa na ww hapa acha maneno ๐
Acha masikhara
Koh koh koh
Wembamba kwa wembamba...
๐๐๐ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.Wapo wengi mzee ila wewe hukosekani kwenye ile top layer ๐๐๐.. yaani night ikifika tukikutana lindoni hali inakuwa shwari
Nakukubali pia Joanah wangu, comments zako huwa zinanifurahisha na ninapenda vyenye unawashushua watu wanaokuja na negative energy humu.Mkuu,wawili ni wachache mno
Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha
Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoรซ mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
eti babu rojo rojo........wewe mrembo wa arusha unasumbua@Daemusin babu rojo rojo
Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea ๐๐...๐๐๐ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.
I second you[emoji23][emoji23] Aahh wapi...katika vitu vimenishinda maishani mwangu ni unafiki.
๐๐๐ Utani wa ngumi huu acha niwaachie watu watag watu wao wanaowakubali huu uzi hautaki story tag ukimaliza pita zako mm nishamaliza acha niende zangu ๐Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea ๐๐...
Tutamalizana chimbo usiwaze maana hapa tutafaidisha raia
Sina uhakika hiyo lugha mnayoongea ni ipi ila nahisi ni kizulu, Vinci nakuja unipe tafsiri tafadhali kama ni kizulu lakini.Thanks for that..
Me too you make ma surfing better with your presence
Ngikuthanda kakhulu, Uzoba njalo enhliziyweni yami sithandwa. uyinenjabulo yami, Uyisizathu sami esiyinkulungwane.[emoji173][emoji173][emoji173]
๐๐๐eti babu rojo rojo........wewe mrembo wa arusha unasumbua
Hahaha visoap dish jau bana ...mambo yote nyama nyama full kutetema anytime any dayUnajua mifupa imechangamka tofauti na nyama nyama ๐๐
Visoap dish ndo mpango anytime any day
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] nisamehe sana dear muda wote huo nilidhani ulishagundua, mea culpa love.