Yaani huyu hafai kuja humu, bora angeendelea kubaki huko huko πππChukua simuπ€£π€£π€£π€£
Huo uzi sijauona, ni dada gani? Anaitwa nani?Kwa hiyo na dada alindika Uzi wa malalamiko ndio naye mmoja wapo au sio shemeji?
Nalalaje glass bado imejaaa π π πBff mkalale πππ
Anajiona Paul Kagame wa Bongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio pigo zake akiwa porini ananyapia swala [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huamini vipi? Penseli alimtumia lamomy chats zote mwanzo hadi mwisho akiwa anachat na huyo extrovet
Unafki hiki ndio nilikuwa nasema mara kwa mara watu hawataki kuelewa.
Uzuri ubavu hawana sababu walishajimaliza kwako na wanajua una kila kitu kinachowahusu[emoji23][emoji23]Nyie mtasutwa mjue [emoji23][emoji23][emoji23]
Coca nani amekupa ajira na mimi nikaombe[emoji23][emoji23][emoji23]Kasome tyuuh huko juu.
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikaandae mikeka ya kubet kesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uzi utafutwa nishaona dalili
Me nakumbuka na picha walipiga pamoja ya ukumbushoπ πNgoja nimalize glass nimueleze yeye ilikuaje yeye anaangukia kundi lipi. Unajua uzuri aliokua anachat nao kuhusu mademu wa huku walifikisha yote na chats zote kwa cute wife[emoji23]
Ua la kipekee change it to English shemejiππππ akilalamika sana halafu saa hizi kamblockHuo uzi sijauona, ni dada gani? Anaitwa nani?
Useme na yako sasa uliowala humu au tukuitie mwenye pdf lako πππUzuri ubavu hawana sababu walishajimaliza kwako na wanajua una kila kitu kinachowahusu[emoji23][emoji23]
Hapa jangwani tunakula ubuyu huku tunaogelea kwenye mafuriko[emoji23]Mi poa,niliko Hali ni tulivu mvua hakuna ila weather Iko cool...nipo hapa nakula ubuyu mzito mzito wa JF citizens nachekaa sana
Bff unachochea ugomvi πππMe nakumbuka na picha walipiga pamoja ya ukumbushoπ π
πππ dada una mazito weweUa la kipekee change it to English shemejiππππ akilalamika sana halafu saa hizi kamblock
π€£π€£π€£Kiboko ndio hiyo nakunywa hapa.....Ubuyu gani tena mama, sili ubuyu labda unipe juice yake, ichanganywe na ukwajuπ
Da maua πHuo uzi sijauona, ni dada gani? Anaitwa nani?
Rudi umalizie na pdf lako πππ[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikaandae mikeka ya kubet kesho
Huo ndio ukweliKm kweli ni Extro, bas JF ni ya kuiogopaa,
Khaaah mabwakuuuu
Ngoja aje anichambe maana akili zake azijua mwenyewe ππππππ dada una mazito wewe