Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Dada unataka tena na mengine

Watu waangalie waache kama walivyo. Nimemaliza no offense
 
Yesu wanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ile ya Mimi na mama Pasta kwamba tumetoka naye?

Basi tukawa tunajiuliza nani huyo katuzushia sisi? Na tumemkosea Nini? Ili apate Nini?
Mama pasta akasema ukute ni yeye mwenyewe πŸ˜†
Ni yeye πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nani humu wa kuzusha habari ambazo hazijui
 
Marahaba nkamu
Mimi mwenyewe napita kwa nadra tunapishana majukumu yanabana wakati mwingine
Bila shaka uko poa na ka junia kanaendeleaje?
Kapo poa
KanakusalimiaπŸ˜‚

Kweli tunapishana.
Mie nimehamia kijiwe chetu anfield.. stoei za uswahilini siziwezi🀣
 
Akuuu me sijui chochote ndo kwanza I’d yangu joined 2023 [emoji23][emoji23][emoji23]
Joined 2023????? [emoji23]


Hapo sema unataka tu mmoja ajichanganye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ile ya Mimi na mama Pasta kwamba tumetoka naye?

Basi tukawa tunajiuliza nani huyo katuzushia sisi? Na tumemkosea Nini? Ili apate Nini?
Mama pasta akasema ukute ni yeye mwenyewe [emoji38]
Ni yeye mwenyewe, tena mie ningetaka kusema ningesema mapema, ila nilkua namuheshimu mama malezi,

Nilipata ubuyuu kwa member mwingine kabisa kuwa mama malezi kadate na yule babuu, had secrenshots alinipa.

Nkawa najisemea iko siku litalipuka hili ndo tutajua rangi halisi za watu. Kuhusu wee hapana, ila mama malezi ndo nilikua najua.
 
Oyooooooo!! Leo ndo leo
Mambo yapo kweupeeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kapo poa
KanakusalimiaπŸ˜‚

Kweli tunapishana.
Mie nimehamia kijiwe chetu anfield.. stoei za uswahilini siziwezi🀣
Anfied napita mara mojamoja kupata taarifa kutoka kwa wataalamu akina captain
Kasalimie ka junia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…