Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Dada unataka tena na mengineKwahiyo Coca uliahidiwa ajira? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee
Humu wa kumuamini labda Mjep tu ndio huwa hana mbambamba..na sijawahi kuona akiahidi watu ajira
Hata akikupa vocha hakusimangi
nilishangaa Boss ledi kusimangwa Kwa sababu ya hela ambayo mtu binafsi aliamua kutoa[emoji1787]
Akiyanani
Kuna watu siyo wa kupokea hata mia zao
Watu waangalie waache kama walivyo. Nimemaliza no offense