Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Nimecheka sana😁😁😁, jamani mkiwa na nguvu wekaneni, tena kipindi hiki ndio kipindi maalum kabisa. Halafu wakija kuwasema humu mnatupia tu emoj za furahaπŸ‘ŠπŸ’ͺ
Wee wa vipajii ile siku ulisemwa ukafuraa balaaa 🀠!
 
Adui usimuogope
Me nawakanda mpk wanakuja na id mpya, nazo wakija nazo nawapiga spana wanakimbilia kunireport kwa modes

Ss nataka niongee na Mello niikatie bima id yangu isiwe inasumbuliwa na ban πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi kinachonikera humu ni ile mtu kunikomalia as if anajua undani wanguu! Hiko tu ndo sipendagi !Na najua laiti mtu angejua maisha yangu hata robo humu wangeshasimulia kila siku kunihusu wanaishia kuongelea yaleyalee ya miaka 47 !Nacheeeekajeee!

Ukitaka uishi vizuri Jf Usiruhusu watu kukujuaa!
 
Joannah hivi kweli utaninyima kwa maneno ya waja wa jf?😁😁😁 tena wakitusema tunawatumia na shots za maeneo tuliyokula bata. Utafikiri wao hawawekwi😁
 
😁😁😁😁we acha tu, na yule mtoto sijamuona tena toka siku zile, ila wewe ni mlaini sana sana.
Mie najali hata ! Bila shaka u mkongwe humu unajua ningekua mlaini ningeshakimbiaga kitambo sana humuu tena ndiokwanza nataka niirudishe username yangu sema walipita nayo!
 
Km me wanahangaika kunijua sijaona 🀣🀣🀣

Ss hivi wanawatuma watu waniombe namba za simu 🀣🀣🀣

Mbinu za kizamani kweli wanatumia!! Jf kwenyewe naingia kwa VPN
Humu sitoi namba kwa yeyote hata wasijisumbue kwa hilo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe watu mna roho za paka na hamsemii ...anajua sikawii kulia ndio maana kanitoa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe muoga?
Mwenzio nishapambana na ex’s wa Kantry wote nimewafurusha ss hivi tunabaki tunachekeana, wenyewe wamesurrender wameniachia mume
 
Yani jf ukitaka uishi kwa raha Usiruhusu watu kukujuaa kama ni wa kufahaiana nao fahamiana na wachache sana wenye akili timamu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…