Mkuu wangu hata wewe huna imani na Wazee?Hapa umekua mnafki, hizi mambo ndio wengine mnafanya tunafunguka tunaonekana wabaya
Msiwe mnaplay victim card, hizi kuwa innocent huwa mnakosea sana wakati uhalisia haupo hivyo
Nilikuwepo mbona [emoji23][emoji23][emoji23]Shallom..
Sikukuona kabisa siku yetu 09 Nov kama tulivyokubaliana Wanamageuzi hai?
Mimi simsemi mtu, wala siko hapa kukunyang'anya uhuru wako, ninaamini katika uhuru ndio maana huwa najiachia na simwogopi mtu...na vita mimi ni mtu wa vita sana, but kamwe ukiona mtu anasemwa wewe soma pita zako.
Hawa wanaotajwa wanasoma kimya kimya, niamini ipo siku watajibu mapigo wakati wewe umejisahau.
Kibaya zaidi watakupiga kwa id mpya.
Jo...ni ushauri tu, uko huru kufanya lolote, unanijua mimi zungu la roho[emoji23]
Babu jf usiichukulie siriaz kihivo kumbe limekutesa kiakili masikini poleee!Nimefanya juhudi kusoma kuanzia mwanzo hadi hapa, inaonekana kuna Wazee wa aina mbili humu wametajwa.
Bahati mbaya huyo mwingine sijamjua.............ila huyo mwingine ni kama anataka kufananishwa na Mimi.
Inaonekana kuna watu humu wanajaribu kunihusisha na hao wazee wengine wa hovyo ili wapate ya kusema.
Bahati nzuri kwa umri wangu siwezi hata kwa bahati mbaya kutembea na binti yeyote humu. Sio leo wala kesho, sina huo mpango.
Inakuwa ni aibu kwa mtu mzima kumvulia nguo binti mdogo, binafsi sijazoea labda hao wazee wengine wasiojiheshimu.
Kama kuna binti ana uhakika amewahi kulala na Mimi au hata kuonana na mimi aseme hapa, nina zawadi yake ya dollar 35 nimtumie chap saivi.
Wazee wengine tumezoea utani na kufurahi, naomba nisihusishwe na hayo yanayoendelea.
Cheers π»
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£! Kantri the Kibu D Mkandaji π€£π€£π€£!Hapa umekua mnafki, hizi mambo ndio wengine mnafanya tunafunguka tunaonekana wabaya
Msiwe mnaplay victim card, hizi kuwa innocent huwa mnakosea sana wakati uhalisia haupo hivyo
Selfika nilikuwa sipafatilii ila kuna siku nilikuwa namtafuta coca ndo nikaibukia hukoSelfika kule palikua poa sana tulikua tunaselfika hata kama ni kunafkiana ilikua kunafkiana kwa stara palivovamiwa sasaπ€ π€ !!!
Oyaa π€£π€£π€£πHaakufanya powa kabisa, huwezi kuahidi watu ajira Tena l wadada ukawaita alafu ukawachunguza ili baadae uende kuwaponda, haikua fair kabisa
Babu me sina ugomvi naye kabisaaa afu huwezi amini, sema zile hekaheka zake ndo nazipenda nimtanie πππ[emoji23][emoji23] huwezi kumsamhehe yakaisha?
Sema yeye alijimaliza kila sehemu[emoji23][emoji23]
Asante Mjukuu, najua ni utani tu ila kuna Wajukuu wanaweza kuamini kweli..Babu jf usiichukulie siriaz kihivo kumbe limekutesa kiakili masikini poleee!
Binafsi nilikua nakutania tu babuu
kwani ukiwala unadaiwa nanani nyie wote ni watu wazima watu wasiwapangie maisha humu rellaaxx babuu!
Cheers π₯
Yaishe mkuu[emoji119]Mkuu wangu hata wewe huna imani na Wazee?
Mswalie mtume Mkuu [emoji847]
Unajua kuja vitu huwa ngumu kumezea, najitahidi tu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Kantri the Kibu D Mkandaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Lamomy kumekuchaaa hukuuu[emoji1783][emoji1783][emoji16]
Ukanikaribisha na mm, nikajua tu hii shughuli ya kuselfika inaenda mwishoni[emoji23][emoji23]Selfika nilikuwa sipafatilii ila kuna siku nilikuwa namtafuta coca ndo nikaibukia huko
Nilivyofika wee nikaona watu oyaa oyaa full mavibe, mara coca anitambulishe shemeji yangu!
Sijakaa sawa naambiwa chagua mume khaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Namna gani tena? Mara vocha za gombania zinamwagwa watu wanakanyagana kuwahi
Mara naona watu wanatupia foto, nikaona mambo si ndo haya sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikaweka kambi niwasome, nilivyoona humu wanachekeana kwenye maandishi moyoni kila mtu kamshikia mwenzie panga nikaona jau
Kuchunguza vizuri kumbe humo ndani wako wake wenza tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu wanaogopana kupeana makavu
Ghafla akaibuka babu na mabakuli na figo 2
Nao wana crew yao aiseee!!!
Sema tutengeneza series watu wangu tungeuza kinoma, emu tufanyeni jambo ujue kuna visa vingi sana mule tutapiga pesa ndefu wanaselfika
Mkinga na pesa sasa [emoji12]
Ndoivo babuu wee nyani mzee ushakwepa mishale mingi hili lisikuumize kichwa kabisa babuu !Asante Mjukuu, najua ni utani tu ila kuna Wajukuu wanaweza kuamini kweli..
Hata hivyo tunajua nyumba bila Wazee haijakamilika.
Mjitahidi kutulea Wazee wenu jamani π₯
[emoji23][emoji23][emoji23]Babu me sina ugomvi naye kabisaaa afu huwezi amini, sema zile hekaheka zake ndo nazipenda nimtanie [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio jf ilivo!Unajua kuja vitu huwa ngumu kumezea, najitahidi tu[emoji23]
Jf kila mtu innocent
Hannah nipo jf yapata miaka 10 rafiki yangu.[emoji23][emoji23][emoji23]umeujua mchezo wa huku vizuri.
Jf ukiwa na roho nyepesi au unajua kuna kapoint wakikupatia watakuumiza sana inabidi ukae kimya hata usilike mtu akichambwa.
NilikuwepoHivi ulikua wapi kwenye like skendo ??? Ilikua patashika nakwambia!
Tena wewe ndo umechangia selfika kufa πππUkanikaribisha na mm, nikajua tu hii shughuli ya kuselfika inaenda mwishoni[emoji23][emoji23]
Ile siku mpk uzi kufungwa chanzo kumchamba modes na ngunyani zenu nakumbuka vzr πππNilikuwepo
Unavyochambwa nilikuwepo nashuhudia mtu anavyotoka povu Kwa hela aliyoamua kutoa Kwa hiari yake.
Mimi hadi Uzi unafungwa nilikuwepo,, si ndio nilianza kugombana na mods Kwa kunipa ban [emoji38]