Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23] usiwe unanilazimisha kuingia jf bana, napoteza time sana maana naona kila mtu anashangaa mambo ambayo yapo wazi[emoji23][emoji23]

Kila nikitaka kutoka naona sijamaliza[emoji23]
Tatizo hukuweka screenshot zote
Nakumbuka kuna Uzi ulianza kutiririka.. hukumaliza.


Nikatahadharishwa kwamba ni stories za uongo ..
Sasa sijui ni za uongo kweli ama ndio kujihami[emoji1787]
Ukute na mimi nishasemwa na magauni yangu ya mvuto[emoji1787]
 
We wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kantry taratibu emu usinigombanishe na cazee wangu
[emoji23][emoji23][emoji23] sema yamepita tu leo sijui nani kakumbusha hili

Ila hizi tabia bila kusemwa watu hawaachi, humu watajifanya wema Ila wakiwa pembeni wanakua wanafki

Sasa hivi itapungua hii maana watakua hawaaminiani
 
🀣🀣🀣Kiboko ndio hiyo nakunywa hapa.....
Hii crew yenu sio poa aisee😁😁.
Ukitaka ufurahie life la pm, usikubali mazungumzo ya kuwasema watu😁😁
 
Hii crew yenu sio poa aisee😁😁.
Ukitaka ufurahie life la pm, usikubali mazungumzo ya kuwasema watu😁😁
Hapa sio PM,,hao ni mambo hadharani ubuyu umemwaga kwenye wall😁😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sema yamepita tu leo sijui nani kakumbusha hili

Ila hizi tabia bila kusemwa watu hawaachi, humu watajifanya wema Ila wakiwa pembeni wanakua wanafki

Sasa hivi itapungua hii maana watakua hawaaminiani
Mbona yako huweki? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nina pdf lako ujue
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom