Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Narudia, ndogo wako @lmomy ana kifua hawezi kuumia lkn wewe mwenye roho ya ndege a.k.a kuku, usiwachokoze wala kuunga mkono anaposemwa mtu...hii ni kwa faida yako, acha mwanangu
Me SUGU nishaletewa mpk PDF la Kantry na sijali wala nini!!
Ndo kwanza naongeza mahaba km hakuna kitu 🤣🤣🤣🤣

Nilishapewa wanaume sita afu hata mmoja sijawahi kumuona kwa macho ya nyama
Na wala siwajali ndo kwanza nacheka nao 🤣🤣🤣
 
Sijamchokoza mtu mbona jamani G unanisema hivyo🤦🤦🤦
Mimi simsemi mtu, wala siko hapa kukunyang'anya uhuru wako, ninaamini katika uhuru ndio maana huwa najiachia na simwogopi mtu...na vita mimi ni mtu wa vita sana, but kamwe ukiona mtu anasemwa wewe soma pita zako.

Hawa wanaotajwa wanasoma kimya kimya, niamini ipo siku watajibu mapigo wakati wewe umejisahau.

Kibaya zaidi watakupiga kwa id mpya.

Jo...ni ushauri tu, uko huru kufanya lolote, unanijua mimi zungu la roho😂
 
Watu wanajaribu kupika matukio bahati mbaya yote ni ya uongo.

Naishia kucheka tu.........maana ukionesha kukasirika wanaweza kuongeza juhudi wakukere zaidi
Kabisa babu! Sema unafiki ndio umejaa humu hahaaa!
 
Mimi simsemi mtu, wala siko hapa kukunyang'anya uhuru wako, ninaamini katika uhuru ndio maana huwa najiachia na simwogopi mtu...na vita mimi ni mtu wa vita sana, but kamwe ukiona mtu anasemwa wewe soma pita zako.

Hawa wanaotajwa wanasoma kimya kimya, niamini ipo siku watajibu mapigo wakati wewe umejisahau.

Kibaya zaidi watakupiga kwa id mpya.

Jo...ni ushauri tu, uko huru kufanya lolote, unanijua mimi zungu la roho😂
Sawa sawa,nimekupata vyema
 
Me SUGU nishaletewa mpk PDF la Kantry na sijali wala nini!!
Ndo kwanza naongeza mahaba km hakuna kitu 🤣🤣🤣🤣

Nilishapewa wanaume sita afu hata mmoja sijawahi kumuona kwa macho ya nyama
Na wala siwajali ndo kwanza nacheka nao 🤣🤣🤣
Joni mwoga, akishambuliwa anazama pm kunililia...kumbe hajui huwa analipwa alichokisahau.

Wewe na cocastic najua huwa ni ngumu kuumia tena mtu akiku attack mnacheka tu

Mwambie asome asiunge mkono
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom