TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...




What precautions u taking over the matter mate...

You gotta be hard on hardness son
 
Umefikiria nje ya box mkuu. Ni uchambuzi makini sana, Ila ukweli anao yy mwenyewe apologize lady. Hizi zote tunazoziunda ni dhana tu ambazo zinaweza kuwa za kweli au si za kweli kabisa.

Mhusika inabidi afunguke zaidi kama si kwa kutaja ID yake basi atuwekee hata picha ya huyo jamaa.
 
Pole sana dada yangu mpendwa Apologise lady
Hii ni moja ya changamoto katika ulimwengu wa watafutaji....ni kama amekupa somo katika biashara ambapo ni wajibu wako kuelimika.....
Kumbuka ni kama huko mtaani ambapo kuna watu wema na wabaya......lakini kikubwa zaidi ingekuwa vyema kama ungeweka id yake hapa jukwaani ili watu wengi wasiangukie kwenye mitego yake au wasiendelee kuanguka kwenye mitego yake.

Hata kama atabadili id lakini tutaweza kumjua kwa style yake ya uandishi na tutajiepusha nae.....

Pole sana dada yangu....
 
Mtaje...
Unajua ukimtaja ataweka had zile picha zako za whatsapp ulizokuwa unamtumia usiku ili upate hela za escrow kirahisi.

Usitumie moyo wa hasira kumkabili nyati ili hali unajua atakuumiza.
Kutokumtaja ni kujicholesha pia humu na kuanika ukwel wako tofaut na ww unavyodhan unatahadhalisha watu.

Sorry for me by being straight
 
Hata nikikwambia ni nani haitasaidia kwakua akiona huu uzi lazima atabadili ID. Jambo kubwa kumjua kwa sura sio hzi fake ID
Sijaelewa kwa nini hutaki kutoa ID yake. Yaani kuna sababu gani? Kwani hiyo ungewasaidia wengi. Kama mwenyewe unavyosema inaonekana ni tapeli kwa nini unamficha tapeli atazidi kuwapata wengine.
 
Bado haujatusaidia kwa kutofichua ID yake
 
pole sana!
Daah, so sad.
ahsante kwa taarifa itawasaidia wengine
 
Umenitukana sana na uliyoongea mengi ni uongo ila hakuna shida nitakutumia hela yako kesho asubuhi ila naomba usiendelee kunichafua tafadhali, otherwise nitasema ukweli wote tang mwanzo.
 
Umenitukana sana na uliyoongea mengi ni uongo ila hakuna shida nitakutumia hela yako kesho asubuhi ila naomba usiendelee kunichafua tafadhali, otherwise nitasema ukweli wote tang mwanzo.
Hahaaaaa kumbe ni ww mkuu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
hisia zako zimekudanganya mno mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…