mkuu haya mambo ni zaidi ya tulivyoambiwa hapa...tuwaachie wao bana...la muhimu ametupa ONYO!Pole Ila na wewe ni jipu,kumtaja mtu kwamba ni tapeli humu ingesaidia Ila kwa kuficha Haina mantiki ya kuanzisha Uzi.
Inawezekana pia kwa mawazo yako. But uaminifu ni jambo la msingi ikiwa mtu alikusaidia kwa shida zako.
Mkuu....Mim siweki ID ila mtamjua kwa sura kupitia huko polisi alikojipeleka, jambo dogo sana kumjua.
Sasa kama hutaki kuweka ID what good is this thread???.......Mim siweki ID ila mtamjua kwa sura kupitia huko polisi alikojipeleka, jambo dogo sana kumjua.
NitextMkuu....
Please..[emoji120] naomba unitumie I'd yake hata pm aiseee, sababu nina kesi inafanana kama hii, na muhusika aliechukua pesa kwangu yumo humu jf, sasa nina shaka ni mtu anae zunguka kwa gia tofauti
Nashindwa kujua nini mbaya huku jf, from jana najaribu PM hazikuji. Na nilikua na miadi ya biashara na member mmoja hapa jf sasa sjui hawa mod nini mbayaNitext
Kweli kabisa inawezekana safari moja ilianzisha nyingine watu waka kwichi kwichi hotae,mahaba niue mpaka kukopeshana fedha.mkuu haya mambo ni zaidi ya tulivyoambiwa hapa...tuwaachie wao bana...la muhimu ametupa ONYO!
Wait nitakujuza, Natoka rasmi hadi next wkend.Nashindwa kujua nini mbaya huku jf, from jana najaribu PM hazikuji. Na nilikua na miadi ya biashara na member mmoja hapa jf sasa sjui hawa mod nini mbaya
Nimeona mteja wangu wa mapenziAcha kuchanganya biashara na mapenzi...
Unaona sasa madhara yake?!
Kwa style yako kama una mume iyo biashara bora afanye yeye au kama huna tafuta mfanyakazi.. Inaonekana unafanya biashara zaidi ya hiyo ya maziwaNimeona mteja wangu wa mapenzi
Mbona kama unaingilia mambo yangu binafsi na ya familia yangu?Kwa style yako kama una mume iyo biashara bora afanye yeye au kama huna tafuta mfanyakazi.. Inaonekana unafanya biashara zaidi ya hiyo ya maziwa
By the way nita order raba kwako kupitia kwa mtu lakini nimezipenda...
kwanza pole kwa yaliyo kupata. hata mimi wakati nasoma huu uzi nimejiuliza maswali kama hao wajumbe kwamba inakuaje unamdai alafu anazidi kukubomu tena na tena alafu ni mtu mmekutana jf mkaanza kufanya biashara. aisee pole sana kilicho kugharimu hapo ni huruma na imani yako. usikubali pambana upate haki yako.Hivi 120000 ni hela nyingi kiasi cha kushindwa kumsaidia mtu hadi muwe na mahusiano.
Nina mteja zanzibar namtumia mzigo hadi wa 500000 kila wiki, asimjui hanijui tulikutana facebook, hajawah kunidhulumu hata siku siku moja, kuna wakati hata yeye anaweza weka oda mzigo ambao sina mkononi na akaamua ku2ma pesa yake nikaana nayo hata wki 3, na maisha yanaenda kiasi kwamba amekuwa ni zaidi ya mteja kwangu.
Msichojua suala la biashara sio uadui, mteja anaweza kukwama au hata mtoa huduma anaweza kukwama ila ni suala la uaminifu wa kauli tu.
Jifunzeni kwa waliofanikiwa wataelekeza biashara zinafanyikaje.
Kumbe sasa jogoo la shamba linawika mjini. Nilidhani sisi wa shamba tunaibiwa kumbe hata nyie huku chaka mnapahofiaMatapeli wengi Sana humu,Kuna mpuuzi mwingine akajifanya yupo kijijini huko singida na Kuna wadada kibao wa kazi.kwakua nilikua na shida nikaanza kuwasiliana nae,Mara akaniambia amepatikana ongea nae,nikiongea na huyo dada network mbovu nikiongea na huyo dada network mbovu ila simu akiwa nayo huyo tapeli anasikika vzr kabisa.akaniambia tuma hela ya udalali na nauli ya huyo binti.nikamuuliza atapandia basi wapi anasema singida mjini,nikamwambia ukifika stand kesho na huyo bint nakutumia hiyo hela yako,siku hiyo nikatuma 15,000 ya kutokea kijijini,kesho asubuhi akaniambia yupo stand na bint wanasubiri basi,nikamtuma jamaa yangu aenda hapo stand akamcheki huyo jamaa na binti kama anafaa.nikampigia simu kumwambia hivyo na nikamwambia hela yako jamaa anayo hapo hapo stand,baada ya hapo hakupokea simu tena
Kama una roho ya huruma na ubinadamu na kuwaamini wengine ni rahisi sana kufanya kosa kama hilo la kiufundi hasa ukizingatia ushawahi kufika hadi kwake.Nikosa nimelifany, lakin nilimsadia kiungwana tu, kwa kua niliamin ATM yake inatatizo na ilikuwa ni jumapili.
Mkuu kubadili ID ni simple tu ,unatengeneza ID mpya kwa dakika chache tu kwa kutumia details mpya.Atabadili ID kivipi ?? Kuna mtu mwenye access ya kubadilisha ID JF ?? Mimi nachoona ni kwamba kuna kitu upande wa pili wa stori hutaki tujue ,sasa hii mada imekuja hapa kutuambia kuweni makini na kaka jambazi halafu hajulikani ???
Kwa hiyo nikimjua kwa sura kesho akija kunitapeli hapa jamii forum sura yake ndio inatokea ??
Mkuu hilo la kutengeneza ID kwa details tofauti ni swala lingine kabisa ,ID ambayo nasema hatoweza kubadilisha ni hiyo aliyokua anatumia kutapelia na ndio maana tukamwomba bi dada amtaje muhusika ndio hivyo kaweka mgomo baridiMkuu kubadili ID ni simple tu ,unatengeneza ID mpya kwa dakika chache tu kwa kutumia details mpya. Kuna watu humu wana ID hata sita. Anachosema huyu dada yupo sahihi, akiitaja ID , jamaa kesho anakuja na mpya inakuwa haijasaidia kitu.