Tahadhari: Kuna wizi mpya umeingia Dar es Salaam, Vituo vya Daladala tuwe makini

Tahadhari: Kuna wizi mpya umeingia Dar es Salaam, Vituo vya Daladala tuwe makini

Habari,

Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private unakuta wanatangaza kuwa wanafika eneo ambalo nawe ndio unaelekea kwa gharama ndogo kabisa ya sh 1000 (Kumbuka katika story ulishamwambia uyu jamaa wa standi unapoelekea)..

Limemtokea Mtu wangu wa karibu kabisa leo asubuhi, gongo la mboto, alikuwa anaelekea mwenge akaambiwa ad mwenge ni sh 1000, tena anashawishiwa na uyo jamaa ambae walizoeana kwa muda mfupi apo stendi, kwamba kwa sababu ya ugumu wa usafiri na wamekuwa pamoja muda wote uo hivyo anashauri wapande gari hilo, wawahi makazini , tena uyo jamaa ni mzee mtu mzima kabisa ad mvi kichwani kiaina.

Wakawa jumla watu wanne kwenye gari, yaani dereva , Yule jamaa wa stendi , na mtu mwingine ambaye alikuwepo na dereva kabla yan walikuja pamoja na dereva kama na yeye ni abiria, pamoja na uyu Mama (jumla wanne).

Wameendelea na safari ad kufika maeneo ya banana, akashangaa gari linachepukia njia fulani kulia, akuuliza kitu alidhania labda ni shortcut, mda mchache anashangaa watu wale wawili pale nyuma pamoja na Yule mzee wa stendi wamembadilikia wote wamemshikia visu, wanamtaka simu zake zote na namba za siri za mitandao hiyo, mpesa alikuwa na 500,000 airtel money 200,000 (Pesa za michango ya harusi ya binti yake}, aisee wamemchukua pesa zote, begi lake la nguo, pochi, simu, wakamuacha pori uko na nguo alizovaa tu, hivyo akatembea kutoka uko pori ad banana, kuomba nauli kwa wasamalia aweze kurudi gomz alipotokea.

Jamani tuweni makini na hizo private hali ni mbaya sana..
Aisee
 
Jeshi la police la kitaalamu lingeweza ku Crack hii kesi within 3hrs, mawasiliano ya simu na cctv za barabarani zingesaidia na pia biashara zote hasa maduka, petrol stations, ofisi za umma ni LAZIMA wafunge cctv, na zingine lazima ziangalie kwenye barabara, huyu mzee angeitwa na kuangalia mikanda ya cctv na bila shaka angelitambua gari husika
Mkuu, Kwa Tanzania au? 😆
 
[emoji1][emoji1][emoji1] bongo dar es salaam mnaibiwa kuzembe Sana
 
Mkuu, Kwa Tanzania au? 😆
Yes mkuu why hili lisifanyike hapa Tanzania hasa hapa Dar?,Lusaka ipo wired na cctv hata uswahilini, why nasi tusifanye?,tuanzie kwa wafanya biashara wote wawe na cctv kuzunguka maeneo yao na zingine zi face barabara zinazowazunguka,then all malls/supermarkets/petrol stations, then municipalities waweke cctv kwenye barabara zao,Francis Town mji wa pili kwa ukubwa ndani ya Botswana upo wired why sisi tushindwe?,maeneo ya Ubena kuna sign ya speed camera!!,je kuna walioiona hiyo camera?
 
Habari,

Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private unakuta wanatangaza kuwa wanafika eneo ambalo nawe ndio unaelekea kwa gharama ndogo kabisa ya sh 1000 (Kumbuka katika story ulishamwambia uyu jamaa wa standi unapoelekea)..

Limemtokea Mtu wangu wa karibu kabisa leo asubuhi, gongo la mboto, alikuwa anaelekea mwenge akaambiwa ad mwenge ni sh 1000, tena anashawishiwa na uyo jamaa ambae walizoeana kwa muda mfupi apo stendi, kwamba kwa sababu ya ugumu wa usafiri na wamekuwa pamoja muda wote uo hivyo anashauri wapande gari hilo, wawahi makazini , tena uyo jamaa ni mzee mtu mzima kabisa ad mvi kichwani kiaina.

Wakawa jumla watu wanne kwenye gari, yaani dereva , Yule jamaa wa stendi , na mtu mwingine ambaye alikuwepo na dereva kabla yan walikuja pamoja na dereva kama na yeye ni abiria, pamoja na uyu Mama (jumla wanne).

Wameendelea na safari ad kufika maeneo ya banana, akashangaa gari linachepukia njia fulani kulia, akuuliza kitu alidhania labda ni shortcut, mda mchache anashangaa watu wale wawili pale nyuma pamoja na Yule mzee wa stendi wamembadilikia wote wamemshikia visu, wanamtaka simu zake zote na namba za siri za mitandao hiyo, mpesa alikuwa na 500,000 airtel money 200,000 (Pesa za michango ya harusi ya binti yake}, aisee wamemchukua pesa zote, begi lake la nguo, pochi, simu, wakamuacha pori uko na nguo alizovaa tu, hivyo akatembea kutoka uko pori ad banana, kuomba nauli kwa wasamalia aweze kurudi gomz alipotokea.

Jamani tuweni makini na hizo private hali ni mbaya sana..
So Sad
 
Habari,

Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private unakuta wanatangaza kuwa wanafika eneo ambalo nawe ndio unaelekea kwa gharama ndogo kabisa ya sh 1000 (Kumbuka katika story ulishamwambia uyu jamaa wa standi unapoelekea)..

Limemtokea Mtu wangu wa karibu kabisa leo asubuhi, gongo la mboto, alikuwa anaelekea mwenge akaambiwa ad mwenge ni sh 1000, tena anashawishiwa na uyo jamaa ambae walizoeana kwa muda mfupi apo stendi, kwamba kwa sababu ya ugumu wa usafiri na wamekuwa pamoja muda wote uo hivyo anashauri wapande gari hilo, wawahi makazini , tena uyo jamaa ni mzee mtu mzima kabisa ad mvi kichwani kiaina.

Wakawa jumla watu wanne kwenye gari, yaani dereva , Yule jamaa wa stendi , na mtu mwingine ambaye alikuwepo na dereva kabla yan walikuja pamoja na dereva kama na yeye ni abiria, pamoja na uyu Mama (jumla wanne).

Wameendelea na safari ad kufika maeneo ya banana, akashangaa gari linachepukia njia fulani kulia, akuuliza kitu alidhania labda ni shortcut, mda mchache anashangaa watu wale wawili pale nyuma pamoja na Yule mzee wa stendi wamembadilikia wote wamemshikia visu, wanamtaka simu zake zote na namba za siri za mitandao hiyo, mpesa alikuwa na 500,000 airtel money 200,000 (Pesa za michango ya harusi ya binti yake}, aisee wamemchukua pesa zote, begi lake la nguo, pochi, simu, wakamuacha pori uko na nguo alizovaa tu, hivyo akatembea kutoka uko pori ad banana, kuomba nauli kwa wasamalia aweze kurudi gomz alipotokea.

Jamani tuweni makini na hizo private hali ni mbaya sana..
Wizi huu si mpya, Mbagala tunaujua siku nyingi na tunasema usipande vigari usivyovijua pia usikimbilie mbele wala kati ya abiria usiyemfahamu.
 
Inawezekanaje kumzoea stranger kirahisi hivyo.?

Inawezekana vipi.?
 
Mimi toka zamani hata gari za IT Sipandi,bajaji labda ni request bolt na boda pia hivyo hivyo
 
Jeshi la police la kitaalamu lingeweza ku Crack hii kesi within 3hrs, mawasiliano ya simu na cctv za barabarani zingesaidia na pia biashara zote hasa maduka, petrol stations, ofisi za umma ni LAZIMA wafunge cctv, na zingine lazima ziangalie kwenye barabara, huyu mzee angeitwa na kuangalia mikanda ya cctv na bila shaka angelitambua gari husika
Hapa ni Tanzania.Africa kusini kabisa mwa jangwa la Sahara mkuu
 
Habari,

Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private unakuta wanatangaza kuwa wanafika eneo ambalo nawe ndio unaelekea kwa gharama ndogo kabisa ya sh 1000 (Kumbuka katika story ulishamwambia uyu jamaa wa standi unapoelekea)..

Limemtokea Mtu wangu wa karibu kabisa leo asubuhi, gongo la mboto, alikuwa anaelekea mwenge akaambiwa ad mwenge ni sh 1000, tena anashawishiwa na uyo jamaa ambae walizoeana kwa muda mfupi apo stendi, kwamba kwa sababu ya ugumu wa usafiri na wamekuwa pamoja muda wote uo hivyo anashauri wapande gari hilo, wawahi makazini , tena uyo jamaa ni mzee mtu mzima kabisa ad mvi kichwani kiaina.

Wakawa jumla watu wanne kwenye gari, yaani dereva , Yule jamaa wa stendi , na mtu mwingine ambaye alikuwepo na dereva kabla yan walikuja pamoja na dereva kama na yeye ni abiria, pamoja na uyu Mama (jumla wanne).

Wameendelea na safari ad kufika maeneo ya banana, akashangaa gari linachepukia njia fulani kulia, akuuliza kitu alidhania labda ni shortcut, mda mchache anashangaa watu wale wawili pale nyuma pamoja na Yule mzee wa stendi wamembadilikia wote wamemshikia visu, wanamtaka simu zake zote na namba za siri za mitandao hiyo, mpesa alikuwa na 500,000 airtel money 200,000 (Pesa za michango ya harusi ya binti yake}, aisee wamemchukua pesa zote, begi lake la nguo, pochi, simu, wakamuacha pori uko na nguo alizovaa tu, hivyo akatembea kutoka uko pori ad banana, kuomba nauli kwa wasamalia aweze kurudi gomz alipotokea.

Jamani tuweni makini na hizo private hali ni mbaya sana..
Wizi huo sio mpya hapa town labda kwa wewe ulietokea ushirombo jana
 
Ilishanitikea hii,jamaa mmoja alinishtua bro izo bajaji zinaenda hadi sehemu x Kwa buku mbili ukiangalia ilikua saa tatu Usiku,mwamba nikachoma ndani,nikamkuta Kuna jamaa mwingine kashatangulia,nikaekwa katikati,pona yangu dereva hakuwepo tukawa tunamsubiri,Ila nikiziangalia njemba mbili akili haikunipa kabisa kama ni wasafiri,alipokuja dereva akawa kaongozana na jamaa mwingine nayeye akidai ni abiria,wakakaa mbele na dereva,vaa yake huyu jamaa wa tatu akili ikagoma kabisa,ikabidi nimwambie dereva anisubiri nitoe pesa kwenye simu,sikurudi.
Baada ya dakika tano akanifuata yule jamaa wa kwanza 'OYAAA bro hauendi tena' nikamwambia tumbo limenitight natafuta msalani nikajirelies.
Nikawachungulia nikaona wanasepa bila kuongeza abiria,nikajipandia daladala langu huyooo.
 
Habari,

Kuna Wizi Mpya Upo Stendi Za Daladala, hasa asubuhi muda ambao usafiri unasumbua, anatokea jamaa karibu yako nae anajifanya kulalamikia ugumu wa usafiri, na wewe unachukulia ni abiria mwenzio mnaweza kuzoeana kwa muda mkiongelea adha za usafiri, baada ya muda linatokea gari private unakuta wanatangaza kuwa wanafika eneo ambalo nawe ndio unaelekea kwa gharama ndogo kabisa ya sh 1000 (Kumbuka katika story ulishamwambia uyu jamaa wa standi unapoelekea)..

Limemtokea Mtu wangu wa karibu kabisa leo asubuhi, gongo la mboto, alikuwa anaelekea mwenge akaambiwa ad mwenge ni sh 1000, tena anashawishiwa na uyo jamaa ambae walizoeana kwa muda mfupi apo stendi, kwamba kwa sababu ya ugumu wa usafiri na wamekuwa pamoja muda wote uo hivyo anashauri wapande gari hilo, wawahi makazini , tena uyo jamaa ni mzee mtu mzima kabisa ad mvi kichwani kiaina.

Wakawa jumla watu wanne kwenye gari, yaani dereva , Yule jamaa wa stendi , na mtu mwingine ambaye alikuwepo na dereva kabla yan walikuja pamoja na dereva kama na yeye ni abiria, pamoja na uyu Mama (jumla wanne).

Wameendelea na safari ad kufika maeneo ya banana, akashangaa gari linachepukia njia fulani kulia, akuuliza kitu alidhania labda ni shortcut, mda mchache anashangaa watu wale wawili pale nyuma pamoja na Yule mzee wa stendi wamembadilikia wote wamemshikia visu, wanamtaka simu zake zote na namba za siri za mitandao hiyo, mpesa alikuwa na 500,000 airtel money 200,000 (Pesa za michango ya harusi ya binti yake}, aisee wamemchukua pesa zote, begi lake la nguo, pochi, simu, wakamuacha pori uko na nguo alizovaa tu, hivyo akatembea kutoka uko pori ad banana, kuomba nauli kwa wasamalia aweze kurudi gomz alipotokea.

Jamani tuweni makini na hizo private hali ni mbaya sana.
Alitoa pesa kwa wakala gani? Waanzie hapo
 
Asijekua amekula michango ya harusi anatafuta kisingizio.
 
Back
Top Bottom