Tahadhari: Kuna wizi mpya umeingia Dar es Salaam, Vituo vya Daladala tuwe makini

Tahadhari: Kuna wizi mpya umeingia Dar es Salaam, Vituo vya Daladala tuwe makini

Ahsantee kwa taarifa, ila Dar kila siku unaibuka wizi mpyaa, uwiiiih
 
Ukiwa na free soul huwezi kutilia mashaka mtu. Hii inatukuta sana watu ambao ni Extroverts huwa tuna amini watu kirahisi sana. Unless uwe na GPS za asili mwilini ndio ngastuka na machale kundesa.
Inawezekanaje kumzoea stranger kirahisi hivyo.?

Inawezekana vipi.?
 
Jeshi la police la kitaalamu lingeweza ku Crack hii kesi within 3hrs, mawasiliano ya simu na cctv za barabarani zingesaidia na pia biashara zote hasa maduka, petrol stations, ofisi za umma ni LAZIMA wafunge cctv, na zingine lazima ziangalie kwenye barabara, huyu mzee angeitwa na kuangalia mikanda ya cctv na bila shaka angelitambua gari husika
Nchi maskini zinaendeshwa na mabeberu. Mitandao mingi ya wizi ina connection na wakubwa. Mambo mengine ni formality tu
 
Yes mkuu why hili lisifanyike hapa Tanzania hasa hapa Dar?,Lusaka ipo wired na cctv hata uswahilini, why nasi tusifanye?,tuanzie kwa wafanya biashara wote wawe na cctv kuzunguka maeneo yao na zingine zi face barabara zinazowazunguka,then all malls/supermarkets/petrol stations, then municipalities waweke cctv kwenye barabara zao,Francis Town mji wa pili kwa ukubwa ndani ya Botswana upo wired why sisi tushindwe?,maeneo ya Ubena kuna sign ya speed camera!!,je kuna walioiona hiyo camera?
Yule jamaa aliyekuwaga waziri wa mambo ya ndani. Kitwanga alikuwa na idea hii. Sijui in kilimchelewesha.
 
Hao wezi,kuchukua simu tu,ingewakamatisha.Pole kwa muhanga.
 
Back
Top Bottom