ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,874
Wasanii wengi wa Bongo Flavour wameamua kujiunga na kufanya music pamoja kama makundi. Ni jambo jema na zuri kabisa. Tunapata music mzuri wenye radha nzuri tofauti kutoka kwao. Wanasaidiana na kuinuana kimziki katika level za juu. Lakini hebu tujikumbushe makundi ya music yaliyokuwa bora na baadae kutawanyika au kupoteza mwelekeo kimuziki au pengine kufunikana na kusuasua.
1. Boys 2 men
2. Back street Boys
3. West life
4. P square
5. Destiny Child
6. Black eye pies
Je, nini kiliyasibu makundi haya, yakadorora kimziki au pengine kila mmoja kushika njia yake?
Basi makundi ya mziki ya Bongo flavour yachukue tahadhari kabla hayajafikwa na dhahama kama hii.
Hebu chukua kundi moja la mziki wa bongo flavour hapa Bongo then lipe miaka 10 mbele. Je litakuwaje?
Tafakari na chukua hatua.
USHAURI: Ni vizuri wanamuziki wetu wakasaidiana katika mawazo na collaboration/Featuring/Duet zaidi kuliko kufanya kazi kama makundi. Makundi hayana mwisho mzuri.
1. Boys 2 men
2. Back street Boys
3. West life
4. P square
5. Destiny Child
6. Black eye pies
Je, nini kiliyasibu makundi haya, yakadorora kimziki au pengine kila mmoja kushika njia yake?
Basi makundi ya mziki ya Bongo flavour yachukue tahadhari kabla hayajafikwa na dhahama kama hii.
Hebu chukua kundi moja la mziki wa bongo flavour hapa Bongo then lipe miaka 10 mbele. Je litakuwaje?
Tafakari na chukua hatua.
USHAURI: Ni vizuri wanamuziki wetu wakasaidiana katika mawazo na collaboration/Featuring/Duet zaidi kuliko kufanya kazi kama makundi. Makundi hayana mwisho mzuri.