othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Umejuaje kama nina mke? Kama vp uwe mke wangu uje unipikie, magu outUwezo hata wa kugombana na mkeo huna unafosi kupingana na serikali kama si kushiba ni nini.
Wewe na mafanikio uliyonayo kuna baadhi ya ndugu pia hawakumind vilr vile wanakuona muchknow tu hawana muda na wewe sembuse yeye,ndo democracy hiyo wewe ngiri[emoji848][emoji848]Imenisahngaza sana yaani Chato tu hawamtaki nani sasa atamtaka?
Ataachwa babaako labda na mama yako na sio magu kuongoza tz.Umejuaje kama nina mke? Kama vp uwe mke wangu uje unipikie, magu out
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Unalewa serengeti za wagombea unakunya kunya humu shwaini. Subiri tuwaonyeshe nini kitengo kaz yake.
Magu labda aje aongoze familia na ukoo wenu ombaomba lkn Tz hana kibali tena amechokwaAtaachwa babaako labda na mama yako na sio magu kuongoza tz.
Anzisha hizo fyoko fyoko unazotamba nazo humu kwa hiyo id fake ndo ujue tupo ama hatupo,tunatamba au hatutambi.Kitengo mna nini, wanaume wazima mnatumikishwa na wanaume wenzenu. Mje mjiajiri kama sisi wanaume wenzenu muone ugumu wa maisha kama hamjaolewa. Unatambia hela za wanaume kisha unajifanya mjanja?
Hehehe wana chato leo watamlaza mtu na viatu.Wewe na mafanikio uliyonayo kuna baadhi ya ndugu pia hawakumind vilr vile wanakuona muchknow tu hawana muda na wewe sembuse yeye,ndo democracy hiyo wewe ngiri[emoji848][emoji848]
Hana kila mahali wamemkataaMagu labda aje aongoze familia na ukoo wenu ombaomba lkn Tz hana kibali tena amechokwa
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Anzisha hizo fyoko fyoko unazotamba nazo humu kwa hiyo id fake ndo ujue tupo ama hatupo,tunatamba au hatutambi.
Sa we unataka wote tujiajiri si itakuwa fujo,wewe kweli ni mbwa. Mfumo wa maisha haupo hivyo wewe bwege.Nasema hivi, mwanaume kabisa anayeweza kutamba mbele ya wanaume ni Yule aliyejiajiri. Ww kama umeajiriwa ni mrembo tu kama warembo wengine. Baki hapo kwenye ajira utumwe na wanaume wenzio ujitahidi kupunguza masikini kwenye ukoo wenu. Washamba ndio kuwa wanajivunia matumimizi ya mabavu, lakini sisi tuliokulia mjini tunatumia akili ndio maana tumejiajiri.
Sa we unataka wote tujiajiri si itakuwa fujo,wewe kweli ni mbwa. Mfumo wa maisha haupo hivyo wewe bwege.
Hayo ni mawazo yako ya kibwege,ukijua mtu kama ameajiriwa bas hawez kuwa na biashara au miradi mingine ya maendeleo kalagabaho[emoji42] mnahisi makampuni na vitu vingine mnavyoviona kwemye uso wa dunia ni nyie tu ambao ndo mnajiita ma hustle bwege wewe.Sio lazima sote tujiajiri hilo ni kweli kabisa, lakini kwa mwanaume anayetumia akili lazima ajiajiri, maana hawezi kuwa mtumwa wa wanaume wenzake. Watu wanaotegemea nguvu zaidi kuliko akili, ndio hutetemekea ajira kama ww maana hawana ujanja nje ya ajira. Kama unauwezo wa akili na sio nguvu nyingi akili kidogo, toka kwenye ajira kama hujapauka kama umejipaka mafuta ya taa.
Heshima kwenu wakuu" system"
Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote.
Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na wafuasi wengi lakini mlifanya maamuzi muhimu. Hata hivyo chaguo lililofata nalo limeshindwa kutufikisha Watanzania kwenye lengo.
Ninyi" system" baadhi yenu mmeona wazi wazi Kiongozi mwenye mapenzi mema na chaguo la wananchi kwa sasa.
Tunaomba muendelee kulinda heshima ya nchi yetu.
Akishindwa hakuna haja ya kumbeba mbeleko maana alibebwa na amameshindwa kujibeba na habebeki hata akipewa nafasi nyingine tena. Na akishinda basi tunaomba atangazwe ili sisi watanzania tuendelee na Rais tunayemtaka.
Asanteni na kazi njema.
Keep your eyes open!View attachment 1598315
Nakataa, kama kweli kuna kinachoitwa system, then nao ni sehemu ya ujinga tunao ushuhudia miaka nenda rudi.
Hayo ni mawazo yako ya kibwege,ukijua mtu kama ameajiriwa bas hawez kuwa na biashara au miradi mingine ya maendeleo kalagabaho[emoji42] mnahisi makampuni na vitu vingine mnavyoviona kwemye uso wa dunia ni nyie tu ambao ndo mnajiita ma hustle bwege wewe.
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.kama una dora kushinda ni kazima africa... dont waste your time
Nyomi lilikuwepo toka enzi za mrema na sio kigezo cha kukubalika wewe mbwiga, waganga wa kienyeji wanajaza watu kwenye tiba zao wakiweka spika kubwa. TAFAKARIKila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.
Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha
Sent using Jamii Forums mobile app
ccm warashinda kivyovyote tuNyomi lilikuwepo toka enzi za mrema na sio kigezo cha kukubalika wewe mbwiga, waganga wa kienyeji wanajaza watu kwenye tiba zao wakiweka spika kubwa. TAFAKARI
Kushinda kupo tu. RAIS NI MAGUFULIccm warashinda kivyovyote tu