Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

Tahadhari na ushauri kwa system: Msimwonee haya mtu, akishindwa achaneni naye na akishinda atangazwe

Heshima kwenu wakuu" system"

Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote.

Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na wafuasi wengi lakini mlifanya maamuzi muhimu. Hata hivyo chaguo lililofata nalo limeshindwa kutufikisha Watanzania kwenye lengo.

Ninyi" system" baadhi yenu mmeona wazi wazi Kiongozi mwenye mapenzi mema na chaguo la wananchi kwa sasa.

Tunaomba muendelee kulinda heshima ya nchi yetu.

Akishindwa hakuna haja ya kumbeba mbeleko maana alibebwa na amameshindwa kujibeba na habebeki hata akipewa nafasi nyingine tena. Na akishinda basi tunaomba atangazwe ili sisi watanzania tuendelee na Rais tunayemtaka.

Asanteni na kazi njema.

Keep your eyes open!View attachment 1598315
Kwa vigezo gani huyo unayemshabikia atakuwa Rais wa Tanzania?

Mtu jeuri asiye na heshima

Mamluki

Mbinafsi

Mropokaji

Mwenye majivuno ya kishamba

Labda Rais wa wafuasi wake humu JV na mitandao ya kijamii

 
Watu walikuwa wanapiga nyomi na wakatoka kapa toka kitambo.
 
Wameshagundua hawezi kushinda Mkuu ndiyo sababu wameanza figisu figisu za kurusha mawe, kutumia Tume FAKE kuzuia kampeni na polisiccm kufyatua risasi za moto na mabomu ya machozi.
Heshima kwenu wakuu" system"

Sasa ni dhahili nyie waendeleazaji na waongozaji wa Taifa mmeona ukweli ulipo. Sasa mnaona nini watanzania wanataka. Ninyi mna macho na masikio mawili mawili mnasikia na kuona kuliko mtu yeyote.

Mwaka 2015 mlitusaidia kuondokana na Lowasa japo alionekana kuwa na wafuasi wengi lakini mlifanya maamuzi muhimu. Hata hivyo chaguo lililofata nalo limeshindwa kutufikisha Watanzania kwenye lengo.

Ninyi" system" baadhi yenu mmeona wazi wazi Kiongozi mwenye mapenzi mema na chaguo la wananchi kwa sasa.

Tunaomba muendelee kulinda heshima ya nchi yetu.

Akishindwa hakuna haja ya kumbeba mbeleko maana alibebwa na amameshindwa kujibeba na habebeki hata akipewa nafasi nyingine tena. Na akishinda basi tunaomba atangazwe ili sisi watanzania tuendelee na Rais tunayemtaka.

Asanteni na kazi njema.

Keep your eyes open!View attachment 1598315
 
Eti Maccm hayataki TunduALissu alale Chato, yaani ni hivi mtake msitake leo TL atalala chato, nyie si mnajikuta watalaam wa kutoa roho za watu basi jaribuni leo muone, nyambafuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamlea hana madhara huyo,wakiamua kumpa akitafutacho anapewa tena mapema mno. Mbona leo tumepata gawio na hamsemi. Malofa nyie.
 
Kama hawapendi kufokewa Kama watoto wadogo

Kuwepewa demotion zisizo na kichwa Wala miguu .

Kutukankwa shangazi zao au kudhalilishwa kwennye TV .

Kuwa Sadia ndugu zao wanaopigiaka mtaani kwa kukosa ajira na kipato cha uhakika

Wanapaswa kufanya maamuzi magumu sana juu ya hii nchi .

Weneztu mfano marekani huwa Wanaapa mbelenya bendera wakipiga salute na kusema "wataiteea nchi dhidi ya maadui wa nje na wa ndani hata Kama hi sitting president"

Hapa kwetu sijui Kama ipo hii

Mi naona wanajiende endea u ili mradi kuna posho[emoji44]
 
Wanamlea hana madhara huyo,wakiamua kumpa akitafutacho anapewa tena mapema mno. Mbona leo tumepata gawio na hamsemi. Malofa nyie.
Hehee hawana uwezo huo. Gawio katangaze nyumbani kwenu mbona unalazimisha kiki??
 
Hehee hawana uwezo huo. Gawio katangaze nyumbani kwenu mbona unalazimisha kiki??
Mbona alisema ataendelea na kampeni hata baada ya kufungiwa then akajilazimisha kupanda mwendokasi alihofia nn.
 
Moto wa Mlima Kilimanjaro unavyozimwa KIMASIKINI huwezi kuamini ndio TANAPA hii inayotoa 'GAWIO' kubwa serikalini huku ikishangiliwa na machoko wa Mataga,


Uvccm wanachokiweza kwa sasa ni kupiga mawe misafara ya Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom