Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uwii Nimepata kinyaa.
PUTO hilo sio mchezoBaadhi ya wafugaji kuku wanawawapa vidonge vya ARVView attachment 2738137
umekimbia bandani unaenda kula vibudu vya puguuUwii Nimepata kinyaa.
Nimekumbuka nilivyokuwa naokota kuku bandani wakiwa wamedondoka, roho inauma hata kubeba siwezi.
Kumbe ndio tunaolishwa mijini[emoji23][emoji23]
Mi ndo maana huwa sili kuku mtaani,,ntakula mishkaki ya ng'ombe tu.
Kuku wa plasticMiaka mingi mimi kuku wa kisasa sili kabisa, sio kuku wale
Unapika mbn vizury mchuzi sema rosti syo km hiyo mimaji MN wote ataishia jikoniHawa wa kienyeji. Wa kizungu huwezi pika na mchuzi.
Kikubwa na cha muhimu kuliko vyote ni faidaHatari sana hii
Binadamu hawana hofu ya Mungu kabisa
Mbaya sana
Hao ndio binadamu wanaojiita wamestaatabika na kuwaita wanyama hayawaniMbaya sana
Yaani bora wanyama sasaHao ndio binadamu wanaojiita wamestaatabika na kuwaita wanyama hayawani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha Rehema za Mungu.Africa maisha yetu ni rehema zake Mungu na wema wake ndio unatupa uhai kila siku aijuae yeye.
Waafrika wana ishi kimazoea sana bila kufuata kanuni za kiafya na ulaji.Hilo sasa ni mtihani!
"Chips kuku" halafu uwe makini!
Jambo hilo ni gumu sana kulibaini kama ilivyo vigumu ngamia kupita kwenye tundu la sindano!
"Uzuri" ni kwamba, magonjwa mengi yasababishayo vifo vya kuku, kwa binadamu hayana madhara.
Ingelikuwa kama antrax ilivyo kwa wanyama, Dar yangelibakia ni magofu kama mwendo ni huo!
Kikubwa kabla ya kuanza kufakamia misosi, tusalini sana kumuomba Mungu atuepushe na ubaya utokanao na chakula tunachokula.
Maana utakwepa ya vibudu, utakumbana na ya expired ama amira!