Yupo dada ana page insta anajiita Veethriftstore anauza vitu used. Jina lake halisi ni Victoria. Nilitaka kununua washing machine used mwezi wa 6 akadai hela kabla nikarusha, delivery akasema baada ya siku 2. Mpaka leo siku 2 hazijafika na kufatilia refund ofisini kwake nikakuta mtu mwingine naye anadai refund amekata mpaka RB.Mimi nikaambiwa mzigo wangu haujafika. Baada ya kufatilia sana kwa simu, maana ofisini hawafungui tena hata geti, nikajibiwa nisimtishe. Bado namwona yupo insta analiza watu kule...ila dawa yake inachemka