TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Asante sana Mzee Mtambuzi, bila kuelewa kumbe huwa ninafanya Tahajudi ila sio kwa ukamilifu... Na ninapofanya naona kile nilichokifanyia Tahajudi katika ndoto.... Ngoja niwe nafanya kwa ukamilifu ili nikione live sio katika ndoto tena!!
 
Last edited by a moderator:
Kwanza shukrani kwa pachiko, pili hongera kwa kujielimisha na wewe vilevile kama ilivyo kwetu wasomaji.

Inasemekana nusu ya wakazi wa Dar ama walio katika miji mikubwa ni nusu-vichaa kwa sababu ya kutokutulia wala kupata muda wa kulala vya kutosha. Wengi hushinda barbarani, kwenye daladala na ukiwa nyumbani kamwe huna utulivu. Usiposikia kelele za majirani basi utasikia mtoto akilia au gari likipiga honi au kelele za mwizi angalau jirani yako kafungulia redio hiyoooooo.

Ukifuatailia kwa miaka kadhaa wewe mkazi wa kenye miji hujawahi kuwa Kimya bali unashinda kwenye kelele na hivyo huwezi kuisikia asili ikikuliwaza... (nature au Mungu).


Inaelezwa pia kuwa Meditation ni raha ya kuuona mwanga wako wa ndani na sauti (inner light and sound).



ONYO!!!
Usiinuke haraka baada ya meditation. Kaa kidogo kama dakika tano kwani kuinuka ghafla sio vyema sana.


 
mbwembwe tu...maisha ya kibongo tahajudi hakuna na bunge la katiba hili
 
Mtambuzi na Pasco nina kaswali kwenu kwenye tahajudi ya mkono na ya mshumaa,wakati unaifanya tahajudi ya mkono na umesema kama utaifanya vyema basi basi utaona kiganja kinainuka na kwenda kuligusa paji lako la uso na kurudi juu ya mapaja hali kadhalika tahajudi ya mshumaa ukiyatupa humo mambo ambayo huyataki/uliyoambiwa huyawezi utaona mwanga wa mshumaa unaongezeka,
swali : ni kweli tahajudi ya mshumaa mwanga wa mshumaa unaongezeka au fikra zako ulizjiwekea ndo zinakufanya uuone ule mwanga unaongezeka kwa maana mtu wa pembeni(thhird part) nae anaweza akaona ule uongezekaji wa mwanga wa mshumaa??
Pia swali hili hili linaenda kwa tahajudi ya mkono third part nae anaweza kuona ule uiinkaji wa kiganja cha mkono kutoka kwenye mapaja kwenye taji la uso au ni mfanyaji tahajudi tu ndo anaeona?(participant) kutokana na mawazo/meditation/high concentration aliyojiwekea kwenye hiyo tahajudi
 
Last edited by a moderator:
Tahajudi ni pamoja na kuishi maisha ya kutafakari yasiyo na mipaka yoyote ya kimamlaka au kimalezi. Hapo ndio utaweza kuwa na fikra huru. Where there is authority there is no freedom.
 
vitu vingine ukifanya badala ya kurelax unaweza kujikuta unaona sura za marehemu...
 
  • Thanks
Reactions: Izc
Mtambuzi nimeiona Babu yangu ila ni ndefu na inahitaji utulivu. Nitarudi, asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu@Mtambuzi katika izo aina 11 za tahajudi ni ipi nzuri kuanza nayo me nataka nijaribu iyo ya sauti ila nitavuta bange kwanza vip kuna ubaya?
 
Nawashangaa sana hasa watanzania wanaopenda kuchukuliwa na kila aina ya upepo. Hii ni dini, paganism, kuna watu wanaonekana kuhamasika na kuanza kujifunza au kujaribu wakati huo huo wanajiita wakristo! Hakika hamjui mlitendalo! Soma hapa:

Meditation - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuna aina nyingine ya paganism inayofanana na hii nayo ni scientology: Scientology - Wikipedia, the free encyclopedia na zingine Pasco alishawahi kuzielezea zinaitwa psychic powers: List of psychic abilities - Wikipedia, the free encyclopedia

Hizi ni imani za kipagani, nazo ni derivatives au components za wicca: Wicca - Wikipedia, the free encyclopedia, witchcraft: Witchcraft - Wikipedia, the free encyclopedia, spells: Spell (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia na magic: Magic (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu Mtambuzi unadriki kusema wakristo wanatumia rozari! Rozari ndio nini na wapi wakristo wameambiwa waitumie kwenye Biblia? Sema Waroma (organization) sio wakristo.

Jamani waonyeni watu wasiende katika njia hizi ziendazo upotevuni.

CC: warumi, Samaritan, Majimoto, Himidini, Ablessed, everlenk, LORDVILLE
 
Last edited by a moderator:
Before you join the party...Fahamu kuwa ''meditation" is a Cult. pia na zaidi ya yote ni Anti-God. kama unaamini uwepo wa mungu ipo siku utaacha dini yako.
fanya utafiti binafsi.

Afadhali umewaambia mkuu, watu wengi ni wapumbavu wa kutupa, yaani wanaibukia tu vitu bila kuvichunguza!
 
Nawashangaa sana hasa watanzania wanaopenda kuchukuliwa na kila aina ya upepo. Hii ni dini, paganism, kuna watu wanaonekana kuhamasika na kuanza kujifunza au kujaribu wakati huo huo wanajiita wakristo! Hakika hamjui mlitendalo! Soma hapa:

Meditation - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuna aina nyingine ya paganism inayofanana na hii nayo ni scientology: Scientology - Wikipedia, the free encyclopedia na zingine Pasco alishawahi kuzielezea zinaitwa psychic powers: List of psychic abilities - Wikipedia, the free encyclopedia

Hizi ni imani za kipagani, nazo ni derivatives au components za wicca: Wicca - Wikipedia, the free encyclopedia, witchcraft: Witchcraft - Wikipedia, the free encyclopedia, spells: Spell (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia na magic: Magic (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu Mtambuzi unadriki kusema wakristo wanatumia rozari! Rozari ndio nini na wapi wakristo wameambiwa waitumie kwenye Biblia? Sema Waroma (organization) sio wakristo.

Jamani waonyeni watu wasiende katika njia hizi ziendazo upotevuni.

CC: warumi, Samaritan, Majimoto, Himidini, Ablessed, everlenk, LORDVILLE
Mkuu LifeHacker,

Usitake kudanganya watu humu na kuwatisha kuhusu Tahajudi/meditation na kuilinganisha na paganisim, hadi kuwatishia kuwa ni uchawi!. No!, sio kweli!.

Meditation ni concentration on focus to gain insight ambayo ndio source of powers!.

Hata Yesu alifanya meditation!.

Kwenye mada yangu hii [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo Ila Hawajitambua!.[/h]Nimezungumzia Sisi binadamu wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, God is Power!, na ametupa hizo powers kwa kila mmoja wetu, (Omnipresence), pale alipotupulizia pumzi ya uhai!. Ili kuweza kuzitumia hizo powers, lazima ufanye meditation to get insight, na kuzifungulia zilikofungiwa!.

Kwenye uzi ule, pia nilimzungumzia shetani na source yake, na nikawatahadhirisha watu humu kuwa hata shetani, naye pia ana powers na pia yuko popote, na ili kuzitumia nguvu za shetani, pia watu hufanya meditation!.

Pia nikatoa somo kuhusu Nguvu za Mungu ni "Nguvu za Mwanga" (Powers of Light) na nguvu za shetani ni "nguvu za giza", "powers of darkness" na kutoa angalizo kubwa na makini kabisa kuwa "the deviding line" between "Powers of Light" and "powers of darkness" ni very thin!. Nikasema Yesu alituonya kuwa sio kila anayeita "Bwana Bwana!", ni wangu!", "Watakuja watu, watafanya ishara kwa jina langu lakini sio wangu!", akimaanisha sio kila Mhubiri anayefanya miujiza kwa kuhubiri kwa Jina la Yesu, ndio anatumia nguvu za Mungu!, wengine wanatumia nguvu za giza!. Wako wengi wetu humu duniani, wanafuata dini fulani na mafundisho fulani wakidhani ndio wanamtumikia Mungu, kumbe wanamtumia shetani bila kujijua kwa sababu shetani nae ana nguvu na amepozi kama mungu!.

Ili kuweza kuijua "kweli" ni lazima ufanye meditation, ili uweze kufunuliwa!.

Hata baadhi ya Walokole kibao tuu, kwenye ibada zao za mikesha, wanafanya meditation, na pale wanapofunuliwa na kunena kwa lugha, wengi wakiamini huyo ndio "Roho Mtakatifu!", its not necessarily so!, nyingine ni "liroho!" hivyo bila meditation huwezi kuijua kweli na bila kujua unaweza kuingizwa chaka!.

Mkuu Mtambuzi yuko very right, watu wafanye Tahajudi wajitambue!. Hata wewe Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker) nilikusoma mahali uko deep!, kitendo tuu cha kushika vitabu vitakatifu kama Biblia Takatifu au Quaraan Tukufu, kuvisoma huku umetulia!, ni Tahajudi Tosha!.

Pasco.
 
Mkuu LifeHacker,

Usitake kudanganya watu humu na kuwatisha kuhusu Tahajudi/meditation na kuilinganisha na paganisim, hadi kuwatishia kuwa ni uchawi!. No!, sio kweli!.

Meditation ni concentration on focus to gain insight ambayo ndio source of powers!.

Hata Yesu alifanya meditation!.

Kwenye mada yangu hii Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo Ila Hawajitambua!.

Nimezungumzia Sisi binadamu wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, God is Power!, na ametupa hizo powers kwa kila mmoja wetu, (Omnipresence), pale alipotupulizia pumzi ya uhai!. Ili kuweza kuzitumia hizo powers, lazima ufanye meditation to get insight, na kuzifungulia zilikofungiwa!.

Kwenye uzi ule, pia nilimzungumzia shetani na source yake, na nikawatahadhirisha watu humu kuwa hata shetani, naye pia ana powers na pia yuko popote, na ili kuzitumia nguvu za shetani, pia watu hufanya meditation!.

Pia nikatoa somo kuhusu Nguvu za Mungu ni "Nguvu za Mwanga" (Powers of Light) na nguvu za shetani ni "nguvu za giza", "powers of darkness" na kutoa angalizo kubwa na makini kabisa kuwa "the deviding line" between "Powers of Light" and "powers of darkness" ni very thin!. Nikasema Yesu alituonya kuwa sio kila anayeita "Bwana Bwana!", ni wangu!", "Watakuja watu, watafanya ishara kwa jina langu lakini sio wangu!", akimaanisha sio kila Mhubiri anayefanya miujiza kwa kuhubiri kwa Jina la Yesu, ndio anatumia nguvu za Mungu!, wengine wanatumia nguvu za giza!. Wako wengi wetu humu duniani, wanafuata dini fulani na mafundisho fulani wakidhani ndio wanamtumikia Mungu, kumbe wanamtumia shetani bila kujijua kwa sababu shetani nae ana nguvu na amepozi kama mungu!.

Ili kuweza kuijua "kweli" ni lazima ufanye meditation, ili uweze kufunuliwa!.

Hata baadhi ya Walokole kibao tuu, kwenye ibada zao za mikesha, wanafanya meditation, na pale wanapofunuliwa na kunena kwa lugha, wengi wakiamini huyo ndio "Roho Mtakatifu!", its not necessarily so!, nyingine ni "liroho!" hivyo bila meditation huwezi kuijua kweli na bila kujua unaweza kuingizwa chaka!.

Mkuu Mtambuzi yuko very right, watu wafanye Tahajudi wajitambue!. Hata wewe Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker) nilikusoma mahali uko deep!, kitendo tuu cha kushika vitabu vitakatifu kama Biblia Takatifu au Quaraan Tukufu, kuvisoma huku umetulia!, ni Tahajudi Tosha!.

Pasco.

Mkuu Pasco,

Ufunuo au kupata insight kwa mkristo kupo kwenye Biblia na mtu hahitaji kufanya meditation ili aweze kufunuliwa, bali kwa kusikia Neno kwa usahihi, kulisoma na kwa kuomba ili Roho wa Mungu amwongoze katika kulielewa na kulitenda. Neno meditation kama lilivyotumika kwenye Biblia lina maana ya kutafakari kwa makini au kwa kina kuhusu jambo fulani "to think, conteplate, devise, ponder" sometimes to "sigh or murmur", Biblia haiwaambii watu wafanye practices kama alivyoonyesha Mtambuzi.

Yesu hakufanya meditation (kwa jinsi mlivyoielezea) na wala hakuhitaji kwa sababu Yeye ni AllMighty: Omnipotence - All powerful, Omnipresence - He is not limited by time and space, He is everywhere at all times, Ominiscience - All Knowing.

Kwa mjibu wako au wengine meditation lengo lake ni kumpa mtu focus, insights na powers, Yesu ni Mungu na Nguvu, uwezo, mamlaka, insights zote zatoka kwake, na ni designer wa foci, sasa afanye meditation ili iweje? Ili nani ampe uwezo gani? He is infinite God.

Biblia inaposema mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu unadhani maana yake ni kwamba anaweza kuwa na nguvu na uwezo kama Mungu? La hasha, nguvu za Mungu hata 1 over trillion mwanadamu hana. Mungu anaposema mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake huhusianisha zaidi na mambo ya utakatifu - kwamba mwanadamu anaweza kuendelea kubadilika na kufanana naye kwa kuwa na utakatifu au ameumbwa na asili ya utakatifu kama alivyo Mungu na atakuwa mtakatifu kamili (kwa waliookoka) siku atakaponyakuliwa na kwenda mbinguni. Kwa habari ya nguvu Mungu amesema kila leo mwanadamu uwezo wake ni very limited.

Hauhitaji kufanya meditation kama ulivyoilezea ili kuijua kweli - Neno la Mungu ni kweli, and it's very apparent. Meditation ni imani, iwapo utaigeukia hiyo na kuacha imani ya Kikristo unamtumikia mungu mwingine na sio Mungu wa Biblia. Mtu anafunuliwa kwa njia ya Roho Mtakatifu kupitia Neno la Mungu.

Na kuhusu habari ya kunena kwa lugha ni ishara ambazo zilifanywa wakati mitume wanasimika Neno la Mungu (wakati wanaweka msingi). Kwa sasa hizo huduma zimesitishwa, hazipo. Kunena kwa lugha sio kelele zisizokuwa na mpangilio wenye maana au kuongea lugha ambazo haziexist kama wafanyavyo watu siku hizi, bali ni mtu asiyejua lugha fulani kupata uwezo wa kuiongea kiufasaha na pia Biblia inasema katika kanisa wanaweza kunena wawili au watatu na lazima awepo mtu wa kutafsiri. Mfano mzuri ni siku ya Pentekoste, watu walinena kilugha kwa maana ya kuongea lugha ambayo hapo awali hawakuwahi kujifunza wala kuijua na watu wengine waliweza kusikia na kuelewa walichokuwa wakisema na kushangaa. Unakuta watu wanalia kanisa zima halafu milio kama ya wanyama na ndege huku hakuna mfasiri hata mmoja! Hiyo sio kunena kilugha ni drama/movie.

Mtu anapata Roho mtakatifu pale tu anapompokea Kristo. Wokovu, kupokea Roho mtakatifu, kusamehewa dhambi; vyote vinatokea concurrently.

Kuijua kweli ni kupitia Neno la Mungu na si vinginevyo. Na Neno la Mungu linasema ukiwa na Imani ndogo tu kama punje ya haradali unaweza hata kuhamisha mlima (hiyo nguvu umeiongelea)! Unaona kwamba haya mambo yanafanyika kwa imani. Sawa imani inaweza kuwa ni ya giza au mwanga kama ulivyosema.

Meditation ni "cult", ni kitu kinachooshiria imani nyingine, inahusisha alteration of mind na kucreate scenes ya mambo ambayo hayapo, badala ya kumfanya mtu ajitambue inamfanya awe convoluted kwa sababu anakuwa subjected to an environment where he/she does not fit naturally.

Meditation ni dini/imani

"Meditation has been practiced since antiquity as a component of numerous religious traditions and beliefs.[SUP][6][/SUP]" - wiki.

"The history of meditation is intimately bound up with the religious context within which it was practiced." - wiki

Kuna references nyingi including vitabu vinavyoelezea how meditation the way you have stipulated is a religion/belief system. Kama nilivyosema, meditation, scientology, wicca, spell, magic, witchcraft ni intermingled practices in the sense that they borrow from each other!

Labda juve2012 na 2013 wana mchango wao kuhusu hili
 
Mkuu Pasco,

Ufunuo au kupata insight kwa mkristo kupo kwenye Biblia na mtu hahitaji kufanya meditation ili aweze kufunuliwa, bali kwa kusikia Neno kwa usahihi, kulisoma na kwa kuomba ili Roho wa Mungu amwongoze katika kulielewa na kulitenda. Neno meditation kama lilivyotumika kwenye Biblia lina maana ya kutafakari kwa makini au kwa kina kuhusu jambo fulani "to think, conteplate, devise, ponder" sometimes to "sigh or murmur", Biblia haiwaambii watu wafanye practices kama alivyoonyesha Mtambuzi.

Yesu hakufanya meditation (kwa jinsi mlivyoielezea) na wala hakuhitaji kwa sababu Yeye ni AllMighty: Omnipotence - All powerful, Omnipresence - He is not limited by time and space, He is everywhere at all times, Ominiscience - All Knowing.

Kwa mjibu wako au wengine meditation lengo lake ni kumpa mtu focus, insights na powers, Yesu ni Mungu na Nguvu, uwezo, mamlaka, insights zote zatoka kwake, na ni designer wa foci, sasa afanye meditation ili iweje? Ili nani ampe uwezo gani? He is infinite God.

Biblia inaposema mwanadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu unadhani maana yake ni kwamba anaweza kuwa na nguvu na uwezo kama Mungu? La hasha, nguvu za Mungu hata 1 over trillion mwanadamu hana. Mungu anaposema mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake huhusianisha zaidi na mambo ya utakatifu - kwamba mwanadamu anaweza kuendelea kubadilika na kufanana naye kwa kuwa na utakatifu au ameumbwa na asili ya utakatifu kama alivyo Mungu na atakuwa mtakatifu kamili (kwa waliookoka) siku atakaponyakuliwa na kwenda mbinguni. Kwa habari ya nguvu Mungu amesema kila leo mwanadamu uwezo wake ni very limited.

Hauhitaji kufanya meditation kama ulivyoilezea ili kuijua kweli - Neno la Mungu ni kweli, and it's very apparent. Meditation ni imani, iwapo utaigeukia hiyo na kuacha imani ya Kikristo unamtumikia mungu mwingine na sio Mungu wa Biblia. Mtu anafunuliwa kwa njia ya Roho Mtakatifu kupitia Neno la Mungu.

Na kuhusu habari ya kunena kwa lugha ni ishara ambazo zilifanywa wakati mitume wanasimika Neno la Mungu (wakati wanaweka msingi). Kwa sasa hizo huduma zimesitishwa, hazipo. Kunena kwa lugha sio kelele zisizokuwa na mpangilio wenye maana au kuongea lugha ambazo haziexist kama wafanyavyo watu siku hizi, bali ni mtu asiyejua lugha fulani kupata uwezo wa kuiongea kiufasaha na pia Biblia inasema katika kanisa wanaweza kunena wawili au watatu na lazima awepo mtu wa kutafsiri. Mfano mzuri ni siku ya Pentekoste, watu walinena kilugha kwa maana ya kuongea lugha ambayo hapo awali hawakuwahi kujifunza wala kuijua na watu wengine waliweza kusikia na kuelewa walichokuwa wakisema na kushangaa. Unakuta watu wanalia kanisa zima halafu milio kama ya wanyama na ndege huku hakuna mfasiri hata mmoja! Hiyo sio kunena kilugha ni drama/movie.

Mtu anapata Roho mtakatifu pale tu anapompokea Kristo. Wokovu, kupokea Roho mtakatifu, kusamehewa dhambi; vyote vinatokea concurrently.

Kuijua kweli ni kupitia Neno la Mungu na si vinginevyo. Na Neno la Mungu linasema ukiwa na Imani ndogo tu kama punje ya haradali unaweza hata kuhamisha mlima (hiyo nguvu umeiongelea)! Unaona kwamba haya mambo yanafanyika kwa imani. Sawa imani inaweza kuwa ni ya giza au mwanga kama ulivyosema.

Meditation ni "cult", ni kitu kinachooshiria imani nyingine, inahusisha alteration of mind na kucreate scenes ya mambo ambayo hayapo, badala ya kumfanya mtu ajitambue inamfanya awe convoluted kwa sababu anakuwa subjected to an environment where he/she does not fit naturally.

Meditation ni dini/imani

"Meditation has been practiced since antiquity as a component of numerous religious traditions and beliefs.[SUP][6][/SUP]" - wiki.

"The history of meditation is intimately bound up with the religious context within which it was practiced." - wiki

Kuna references nyingi including vitabu vinavyoelezea how meditation the way you have stipulated is a religion/belief system. Kama nilivyosema, meditation, scientology, wicca, spell, magic, witchcraft ni intermingled practices in the sense that they borrow from each other!

Labda juve2012 na 2013 wana mchango wao kuhusu hili

Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker), kuna mengi unayozungumza, nakubaliana na wewe, tofauti yetu ni moja tuu, limitations of boundaries, kwa uwezo wako wa thinking kuwa limited to the Bible na hapo ndipo limit yako, huwezi kwenda over and above kwa sababu umeishaamua kukaa ndani ya box!.

Kwa mlio ndani ya box hilo, kwenu dini ni Christianity only!, wengine wote kwako ni wapagani!.
Kwa kukusaidia tuu, Christianity ni dini ya juzi juzi tuu, ilianza miaka 1980 tuu iliyopita!. Dini kama Hinduism na Budhiism.

When in Rome, do as the Romans does, hivyo nimeishi India briefly, naomba nikupatie the simple dose ya Hinduism, sijasema
some ili shame dini yako, bali soma ili kuongeza marina na ufahamu wako beyond The Holly Bible!.
Huko Meditation ilianza kitambo, Yesu akaja akaikuta, aka meditate, akaondoka ameacha Christianity na watu wana meditate, na tunaendelea ku meditate!.

HINDUISM

  • Hinduism is the oldest religion in the world.
  • It is the third largest religion, with approximately 1 billion followers worldwide, 98 percent of whom live in the Indian subcontinent. After including Yoga followers, Hinduism has around 1.2 billion followers worldwide.
  • The only official Hindu state in the world is Nepal . India is the most Hindu-populated nation, but it is officially secular.
  • Many Hindus view all religions as one whole religion. The reason for this is due to the notion that Hindus don't believe that Hinduism is a religion in the first place. There is no one main prophet, no main scripture, no date of when the religion was created, and scripture uses the word Hindu. People who follow the Hindu faith don't generally preach their religion as the "one true religion" over other religions. It is generally taught that if one can find another path that works better, then it is fine to follow a different path, instead of a Hindu path.
  • Hinduism is the most pacifist religion in the world. There is a statistic that says that India has never invaded another country in the last 10,000 years. Social workers help out the underprivileged but missionaries are non-existent. Hinduism believes that religion is just a path to God, who is present in everything and everyone.

Origins of Hinduism
• There is no specific date as to when Hinduism was formed. It was considered by the Europeans to have been in existence from around 1500-3000 B.C., parallel to the beginning of the Egyptian and the Mesopotamian civilizations and that the Aryan invasion catalyzed this. This theory was pushed by Nazi Germany. However, many now think that there was no Aryan invasion theory, & therefore Hinduism has always been out of and part of ancient India .
• Hinduism is not even an accurate Sanskrit word. The word Hindu was a label given by Muslim invaders invading Ancient India. There is a river called the Indus River which was in Ancient India & is now in present day Pakistan . The Muslim invaders mispronounced the people living by the river & instead of calling them the Indus people, they instead called them the Hindus people.
• Hinduism cannot be called an organized religion. Rather, it is a federation of loosely banded religions and cultures. Whereas the majority of other religions are based on a person or prophet, Hinduism has no main prophet or person that founded the religion. Many people of Hindu faith do not consider Buddhism, Sikhism, & Jainism to be separate from them.
Tenets of Hinduism

  • Religion to the Hindu is the native search for the divine within the Self, the search to find the One truth that in actuality never was lost.
  • What can be said to be common to all Hindus is belief in Dharma, karma, and moksha (liberation) of every soul through a variety of moral, action-based, and meditative yogas. Still more fundamental principles include ahimsa (non-violence), the guru/chela dynamic, the Divine Word of OM and the power of mantras, love of Truth in many manifestations as Gods and Goddesses, and an understanding that the essential spark of the Divine (Atman/Brahman) is in every human and living being, thus allowing for many spiritual paths leading to the One Unitary Truth.
  • An example of the pervasiveness of this paramount truth-seeking spirituality in daily life is the laltika (or bindi) , which is a religious symbol denoting marriage. It is sometimes also said to symbolise the need to cultivate supramental consciousness, which is achieved by opening the mystic "third eye."
Four Goals of Life

    1. Kama - pleasure, physical or emotional.
    2. Artha - power, fame and wealth.
    3. Dharma �With maturity, one learns to govern Kama and Artha in the pragmatic framework of dharma, or moral harmony for all.
    4. Moksha � The only true, infinite goal: liberation from samsara or reincarnation, the cycle of life, death, and existential duality.
Four Stages of Life
Based on the assumption that a man lives for 100 years.
• Brahmacharya � 1 to 25 years. Spent in celibate, sober and pure contemplation of life's secrets under a Guru, building up body and mind for the responsibilities of life. Brahmacharya is the phase where a human obtains knowledge of God and the world, while learning to keep strict control of his mind, senses and body.
• Grihasthya � 25 to 50 years. The householder's stage, alternatively known as samsara, in which one marries and satisfies karma and artha within a married life and professional career.
• Vanaprastha - 50 to 75 years. The gradual detachment from the material world, ostensibly giving over duties to one's sons and daughters, spending more time in contemplation of the truth, and making holy pilgrimages.
• Sanyasa � 75 to 100 years. The individual goes off into seclusion, often envisioned as the forest, to find God through Yogic meditation and peacefully shed the body for the next life.
Four major denominations in Hinduism
Hinduism does not teach god as having one true form. It is believed that because god is the almighty, god is everywhere & everything; he/she has no one main identity. It is incorrect when it is taught that Hindus believe in more then one god. In actuality it is that Hindus believe in one almighty power that a human can't comprehend as "one true main form," hence the reason why there are many different versions of this one true form. To be Hindu you have the option of praying to some or all the different forms of the higher power, or to just pray to one almighty power.
Monists believing in different manifestations of the same God � often confused with polytheism.
• Smarthism � Main tenet is the monist belief in the sameness of all the deities, and its conceptualization of the myriad deities of India as various manifestations of the one divine power. The Supreme Court of India defines Hinduism using the Smarthi school of thought, as it is the most secular.
• Vaishnavism - the branch of Hinduism in which Vishnu or one of his avatars is worshipped as the supreme God and is a monotheistic faith. Followers of Vaishnavism are called Vaishnavites.
• Saivism - branch of Hinduism that worships Siva as the Supreme God. Followers of Saivism are called Saivas or Saivites. Saivism is a monotheistic faith. It is parallel to Vaishnavism in its monotheistic belief; its supreme God is the only difference.
• Shaktism - a denomination of Hinduism that worships Shakti, or Devi -- the Hindu name for the Great Mother -- in all of her forms whilst not rejecting the importance of masculine and neuter divinity. In pure Shaktism, the Great Goddess, or Devi, is worshiped as nothing less than the highest divinity, Supreme Brahman Itself, the "one without a second," with all other forms of Divinity, female or male, considered as merely her diverse manifestations.
The Four Vedas
Hindus believe that the Vedas existed since time immemorial as vibrations in space, some portions of which are believed to have been perceived by seers and transmitted accordingly via an oral tradition. The four books are:
1. Rig Veda � oldest and longest. This long collection of short hymns is mostly devoted to the praise of the gods. However, it also contains fragmentary references to historical events, notably the struggle between the early Vedic people (known as Aryans, more precisely Indo-Aryans) and their enemies, the Dasa.
2. Yajur Veda - contains religious texts focusing on liturgy and ritual.
3. Sama Veda - consists chiefly of hymns to be chanted by the Udgatar priests at the performance of those important sacrifices in which the juice of the Soma plant, clarified and mixed with milk and other ingredients, was offered in libation to various deities.
4. Atharva-Veda � the last Veda, contains hymns, especially dedicated to the Fire deity.

Caste System
The four varnas (literally, 'colours') or castes once had equal standing in the society and were based upon the duties to society. These duties worked together towards the welfare of a society. Caste in the older days is similar to caste in todays world. There are those who are preachers, soldiers, skilled workers, & those who have low-income jobs. It was never meant as the negative view that people have today of caste.
• Brahmins � the priestly caste.
• Kshatriyas � a member of the military or reigning order
• Vaishyas � mercantile caste.
• Shudras - traditional roles providing menial labor, which was not necessarily unclean.
Religious Symbols/ Customs
Om - Aum is the standard sign of Hinduism, and is prefixed and sometimes suffixed to all Hindu mantras and prayers. It contains an enormous and diverse amount of symbolism; Hindus consider its sound and vibration to be the divine representation of existence, encompassing all of manifold nature into the One eternal truth. Thus it represents the supreme energy or Brahman.
Ahimsa and Cow - Ahimsa means �non-violence.' Hindus believe in a transcendent as well as an immanent God. Thus, in a bid to respect the higher forms of life, many Hindus are vegetarians, limiting their diet to vegetables and plants.
The cow is an important, sacred animal in Hinduism. This reverence probably stemmed from the value that was placed on the cow and bullock in an agricultural country, and evolved into obtaining a religious sentiment. Some Gods have cows or buffalos as their sacred animal consorts. Hindus abstain from eating beef and even try to avoid leather products.
Swastika - is an Arya, or noble symbol. It stands for satya, truth, and stability within the power of Brahma or, alternatively, of Surya, the sun. Its rotation in four directions has been used to represent many ideas, but primarily describes the four directions and their harmonious whole. It has been used in Hinduism since the early Vedic culture and is still widespread in the Indian subcontinent.
Pasco
 
Back
Top Bottom