TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Nawashangaa sana hasa watanzania wanaopenda kuchukuliwa na kila aina ya upepo. Hii ni dini, paganism, kuna watu wanaonekana kuhamasika na kuanza kujifunza au kujaribu wakati huo huo wanajiita wakristo! Hakika hamjui mlitendalo! Soma hapa:

Meditation - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuna aina nyingine ya paganism inayofanana na hii nayo ni scientology: Scientology - Wikipedia, the free encyclopedia na zingine Pasco alishawahi kuzielezea zinaitwa psychic powers: List of psychic abilities - Wikipedia, the free encyclopedia

Hizi ni imani za kipagani, nazo ni derivatives au components za wicca: Wicca - Wikipedia, the free encyclopedia, witchcraft: Witchcraft - Wikipedia, the free encyclopedia, spells: Spell (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia na magic: Magic (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu Mtambuzi unadriki kusema wakristo wanatumia rozari! Rozari ndio nini na wapi wakristo wameambiwa waitumie kwenye Biblia? Sema Waroma (organization) sio wakristo.

Jamani waonyeni watu wasiende katika njia hizi ziendazo upotevuni.

CC: warumi, Samaritan, Majimoto, Himidini, Ablessed, everlenk, LORDVILLE

Wacha wee...
Unaogopa nini?
 
Last edited by a moderator:

Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker), kuna mengi unayozungumza, nakubaliana na wewe, tofauti yetu ni moja tuu, limitations of boundaries, kwa uwezo wako wa thinking kuwa limited to the Bible na hapo ndipo limit yako, huwezi kwenda over and above k
Kwa mlio ndani ya box hilo, kwenu dini ni Christianity only!, wengine wote kwako ni wapagani!.
Kwa kukusaidia tuu, Christianity ni dini ya juzi juzi tuu, ilianza miaka 1980 tuu iliyopita!. Dini kama Hinduism na Budhiism.

When in Rome, do as the Romans does, hivyo nimeishi India briefly, naomba nikupatie the simple dose ya Hinduism, sijasema
some ili shame dini yako, bali soma ili kuongeza marina na ufahamu wako beyond The Holly Bible!.
Huko Meditation ilianza kitambo, Yesu akaja akaikuta, aka meditate, akaondoka ameacha Christianity na watu wana meditate, na tunaendelea ku meditate!.

HINDUISM

  • Hinduism is the oldest religion in the world.
  • It is the third largest religion, with approximately 1 billion followers worldwide, 98 percent of whom live in the Indian subcontinent. After including Yoga followers, Hinduism has around 1.2 billion followers worldwide.
  • The only official Hindu state in the world is Nepal . India is the most Hindu-populated nation, but it is officially secular.
  • Many Hindus view all religions as one whole religion. The reason for this is due to the notion that Hindus don't believe that Hinduism is a religion in the first place. There is no one main prophet, no main scripture, no date of when the religion was created, and scripture uses the word Hindu. People who follow the Hindu faith don't generally preach their religion as the "one true religion" over other religions. It is generally taught that if one can find another path that works better, then it is fine to follow a different path, instead of a Hindu path.
  • Hinduism is the most pacifist religion in the world. There is a statistic that says that India has never invaded another country in the last 10,000 years. Social workers help out the underprivileged but missionaries are non-existent. Hinduism believes that religion is just a path to God, who is present in everything and everyone.

Origins of Hinduism
• There is no specific date as to when Hinduism was formed. It was considered by the Europeans to have been in existence from around 1500-3000 B.C., parallel to the beginning of the Egyptian and the Mesopotamian civilizations and that the Aryan invasion catalyzed this. This theory was pushed by Nazi Germany. However, many now think that there was no Aryan invasion theory, & therefore Hinduism has always been out of and part of ancient India .
• Hinduism is not even an accurate Sanskrit word. The word Hindu was a label given by Muslim invaders invading Ancient India. There is a river called the Indus River which was in Ancient India & is now in present day Pakistan . The Muslim invaders mispronounced the people living by the river & instead of calling them the Indus people, they instead called them the Hindus people.
• Hinduism cannot be called an organized religion. Rather, it is a federation of loosely banded religions and cultures. Whereas the majority of other religions are based on a person or prophet, Hinduism has no main prophet or person that founded the religion. Many people of Hindu faith do not consider Buddhism, Sikhism, & Jainism to be separate from them.
Tenets of Hinduism

  • Religion to the Hindu is the native search for the divine within the Self, the search to find the One truth that in actuality never was lost.
  • What can be said to be common to all Hindus is belief in Dharma, karma, and moksha (liberation) of every soul through a variety of moral, action-based, and meditative yogas. Still more fundamental principles include ahimsa (non-violence), the guru/chela dynamic, the Divine Word of OM and the power of mantras, love of Truth in many manifestations as Gods and Goddesses, and an understanding that the essential spark of the Divine (Atman/Brahman) is in every human and living being, thus allowing for many spiritual paths leading to the One Unitary Truth.
  • An example of the pervasiveness of this paramount truth-seeking spirituality in daily life is the laltika (or bindi) , which is a religious symbol denoting marriage. It is sometimes also said to symbolise the need to cultivate supramental consciousness, which is achieved by opening the mystic "third eye."
Four Goals of Life

    1. Kama - pleasure, physical or emotional.
    2. Artha - power, fame and wealth.
    3. Dharma �With maturity, one learns to govern Kama and Artha in the pragmatic framework of dharma, or moral harmony for all.
    4. Moksha � The only true, infinite goal: liberation from samsara or reincarnation, the cycle of life, death, and existential duality.
Four Stages of Life
Based on the assumption that a man lives for 100 years.
• Brahmacharya � 1 to 25 years. Spent in celibate, sober and pure contemplation of life's secrets under a Guru, building up body and mind for the responsibilities of life. Brahmacharya is the phase where a human obtains knowledge of God and the world, while learning to keep strict control of his mind, senses and body.
• Grihasthya � 25 to 50 years. The householder's stage, alternatively known as samsara, in which one marries and satisfies karma and artha within a married life and professional career.
• Vanaprastha - 50 to 75 years. The gradual detachment from the material world, ostensibly giving over duties to one's sons and daughters, spending more time in contemplation of the truth, and making holy pilgrimages.
• Sanyasa � 75 to 100 years. The individual goes off into seclusion, often envisioned as the forest, to find God through Yogic meditation and peacefully shed the body for the next life.
Four major denominations in Hinduism
Hinduism does not teach god as having one true form. It is believed that because god is the almighty, god is everywhere & everything; he/she has no one main identity. It is incorrect when it is taught that Hindus believe in more then one god. In actuality it is that Hindus believe in one almighty power that a human can't comprehend as "one true main form," hence the reason why there are many different versions of this one true form. To be Hindu you have the option of praying to some or all the different forms of the higher power, or to just pray to one almighty power.
Monists believing in different manifestations of the same God � often confused with polytheism.
• Smarthism � Main tenet is the monist belief in the sameness of all the deities, and its conceptualization of the myriad deities of India as various manifestations of the one divine power. The Supreme Court of India defines Hinduism using the Smarthi school of thought, as it is the most secular.
• Vaishnavism - the branch of Hinduism in which Vishnu or one of his avatars is worshipped as the supreme God and is a monotheistic faith. Followers of Vaishnavism are called Vaishnavites.
• Saivism - branch of Hinduism that worships Siva as the Supreme God. Followers of Saivism are called Saivas or Saivites. Saivism is a monotheistic faith. It is parallel to Vaishnavism in its monotheistic belief; its supreme God is the only difference.
• Shaktism - a denomination of Hinduism that worships Shakti, or Devi -- the Hindu name for the Great Mother -- in all of her forms whilst not rejecting the importance of masculine and neuter divinity. In pure Shaktism, the Great Goddess, or Devi, is worshiped as nothing less than the highest divinity, Supreme Brahman Itself, the "one without a second," with all other forms of Divinity, female or male, considered as merely her diverse manifestations.
The Four Vedas
Hindus believe that the Vedas existed since time immemorial as vibrations in space, some portions of which are believed to have been perceived by seers and transmitted accordingly via an oral tradition. The four books are:
1. Rig Veda � oldest and longest. This long collection of short hymns is mostly devoted to the praise of the gods. However, it also contains fragmentary references to historical events, notably the struggle between the early Vedic people (known as Aryans, more precisely Indo-Aryans) and their enemies, the Dasa.
2. Yajur Veda - contains religious texts focusing on liturgy and ritual.
3. Sama Veda - consists chiefly of hymns to be chanted by the Udgatar priests at the performance of those important sacrifices in which the juice of the Soma plant, clarified and mixed with milk and other ingredients, was offered in libation to various deities.
4. Atharva-Veda � the last Veda, contains hymns, especially dedicated to the Fire deity.

Caste System
The four varnas (literally, 'colours') or castes once had equal standing in the society and were based upon the duties to society. These duties worked together towards the welfare of a society. Caste in the older days is similar to caste in todays world. There are those who are preachers, soldiers, skilled workers, & those who have low-income jobs. It was never meant as the negative view that people have today of caste.
• Brahmins � the priestly caste.
• Kshatriyas � a member of the military or reigning order
• Vaishyas � mercantile caste.
• Shudras - traditional roles providing menial labor, which was not necessarily unclean.
Religious Symbols/ Customs
Om - Aum is the standard sign of Hinduism, and is prefixed and sometimes suffixed to all Hindu mantras and prayers. It contains an enormous and diverse amount of symbolism; Hindus consider its sound and vibration to be the divine representation of existence, encompassing all of manifold nature into the One eternal truth. Thus it represents the supreme energy or Brahman.
Ahimsa and Cow - Ahimsa means �non-violence.' Hindus believe in a transcendent as well as an immanent God. Thus, in a bid to respect the higher forms of life, many Hindus are vegetarians, limiting their diet to vegetables and plants.
The cow is an important, sacred animal in Hinduism. This reverence probably stemmed from the value that was placed on the cow and bullock in an agricultural country, and evolved into obtaining a religious sentiment. Some Gods have cows or buffalos as their sacred animal consorts. Hindus abstain from eating beef and even try to avoid leather products.
Swastika - is an Arya, or noble symbol. It stands for satya, truth, and stability within the power of Brahma or, alternatively, of Surya, the sun. Its rotation in four directions has been used to represent many ideas, but primarily describes the four directions and their harmonious whole. It has been used in Hinduism since the early Vedic culture and is still widespread in the Indian subcontinent.
Pasco



Mkuu Pasco mie ni mtu ninayependa kwenda beyond hata kusoma na kuchunguza mambo ambayo siyapractice. Inawezekana hujanielewa vizuri. Hayo unayoeleza wewe na Mtambuzi ni sahihi kwa mtazamo wa interests na imani zenu.

Concern yangu sio kama wewe uko sahihi au sio shahihi, bali ni kwamba meditation ni moja ya derivatives za practices, belief systems ambazo ni against christianity.

Ninachotaka kusema ni kuwa, kama mtu ni mkristo na anajua maana ya kuwa mkristo hatakiwa kupractice meditation kwa sababu ni kinyume na imani yake. Meditation ni ibada ya kuabudu vitu vingine na kuacha njia alizotoa Mungu wa kwenye Biblia za kufanya na kufanikisha mambo ya mwanadamu ya kila siku. Biblia imetuambia tujibidishe sana katika kutafuta maarifa, ndio maana katika kupekua kwangu nimeweza kujua meditation ni kitu gani, and simply ni paganism. Kwa namna hiyo naweza kutofautisha mabaya na mazuri, yapi ya kufuata na yapi sio.

Popote palipoandikwa kwenye Biblia neno meditation linamaanisha ""to think, conteplate, devise, ponder" sometimes to "sigh or murmur".

Wapi kwenye Biblia pameandikwa Yesu alimeditate kwa maana unayoielezea wewe?

Imani zote ambazo hazina coherence na ukristo ni paganism, kama vile waislamu wanavyoamini yeyote ambaye sio mwislamu ni kafiri.
 
Meditation (uliyoilezea wewe) ina mchanganyiko wa vitu ambavyo vingine vinaweza kukubalika kwa imani ya kikristo, mfano to calm yourself, think deeply, sit in a quite place to read a Bible or pray, kutenga muda kila siku kumeditate with the God our Father. Katika ukristo kwa kifupi meditation ni kutenga muda katika hali ya utulivu "quite time" kwa nia ya kucommunicate na Mungu kupitia maandiko, maombi au tafakari ya aina yoyote kuhusu Mungu au Neno lake. Hii ndio meditation inayoelezewa kwenye Biblia.

Lakini meditation unayoielezea Wewe na Mtambuzi inaembrace na kuborrow a lot from paganism, in that sense the whole thing ni paganism, kwa sababu Neno la Mungu halitaki mchanganyiko.

CC Pasco
 
Pasco acha uongo ukristo haujaanza miaka ya 1980.
Mdukuzi, unapomuita mtu ni muongo, ni busara ukiuweka ukweli ili kuuonyesha uongo wangu.

Nijuavyo mimi ukikristu ulianza mara tuu baafa ya kufa kwa Masiya.

Yesu alizaliwa mwaka 1. Aliishi kwa miaka 33, alipokufa ndipo Ukristu ukaanza!.

Pasco
 
Angalia hapa unasema nini,



Mkuu Pasco mie ni mtu ninayependa kwenda beyond hata kusoma na kuchunguza mambo ambayo siyapractice. Inawezekana hujanielewa vizuri. Hayo unayoeleza wewe na Mtambuzi ni sahihi kwa mtazamo wa interests na imani zenu.

Concern yangu sio kama wewe uko sahihi au sio shahihi, bali ni kwamba meditation ni moja ya derivatives za practices, belief systems ambazo ni against christianity.

Ninachotaka kusema ni kuwa, kama mtu ni mkristo na anajua maana ya kuwa mkristo hatakiwa kupractice meditation kwa sababu ni kinyume na imani yake. Meditation ni ibada ya kuabudu vitu vingine na kuacha njia alizotoa Mungu wa kwenye Biblia za kufanya na kufanikisha mambo ya mwanadamu ya kila siku. Biblia imetuambia tujibidishe sana katika kutafuta maarifa, ndio maana katika kupekua kwangu nimeweza kujua meditation ni kitu gani, and simply ni paganism. Kwa namna hiyo naweza kutofautisha mabaya na mazuri, yapi ya kufuata na yapi sio.

Popote palipoandikwa kwenye Biblia neno meditation linamaanisha ""to think, conteplate, devise, ponder" sometimes to "sigh or murmur".

Wapi kwenye Biblia pameandikwa Yesu alimeditate kwa maana unayoielezea wewe?

Imani zote ambazo hazina coherence na ukristo ni paganism, kama vile waislamu wanavyoamini yeyote ambaye sio mwislamu ni kafiri.
Na hapa jee, unasema nini kuhusu meditation!.
Meditation (uliyoilezea wewe) ina mchanganyiko wa vitu ambavyo vingine vinaweza kukubalika kwa imani ya kikristo, mfano to calm yourself, think deeply, sit in a quite place to read a Bible or pray, kutenga muda kila siku kumeditate with the God our Father. Katika ukristo kwa kifupi meditation ni kutenga muda katika hali ya utulivu "quite time" kwa nia ya kucommunicate na Mungu kupitia maandiko, maombi au tafakari ya aina yoyote kuhusu Mungu au Neno lake. Hii ndio meditation inayoelezewa kwenye Biblia.

Lakini meditation unayoielezea Wewe na Mtambuzi inaembrace na kuborrow a lot from paganism, in that sense the whole thing ni paganism, kwa sababu Neno la Mungu halitaki mchanganyiko.
CC Pasco
Meditation is simply concentration, mara use me ni paganism, mara useme
Meditation (uliyoilezea wewe) ina mchanganyiko wa vitu ambavyo vingine vinaweza kukubalika kwa imani ya kikristo, mfano to calm yourself, think deeply, sit in a quite place to read a Bible or pray, kutenga muda kila siku kumeditate with the God our Father.
Ukiisha ji confine ndani ya Bibilia pekee, then you think in a confinement!, humu pia ni ndani ya box tuu, unachofanya hapa ni unafurukuta tuu humo humo ndani ya box ulilomo baada ya kusikia sauti za nje ya box!.

If kwa kuwepo kwako ndani ya box, makes you happy!, then its fine be there na tulia there, a chana kabisa na sisi tulip née ya box, ila usiwatishe wenye kuhitaji ufahamu zaidi ya huo kiduchu ulionao ndani ya box ulimo!. You either come out tujadiliane objectively, or jinyamazie waache wenye kuhitaji kufanya meditation tufanye!.

Hii tabia ya "a barking dog" kila mara kubweka tuu, toka ndani ya box alimofungiwa, inakera!, kero yenyewe ni kelele tuu za kubweka usiku kucha huku anazunguka mumo humo!.

Christians fundamentalists are as dangerous as Muslim fundamentalist, mkifanya Tahajudi inaweza kuwasaidia to see beyond.
Nakutakia J2 Njema!.
Pasco
 
Kwa kweli mimi binafsi hizi habari uwa zinanichanganya sana.
 
Hebu ndugu Pasco nisaidie,ninapotaka kufanya meditation yangu nikimshilikisha Mungu muumba ni jinsi gani napaswa kufanya,Je naingia katika maombi mahala palipo na utulivu?au nafanya nini kuweza kufanya jambo kubwa katika maisha yangu nikilejea katika somo lako la nguvu za kutenda miujiza,kimsingi nataka kufanya lolote kwa kumshilikisha Mungu tu na si kwa uwezo wangu,nijenge hapo tafadhari ndugu PASCO
 
Hebu ndugu Pasco nisaidie,ninapotaka kufanya meditation yangu nikimshilikisha Mungu muumba ni jinsi gani napaswa kufanya,Je naingia katika maombi mahala palipo na utulivu?au nafanya nini kuweza kufanya jambo kubwa katika maisha yangu nikilejea katika somo lako la nguvu za kutenda miujiza,kimsingi nataka kufanya lolote kwa kumshilikisha Mungu tu na si kwa uwezo wangu,nijenge hapo tafadhari ndugu PASCO
Mkuu G'taxi, hakuna lisilowezekana, ndio maana kuna mafundisho mengi na ya aina tofauti tofauti!.
Kama unataka kutumia somo langu, then fuata yangu, katika somo langu nimesema tangu mwanzo kuwa
Mungu alitupatia zile nguvu za Uuungu siku ile alipotuumba, hivyo huyu Mungu yupo ndani yetu na hizo hizo nguvu zimo ndani yetu, ni suala la kuzifungua tuu hapo zilipo na kuzitumia!.

Unapotaka kutenda lolote kwa kwa kumshirikisha Mungu tuu na sio huo uwezo wako Mungu aliokupatia, unahatari na kutumiwa na mungu, ukadhani ni Mungu!. Kwa vile dini ziko nyingi, nguvu ziko nyingi na imani ziko nyingi, wewe just do what "you" think is right, na not necessarily unachoambia is right!.

Unaweza kusikiliza yote ila shika lako!.

Pasco.
 
Angalia hapa unasema nini,


Na hapa jee, unasema nini kuhusu meditation!.

Meditation is simply concentration, mara use me ni paganism, mara useme
Ukiisha ji confine ndani ya Bibilia pekee, then you think in a confinement!, humu pia ni ndani ya box tuu, unachofanya hapa ni unafurukuta tuu humo humo ndani ya box ulilomo baada ya kusikia sauti za nje ya box!.

If kwa kuwepo kwako ndani ya box, makes you happy!, then its fine be there na tulia there, a chana kabisa na sisi tulip née ya box, ila usiwatishe wenye kuhitaji ufahamu zaidi ya huo kiduchu ulionao ndani ya box ulimo!. You either come out tujadiliane objectively, or jinyamazie waache wenye kuhitaji kufanya meditation tufanye!.

Hii tabia ya "a barking dog" kila mara kubweka tuu, toka ndani ya box alimofungiwa, inakera!, kero yenyewe ni kelele tuu za kubweka usiku kucha huku anazunguka mumo humo!.

Christians fundamentalists are as dangerous as Muslim fundamentalist, mkifanya Tahajudi inaweza kuwasaidia to see beyond.
Nakutakia J2 Njema!.
Pasco

Wewe kwa nini hutaki kuelewa ninachosema. Nimekueleza the etymological meaning ya meditation kwa mjibu wa Biblia. Halafu mie sijasema meditation haipo or whatever, wewe kama unajua kuhusu meditation leo, mie naijua kitambo. Na nimesema kuwa kwa mkristo akiiga au kuifuata meditation mnayoipreach wewe na mtambuzi atakuwa amepotea kwa sababu ina mchanganyiko ambao haukubaliki kwa imani ya kikristo!

Tofautisha kuwa ndani ya box na kujua kitu lakini huna nia ya kukipractice au hukipendi au hukitaki kwa sababu zozote zile. Wewe akili yako inakutuma kwamba mtu anayekataa au kupinga jambo fualani ni kwamba halielewi, uko chaka.

Hebu kuwa specific na unachotaka kusema, maelezo yangu yako sahihi. Na nasema tena mtu yeyote ambaye ni mkristo kweli na anajua maana ya ukristo hatakiwi (sio kwamba namkataza kwa nguvu, bali namaanisha inapingana na anachoamini) kupractice hii ----.ing meditation mnayoihubiri isipokuwa tu ile meditation kwa mjibu wa maelezo ya Biblia.
 
Pasco unapoongelea jambo lazima uwe na uwezo wa kupembua kwa kuzama zaidi! Mfano unaweza kuja hapa ukasema sex inaruhusiwa kwa wanandoa kwa mjibu wa Biblia, lakini haitoshi kusema hivyo tu, inabidi useme sex kati ya jinsia ya kike na kiume waliooana na sex hiyo isiwe ya kugeuzana (isiwe sodoma) na hairuhusiwi kati ya watu wa jinsia moja, etc.,

Ndio maana nimesema sio the whole krap about meditation inakubalika katika imani ya kikristo. Wewe kupreach au kunadi meditation au kuipractice hakuna mtu anayekukataza. Usibishe kwamba meditation haiembarce wicca, magic, witchcraft, spell, etc., halafu ni very wide na practiced in many ways na makundi mbalimbali, ni cult. Kama nilivyosema iwapo unaamini maandiko ya watu wengine ambako kimsingi maelezo yako yanatokana na research zao. Tafuta vitabu vingi soma, usilete habari za kijujuu tu au kupinga bila kujua hivi vitu vinahusianaje.
 
Mkuu is it special kwa wanawake tu !! naona wote kwenye picha ni ke ?
 
Pasco faida za meditation mnaziorodhesha tu, leteni basi scientific substantiation. Na hasara zake ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Mdukuzi, unapomuita mtu ni muongo, ni busara ukiuweka ukweli ili kuuonyesha uongo wangu.

Nijuavyo mimi ukikristu ulianza mara tuu baafa ya kufa kwa Masiya.

Yesu alizaliwa mwaka 1. Aliishi kwa miaka 33, alipokufa ndipo Ukristu ukaanza!.

[/QOUTE]


Ukristo haukuanza baada ya Yesu kufa, bali ulianzishwa na Yesu Kristo mwenyewe kabla ya kufa na kufufuka. Ushahidi ni kwamba aliwahubiria watu habari njema za wokovu nao waliamini na kuokoka. Yeye alipokufa na kufufuka na kwenda zake mbinguni tayari alikuwa ameacha misingi ya ukristo.
 
Wewe kwa nini hutaki kuelewa ninachosema, nasema tena mtu yeyote ambaye ni mkristo kweli na anajua maana ya ukristo hatakiwi (sio kwamba namkataza kwa nguvu, bali namaanisha inapingana na anachoamini) kupractice hii ----.ing meditation mnayoihubiri isipokuwa tu ile meditation kwa mjibu wa maelezo ya Biblia.
Nadhani hapa sasa tukubaliane kutokukubaliana, Mimi na Mchambuzi sio wahubiri, wala mafundisho yetu ya meditation hatujasema ni mafundisho ya dini fulani, tumetoa mafundisho kwa watu wote wa dini zote, maadam umejitabaisha wewe umejiconfine kwenye Biblia, them keep your confinment kwenye Biblia, ambayo imekuja imeikuta meditation tayari ipo, Yesu amekuja amaikuta maditation ipo, ameitumia, ameifundisha ameondoka na kuiacha meditation ipo, kama kupitia Mafundisho ya Yesu, Bibilia na Ukristu, kuna specific meditationa za Kikristu tuu, then natoa wito kwa Wakristo wote, fuateni meditation ya kwenye Bibilia, sisi wengine tuendelee na darasa la meditation ya watu wote!.

Mimi ni Mkiristu, Mkatoliki, mama yangu ni Born Again!. Sisi Wakatoliki tunaipiga pombe kama kawa, Divai hadi Altareni kwa hoja kuwa huo ndio muujiza wa kwanza wa Bwana wetu Yesu Kristo, alioufanya kwenye harusi ya Kana!. Mama yangu haamini katika pombe, akiamini kunywa pombe ni dhambi kwa mujibu wa imani yake, na kutusisitiza tuokoke tujiunge na dini za wokovu, baadhi ya wadogo zangu wameokoka na sisi wengine tumekomaa na kuendelea kusimama na Kanisa Moja, Takatifu la Mutume, ambalo ndilo pekee Bwana wetu Yesu Kristu aliliacha, hivyo kutobabaishwa na hivi vijikanisa lukuki vinavyoibuka kama uyoga na kutuhubiria Pombe ni dhambi!. Hivyo ndivyo ninavyokuona wewe na mahubiri yako humu kuwa Tahajudi ni upagani!. Endelea na unachoamini, na sisi tuache tuendelee kuwafundisha watu kujitambua hadi kufikia kiwango cha kutodanganyika na hivi vidini vya uongo uongo vyeme wahubiri wanaotumia nguvu za giza kuwapoteza watu wa Mungu!.

Please keep your way and let us keep our way na kama vipi, unaweza kuanzisha uzi wako wa "Jifunze Kufanya Tahajudi ya Kikristu" ili Wakristu wafanye Tahajudi ya kwenye Biblia!.

Pasco
 
Back
Top Bottom