TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Mdukuzi, unapomuita mtu ni muongo, ni busara ukiuweka ukweli ili kuuonyesha uongo wangu.

Nijuavyo mimi ukikristu ulianza mara tuu baafa ya kufa kwa Masiya.

Yesu alizaliwa mwaka 1. Aliishi kwa miaka 33, alipokufa ndipo Ukristu ukaanza!.

[/QOUTE]
Ukristo haukuanza baada ya Yesu kufa, bali ulianzishwa na Yesu Kristo mwenyewe kabla ya kufa na kufufuka. Ushahidi ni kwamba aliwahubiria watu habari njema za wokovu nao waliamini na kuokoka. Yeye alipokufa na kufufuka na kwenda zake mbinguni tayari alikuwa ameacha misingi ya ukristo.
Please be specific, kama mimi nilikuwekea mpaka mwaka ulipoanza, ukaniita muongo, nikakuambia ukimuita mtu muongo, njoo na ukweli ili kuu defeat huo uongo, njoo na mwaka Ukristu ulianza lini?. Tumeisha wazoea baadhi ya members humu kujifanya wanajua sana na kuita wenzao waongo, ukweli ni kuwa hawajui kitu kabisa!. Kama unajua, taja mwaka ili kunithibitishia kweli unaujua Ukristu ulianza lini?!.

Kama uliponiita muongo, ulidhani unajua, ukatafuta kujua zaidi mwaka, bado hujajua, its not too lake kusema hujui, then tusonge mbele na somo la Tahajudi!.

Unaweza pia kunitembelea hapa kwenye nyuzi zangu za Tahajudi, kule tunaweza kubishana mpaka asubuhi, hapa mpishe Mkuu Mtambuzi, aendelee kushusha nondo za Tahajudi!.

  1. Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila Kujitambua!.
  2. Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima Kumaris ...
  3. Ni Leo Jioni Pale ...."Karibuni Njooni Tumediteti!"
  4. "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Uponyaji Kwa Kutumia Imani!.

Pasco.
 
Asante sana Mtambuzi haya ndio mambo yanatakiwa kupostiwa humu jamvini mtu unasoma unaelimika.safi sana nilikuwa nasikia tu hizi habar leo kupitia kwako nimetambua kwa kirefu zaidi.
 

Mkuu MdukuziMaisha (LifeHacker), kuna mengi unayozungumza, nakubaliana na wewe, tofauti yetu ni moja tuu, limitations of boundaries, kwa uwezo wako wa thinking kuwa limited to the Bible na hapo ndipo limit yako, huwezi kwenda over and above kwa sababu umeishaamua kukaa ndani ya box!.

Kwa mlio ndani ya box hilo, kwenu dini ni Christianity only!, wengine wote kwako ni wapagani!.
Kwa kukusaidia tuu, Christianity ni dini ya juzi juzi tuu, ilianza miaka 1980 tuu iliyopita!. Dini kama Hinduism na Budhiism.

When in Rome, do as the Romans does, hivyo nimeishi India briefly, naomba nikupatie the simple dose ya Hinduism, sijasema
some ili shame dini yako, bali soma ili kuongeza marina na ufahamu wako beyond The Holly Bible!.
Huko Meditation ilianza kitambo, Yesu akaja akaikuta, aka meditate, akaondoka ameacha Christianity na watu wana meditate, na tunaendelea ku meditate!.

HINDUISM

  • Hinduism is the oldest religion in the world.
  • It is the third largest religion, with approximately 1 billion followers worldwide, 98 percent of whom live in the Indian subcontinent. After including Yoga followers, Hinduism has around 1.2 billion followers worldwide.
  • The only official Hindu state in the world is Nepal . India is the most Hindu-populated nation, but it is officially secular.
  • Many Hindus view all religions as one whole religion. The reason for this is due to the notion that Hindus don't believe that Hinduism is a religion in the first place. There is no one main prophet, no main scripture, no date of when the religion was created, and scripture uses the word Hindu. People who follow the Hindu faith don't generally preach their religion as the "one true religion" over other religions. It is generally taught that if one can find another path that works better, then it is fine to follow a different path, instead of a Hindu path.
  • Hinduism is the most pacifist religion in the world. There is a statistic that says that India has never invaded another country in the last 10,000 years. Social workers help out the underprivileged but missionaries are non-existent. Hinduism believes that religion is just a path to God, who is present in everything and everyone.

Origins of Hinduism
• There is no specific date as to when Hinduism was formed. It was considered by the Europeans to have been in existence from around 1500-3000 B.C., parallel to the beginning of the Egyptian and the Mesopotamian civilizations and that the Aryan invasion catalyzed this. This theory was pushed by Nazi Germany. However, many now think that there was no Aryan invasion theory, & therefore Hinduism has always been out of and part of ancient India .
• Hinduism is not even an accurate Sanskrit word. The word Hindu was a label given by Muslim invaders invading Ancient India. There is a river called the Indus River which was in Ancient India & is now in present day Pakistan . The Muslim invaders mispronounced the people living by the river & instead of calling them the Indus people, they instead called them the Hindus people.
• Hinduism cannot be called an organized religion. Rather, it is a federation of loosely banded religions and cultures. Whereas the majority of other religions are based on a person or prophet, Hinduism has no main prophet or person that founded the religion. Many people of Hindu faith do not consider Buddhism, Sikhism, & Jainism to be separate from them.
Tenets of Hinduism

  • Religion to the Hindu is the native search for the divine within the Self, the search to find the One truth that in actuality never was lost.
  • What can be said to be common to all Hindus is belief in Dharma, karma, and moksha (liberation) of every soul through a variety of moral, action-based, and meditative yogas. Still more fundamental principles include ahimsa (non-violence), the guru/chela dynamic, the Divine Word of OM and the power of mantras, love of Truth in many manifestations as Gods and Goddesses, and an understanding that the essential spark of the Divine (Atman/Brahman) is in every human and living being, thus allowing for many spiritual paths leading to the One Unitary Truth.
  • An example of the pervasiveness of this paramount truth-seeking spirituality in daily life is the laltika (or bindi) , which is a religious symbol denoting marriage. It is sometimes also said to symbolise the need to cultivate supramental consciousness, which is achieved by opening the mystic "third eye."
Four Goals of Life

    1. Kama - pleasure, physical or emotional.
    2. Artha - power, fame and wealth.
    3. Dharma �With maturity, one learns to govern Kama and Artha in the pragmatic framework of dharma, or moral harmony for all.
    4. Moksha � The only true, infinite goal: liberation from samsara or reincarnation, the cycle of life, death, and existential duality.
Four Stages of Life
Based on the assumption that a man lives for 100 years.
• Brahmacharya � 1 to 25 years. Spent in celibate, sober and pure contemplation of life's secrets under a Guru, building up body and mind for the responsibilities of life. Brahmacharya is the phase where a human obtains knowledge of God and the world, while learning to keep strict control of his mind, senses and body.
• Grihasthya � 25 to 50 years. The householder's stage, alternatively known as samsara, in which one marries and satisfies karma and artha within a married life and professional career.
• Vanaprastha - 50 to 75 years. The gradual detachment from the material world, ostensibly giving over duties to one's sons and daughters, spending more time in contemplation of the truth, and making holy pilgrimages.
• Sanyasa � 75 to 100 years. The individual goes off into seclusion, often envisioned as the forest, to find God through Yogic meditation and peacefully shed the body for the next life.
Four major denominations in Hinduism
Hinduism does not teach god as having one true form. It is believed that because god is the almighty, god is everywhere & everything; he/she has no one main identity. It is incorrect when it is taught that Hindus believe in more then one god. In actuality it is that Hindus believe in one almighty power that a human can't comprehend as "one true main form," hence the reason why there are many different versions of this one true form. To be Hindu you have the option of praying to some or all the different forms of the higher power, or to just pray to one almighty power.
Monists believing in different manifestations of the same God � often confused with polytheism.
• Smarthism � Main tenet is the monist belief in the sameness of all the deities, and its conceptualization of the myriad deities of India as various manifestations of the one divine power. The Supreme Court of India defines Hinduism using the Smarthi school of thought, as it is the most secular.
• Vaishnavism - the branch of Hinduism in which Vishnu or one of his avatars is worshipped as the supreme God and is a monotheistic faith. Followers of Vaishnavism are called Vaishnavites.
• Saivism - branch of Hinduism that worships Siva as the Supreme God. Followers of Saivism are called Saivas or Saivites. Saivism is a monotheistic faith. It is parallel to Vaishnavism in its monotheistic belief; its supreme God is the only difference.
• Shaktism - a denomination of Hinduism that worships Shakti, or Devi -- the Hindu name for the Great Mother -- in all of her forms whilst not rejecting the importance of masculine and neuter divinity. In pure Shaktism, the Great Goddess, or Devi, is worshiped as nothing less than the highest divinity, Supreme Brahman Itself, the "one without a second," with all other forms of Divinity, female or male, considered as merely her diverse manifestations.
The Four Vedas
Hindus believe that the Vedas existed since time immemorial as vibrations in space, some portions of which are believed to have been perceived by seers and transmitted accordingly via an oral tradition. The four books are:
1. Rig Veda � oldest and longest. This long collection of short hymns is mostly devoted to the praise of the gods. However, it also contains fragmentary references to historical events, notably the struggle between the early Vedic people (known as Aryans, more precisely Indo-Aryans) and their enemies, the Dasa.
2. Yajur Veda - contains religious texts focusing on liturgy and ritual.
3. Sama Veda - consists chiefly of hymns to be chanted by the Udgatar priests at the performance of those important sacrifices in which the juice of the Soma plant, clarified and mixed with milk and other ingredients, was offered in libation to various deities.
4. Atharva-Veda � the last Veda, contains hymns, especially dedicated to the Fire deity.

Caste System
The four varnas (literally, 'colours') or castes once had equal standing in the society and were based upon the duties to society. These duties worked together towards the welfare of a society. Caste in the older days is similar to caste in todays world. There are those who are preachers, soldiers, skilled workers, & those who have low-income jobs. It was never meant as the negative view that people have today of caste.
• Brahmins � the priestly caste.
• Kshatriyas � a member of the military or reigning order
• Vaishyas � mercantile caste.
• Shudras - traditional roles providing menial labor, which was not necessarily unclean.
Religious Symbols/ Customs
Om - Aum is the standard sign of Hinduism, and is prefixed and sometimes suffixed to all Hindu mantras and prayers. It contains an enormous and diverse amount of symbolism; Hindus consider its sound and vibration to be the divine representation of existence, encompassing all of manifold nature into the One eternal truth. Thus it represents the supreme energy or Brahman.
Ahimsa and Cow - Ahimsa means �non-violence.' Hindus believe in a transcendent as well as an immanent God. Thus, in a bid to respect the higher forms of life, many Hindus are vegetarians, limiting their diet to vegetables and plants.
The cow is an important, sacred animal in Hinduism. This reverence probably stemmed from the value that was placed on the cow and bullock in an agricultural country, and evolved into obtaining a religious sentiment. Some Gods have cows or buffalos as their sacred animal consorts. Hindus abstain from eating beef and even try to avoid leather products.
Swastika - is an Arya, or noble symbol. It stands for satya, truth, and stability within the power of Brahma or, alternatively, of Surya, the sun. Its rotation in four directions has been used to represent many ideas, but primarily describes the four directions and their harmonious whole. It has been used in Hinduism since the early Vedic culture and is still widespread in the Indian subcontinent.
Pasco

Lifehacker, Pasco,Mtambuzi:
utafiti binafsi niliowahi kuufanya kuhusiana na na meditation ni kuwa hii ni imani kama imani nyingine. Mwanzo unapojiunga ..utaanza vyote..yaani unachanganya dini yako na meditation kwa pamoja ila baadaye utaacha Dini yako na kuwa mtu wa meditation forever.

KINACHOFANYIKA NI NINI HASA?
kwa mtu kufanya meditationa hujikuta akijenga connection na Evil Spirits zilizopo kwenye other world dimension ambazo zinam-deceive kupitia information wanazompa. Hizi spirit sio za kimungu bali ni Demons na baada ya muda, mtu huyu anaye-meditate ataanza kuhisi kuwa na ujuzi ama uelewa kuhusu Mungu aliyedhani yupo vile kupitia dini yake na kuona kumbe hakuwa anaambiwa ukweli.

Mfano : Dini zetu zinafundisha kuhusu shetani na Mungu, lakini wenye kuingia kwenye hizi meditation wana mtazamo tofauti, na pia hawaamini uwepo wa jehanum wala hoja ya kuwa kutakuja kuwa na siku za mwisho mungu kuja kuhukumu ulimwengu.
Ninao marafiki zangu walikuwa wakatoliki wazuri sana, yaani sana* lakini mwishowe hawaendi tena kanisani. Kwani wanaona wenye kuamini Mungu ni wajinga fualni ama wasiojitambua ama wasioelewa ukweli ulivyo. Na sio tu wakatoliki hii imani haichagui dini wala dhehebu, yeyote atakayeingia ataachana na imani yake, hapo baadaye.

Nina rafiki yangu mmoja alishanieleza sababu za kwanini Wazungu wengi siku hizi wanaacha Ukristo wala kwenda kanisani; akasema ukiingia kwenye hii imani utaweza kugundua ukweli wa Dini zote duniani.Yaani meditation inakufanya uweze kujua ukweli wa Dini zote na mwisho unachagua kuishi kawaida bila ya Dini.
Something interesting ni kuwa Hizi jamii za wanaomeditate zinaviongozi wao ambao wanafundisha mambo ya kiimani yanayoweza kumwimarisha mtu kuendelea kuwa ndani ya jumuiya zao yakiwemo machapisho mbalimbali, kama ambavyo waumini wa dini yeyote wanavyopewa mafundisho zinavyofundisha mtu aendelee kushika dini,
Mfano: wao wanaaamini kuwa binadamu anayo miili saba kitu ambacho nadhani kipo against bible.
mambo mengine ni kama Mungu hayuko mahali pote... Mungu hachukui hatua katika maisha ya mtu: bali juhudi zake mwenyewe n.k.
Haya Mambo ni kinyume na mafundisho ya ukristo.Na wahindu ndio wanayafiki sana haya mambo lakini ukiwafuatilia ndio jamii ya wachawi wakubwa duniani wanaoabudu hadi majoka.kitu ambacho wengi hawajafutilia ni kuwa ukiweka kinyagochochote ndani ya nyumba yako ukaanza kukiabudu baada ya muda utaanza kuona matokeo positive.Hizi ni roho za kishetani zinazozunguka kudanganya. That's why nilisema this is a cult.
Na kwakuongeza ni kuwa jamii hizi zina watu wasomi sana hadi ngazi za doctorate ( PHD). Hivyo sio jamii za wahuni, na pia kuna lugha kama mantra, chakra n.k.

Yesu alisema tumwombe yeye, hakusema tuzitegemee meditation: kwahiyo pasco, ni swala la kuamua aina gani ya stori inayokuvutia.
I timotheo 4: Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani
LUka 18:8Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao? Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
 
Nawashangaa sana hasa watanzania wanaopenda kuchukuliwa na kila aina ya upepo. Hii ni dini, paganism, kuna watu wanaonekana kuhamasika na kuanza kujifunza au kujaribu wakati huo huo wanajiita wakristo! Hakika hamjui mlitendalo! Soma hapa:

Meditation - Wikipedia, the free encyclopedia

Kuna aina nyingine ya paganism inayofanana na hii nayo ni scientology: Scientology - Wikipedia, the free encyclopedia na zingine Pasco alishawahi kuzielezea zinaitwa psychic powers: List of psychic abilities - Wikipedia, the free encyclopedia

Hizi ni imani za kipagani, nazo ni derivatives au components za wicca: Wicca - Wikipedia, the free encyclopedia, witchcraft: Witchcraft - Wikipedia, the free encyclopedia, spells: Spell (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia na magic: Magic (paranormal) - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu Mtambuzi unadriki kusema wakristo wanatumia rozari! Rozari ndio nini na wapi wakristo wameambiwa waitumie kwenye Biblia? Sema Waroma (organization) sio wakristo.

Jamani waonyeni watu wasiende katika njia hizi ziendazo upotevuni.

CC: warumi, Samaritan, Majimoto, Himidini, Ablessed, everlenk, LORDVILLE

Hv kumbe rozari ni implementation ya wanadamu eeh? vp na kuhusu mambo ya ubani yale, mambo magumu kwel haya
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hapa sasa tukubaliane kutokukubaliana, Mimi na Mchambuzi sio wahubiri, wala mafundisho yetu ya meditation hatujasema ni mafundisho ya dini fulani, tumetoa mafundisho kwa watu wote wa dini zote, maadam umejitabaisha wewe umejiconfine kwenye Biblia, them keep your confinment kwenye Biblia, ambayo imekuja imeikuta meditation tayari ipo, Yesu amekuja amaikuta maditation ipo, ameitumia, ameifundisha ameondoka na kuiacha meditation ipo, kama kupitia Mafundisho ya Yesu, Bibilia na Ukristu, kuna specific meditationa za Kikristu tuu, then natoa wito kwa Wakristo wote, fuateni meditation ya kwenye Bibilia, sisi wengine tuendelee na darasa la meditation ya watu wote!.

Mimi ni Mkiristu, Mkatoliki, mama yangu ni Born Again!. Sisi Wakatoliki tunaipiga pombe kama kawa, Divai hadi Altareni kwa hoja kuwa huo ndio muujiza wa kwanza wa Bwana wetu Yesu Kristo, alioufanya kwenye harusi ya Kana!. Mama yangu haamini katika pombe, akiamini kunywa pombe ni dhambi kwa mujibu wa imani yake, na kutusisitiza tuokoke tujiunge na dini za wokovu, baadhi ya wadogo zangu wameokoka na sisi wengine tumekomaa na kuendelea kusimama na Kanisa Moja, Takatifu la Mutume, ambalo ndilo pekee Bwana wetu Yesu Kristu aliliacha, hivyo kutobabaishwa na hivi vijikanisa lukuki vinavyoibuka kama uyoga na kutuhubiria Pombe ni dhambi!. Hivyo ndivyo ninavyokuona wewe na mahubiri yako humu kuwa Tahajudi ni upagani!. Endelea na unachoamini, na sisi tuache tuendelee kuwafundisha watu kujitambua hadi kufikia kiwango cha kutodanganyika na hivi vidini vya uongo uongo vyeme wahubiri wanaotumia nguvu za giza kuwapoteza watu wa Mungu!.

Please keep your way and let us keep our way na kama vipi, unaweza kuanzisha uzi wako wa "Jifunze Kufanya Tahajudi ya Kikristu" ili Wakristu wafanye Tahajudi ya kwenye Biblia!.

Pasco

Pasco lakini mbona husemi ni wapi pameandikwa kuwa Yesu alifanya meditation?
 
Last edited by a moderator:
Lifehacker, Pasco,Mtambuzi:
Yesu alisema tumwombe yeye, hakusema tuzitegemee meditation: kwahiyo pasco, ni swala la kuamua aina gani ya stori inayokuvutia.
I timotheo 4: Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani
LUka 18:8Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao? Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
Mkuu mwaka jana, wapi Yesu alisema tumwombe yeye?!. Nijuavyo mimi Yesu alisema, chochote mtakachoomba kwa Baba yangu, kupitia kwangu, mtapewa!.

Pasco
 
Hv kumbe rozari ni implementation ya wanadamu eeh? vp na kuhusu mambo ya ubani yale, mambo magumu kwel haya
ibada za ubani na chetezo zina asili ya muundo wa kuabudu uliofanywa na makuhani wa kiisraeli. wakatoliki waka-adopt huo mfumo. angalia unapoenda usipindishe mada mkuu.
 
Mkuu mwaka jana, wapi Yesu alisema tumwombe yeye?!. Nijuavyo mimi Yesu alisema, chochote mtakachoomba kwa Baba yangu, kupitia kwangu, mtapewa!.

Pasco
ha ha ha Pasco hujakosea, lakini yesu na Mungu is inseparable
zingatia red: color

Yohana 14-17
14:Yesu akawaambia, "Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia............
[SUP]2 [/SUP]Katika nyumba ya baba yangu mna nafasi nyingi. Kama sivyo, nisingeliwaambia kwamba nakwenda kuwaandalia makao. [SUP]3 [/SUP]Na nikishawaandalia, nitarudi kuwachukua mkae pamoja nami; ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo. [SUP]...

[/SUP] [SUP]..........6 [/SUP]Yesu akawaam bia, "Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.


[SUP]8 [/SUP]Filipo akamwambia Yesu, "Bwana, tuonyeshe Baba yako nasi tutaridhika." [SUP]9 [/SUP]Yesu akamjibu, "Filipo, imekuwaje hunifahamu baada ya mimi kuwa pamoja nanyi muda wote huu?

........[SUP]10 [/SUP]Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu, na Baba yangu yuko ndani yangu?
....... [SUP]12 [/SUP]Ninawaambia hakika, mtu ye yote akiniamini ataweza kufanya miujiza kama hii na hata zaidi, kwa kuwa mimi ninakwenda kwa Baba yangu.
[SUP]13 [/SUP]Kitu cho chote mtakachoomba kwa jina langu, nitawafanyia, ili Baba yangu apate kutukuzwa kwa yale ambayo mimi Mwanae nitawafanyia. [SUP]14 [/SUP]Mkiniomba cho chote kwa jina langu nitawafanyia."

[SUP]15[/SUP]"Kama mnanipenda mtatimiza amri zangu.....
[SUP]
1 [/SUP]Mtu anayezishika amri zangu na kuziti miza ndiye anayenipenda. Na mtu anayenipenda, Baba yangu atam penda; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake." [SUP]22 [/SUP]Yuda, siyo Iskariote, akamwuliza, "Bwana, itakuwaje ujidhihirishe kwetu ,,,,,,,,,,,.

[SUP]24 [/SUP]Mpaka sasa hamjaomba lo lote kwa jina langu. Ombeni nanyi mtapewa ili furaha yenu ipate kukamilika.



 
Pasco , ukiangalia Logic wise huwezi tu kumjua Mungu ama kuufahamu ukweli kuhusu mungu ama jambo lolote kupitia kukaa kimya siku nzima umekodolea mimacho kwenye nukta nyeusi. Something gotta be wrong in medulla. Ujuzi unatokana na Kutenda na Experience. That is why meditation bado itaendelea kuwa ni Cult.
Kila aina ya uchawi una-principle zake za kuu-apply na ku-comunicate nao.Sio lazima wote tuvae hirizi.

Baibo imeweka wazi kuwa siku za mwisho watu wataacha imani wakisikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya Mashetani
kwenye meditation kuna mambo mawili
1= kukaa na kusikiliza
(communicate) hizi roho(Spirits): bila kutafuna maneno hiki ndio chanzo kikuu cha knowledge za waumini, wanazotumia kuwashawishi wengine wajiunge.
2= kupata mafundisho ambayo ni (Anti God teachings)

baibo imeweka wazi kila Roho isiyomkiri YYesu haitokani na Mungu.

lifeHacker, Mtambuzi na
CC: warumi, Samaritan, Majimoto, Himidini, Ablessed, everlenk, LORDVILLE
 
Hii mada ni ngumu na ina pande nyingi sana zinazohitaji tafakurh jadidi, mimi ningependa kuchambua kipengele kimoja tuu cha meditation kuunganishwa na dunia ya mashetani na roho zisizoonekana! Kama kuna kitu ambacho kina nguvu mno basi ni ubongo/ufahamu wa mwanadamu na kwasababu ya imani yetu kwa mungu mmoja huwa tunakuwa na ukomo kwenye mambo karibia yote, na hivyo kufanya ufahamu wetu,conscious mind kutumika kidogo mno kwa sababu ya limitations za imani zetu. Meditation inavunja hiyo mipaka na kuufumua ufahamu wetu kwa kuukusanya pamoja toka ulimwengu wa kutangatanga na kuuweka pamoja huku ukifocus kwenye jambo moja husika na kwa wakati husika, ukifanikiwa katika hili unakuwa umedevelop kitu kiitwacho supernatural powers kwakuwa sasa conscious mind yako iko single n focused! Stage hii unakuwa na uwezo wa kufanya chochote ambacho binadamu wa kawaida hawezi na ndipo hapo meditation huhusishwa na nguvu za giza
 
Inaitwa Meditation au tahajudi kwa kiswahili, na ndiyo inayokupa uwezo wa kuzama ndani ya subconscious mind na kubadili mtazamo wako kuhusiana na yale uliyoaminishwa au kutuma ujumbe kwenye subconscious mind kwa yale mambo unayoyataka kwa njia ya picha ili upate matokeo unayoyataka...

Nikipata muda nitaelezea vizuri zaidi huko mbeleni, kwa sasa hii ni kama basic kwa mtu anayetaka kujifunza meditation au tahajudi.........

CC: Eiyer, MwanajamiiOne, Husninyo, Munkari, Heaven on Earth, Kaizer, MankaM, miss strong, Karucee, miss chagga, miss neddy, King'ast, afrodenzi, Kongosho, Lady doctor, Fixed Point, Tina, BADILI TABIA, Ennie, mwallu, mbalu, Kiranga, Nyani Ngabu, EMT, Bujibuji, Mentor, Paloma, cacico, Madame B, snowhite, gfsonwin, Mndengereko, ayanda, Thomas Odera, Elli, farkhina, Arabela, Preta, Kaunga, Mamndenyi, Mr Rocky, The Boss, sister, Sista, KOKUTONA, Mwanyasi, Dark City, charminglady, Elizabeth Dominic, watu8

Huwa najiuliza mara 2 2! inakuwaje mimi sitajwi katika cc? nimewai kuuliza hili hapa lkn sijawahi kupata jibu halisi! Mimi nikahisi labda wanaotoa cc hawana muda wa kutosha, wana haraka zao, na hivo wanawa-cc watu wachache sana! Ona sasa hapa, Mtambuzi amewa-cc wanaJF 50, hii inaonyesha namna gani humu watu wabaguzi!

Kwa kuwa sijawai kupewa cc, na huenda mnadhani mimi ROBOT, sifai kupewa cc, natangaza rasmi humu, ole wake mwanaJF atakaeeni-cc wakati huu wa ubaguzi!

BTW, hongera Mtambuzi, umenipa bonge la darasa!
 
Huwa najiuliza mara 2 2! inakuwaje mimi sitajwi katika cc? nimewai kuuliza hili hapa lkn sijawahi kupata jibu halisi! Mimi nikahisi labda wanaotoa cc hawana muda wa kutosha, wana haraka zao, na hivo wanawa-cc watu wachache sana! Ona sasa hapa, Mtambuzi amewa-cc wanaJF 50, hii inaonyesha namna gani humu watu wabaguzi!

Kwa kuwa sijawai kupewa cc, na huenda mnadhani mimi ROBOT, sifai kupewa cc, natangaza rasmi humu, ole wake mwanaJF atakaeeni-cc wakati huu wa ubaguzi!

BTW, hongera Mtambuzi, umenipa bonge la darasa!

....CC slim5
 
Hii mada ni ngumu na ina pande nyingi sana zinazohitaji tafakurh jadidi, mimi ningependa kuchambua kipengele kimoja tuu cha meditation kuunganishwa na dunia ya mashetani na roho zisizoonekana! Kama kuna kitu ambacho kina nguvu mno basi ni ubongo/ufahamu wa mwanadamu na kwasababu ya imani yetu kwa mungu mmoja huwa tunakuwa na ukomo kwenye mambo karibia yote, na hivyo kufanya ufahamu wetu,conscious mind kutumika kidogo mno kwa sababu ya limitations za imani zetu. Meditation inavunja hiyo mipaka na kuufumua ufahamu wetu kwa kuukusanya pamoja toka ulimwengu wa kutangatanga na kuuweka pamoja huku ukifocus kwenye jambo moja husika na kwa wakati husika, ukifanikiwa katika hili unakuwa umedevelop kitu kiitwacho supernatural powers kwakuwa sasa conscious mind yako iko single n focused! Stage hii unakuwa na uwezo wa kufanya chochote ambacho binadamu wa kawaida hawezi na ndipo hapo meditation huhusishwa na. za giza

hii mada kweli ni ngumu ila em ongeza nyama kdogo apo kwenye meditation na supernatural,,
af hyo supernatural ina uthibitisho wowwote wa kisayansi??
 
hii mada kweli ni ngumu ila em ongeza nyama kdogo apo kwenye meditation na supernatural,,
af hyo supernatural ina uthibitisho wowwote wa kisayansi??

meditation is real! Hata kabla ya kutafuta ithibati za kisayansi naomba wewe mwenyewe ujaribu japo kwa wiki moja tu
 
meditation is real! Hata kabla ya kutafuta ithibati za kisayansi naomba wewe mwenyewe ujaribu japo kwa wiki moja tu

kaka mi nshajaribu nkasanda, kwanza huku nakokaa makelele 24/7 so eneo la kufanyia ni changamoto kwangu, labda unipe uzoefu wako bro
 
kaka mi nshajaribu nkasanda, kwanza huku nakokaa makelele 24/7 so eneo la kufanyia ni changamoto kwangu, labda unipe uzoefu wako bro

kama uko free on weekends na kama upo dar tunaweza kuorganise meditation retreat session na wengine watakaopenda mahali popote nje ya mji
 
Back
Top Bottom