Taharuki yatokea kijiji cha Narumu, Machame Mashariki baada ya picha zikionesha migomba ikipandwa barabarani

Taharuki yatokea kijiji cha Narumu, Machame Mashariki baada ya picha zikionesha migomba ikipandwa barabarani

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
IMG-20230116-WA0000.jpg

Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.

viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.

Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
 
Back
Top Bottom