Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Usiilinganishe kaskazini na mikoa mingine mkuu.Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Wao wilaya zao zote ziliungwa kwa lami miaka nenda rudi, sasa ni mwendo wa vijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiilinganishe kaskazini na mikoa mingine mkuu.Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Waliposoma na kuijua hela kabla ya mkoloni. Yaani wao kwanza ndio kujua kusoma na kuanza kuwafundisha watanzania wengineThis is Kilimanjaro!
Kumbe unajuaWaliposoma na kuijua hela kabla ya mkoloni. Yaani wao kwanza ndio kujua kusoma na kuanza kuwafundisha watanzania wengine
Huo ujinga wenu wa Sumbawanga usiwaletee wachaga, wao wana mashule, hospitali, umeme, maji na lami.Kwa jinsi ninavyofahamu Narumu ni kijiji cha ndani ndani huko kwahiyo kuwekewa lami wakati kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo hakuna lami sio sawa. Waache ubinafsi kwasababu barabara ya kutoka Njiapanda (machine tools) hadi geti la Kinapa kuna lami.
Wewe endelea kuwa chawa wa mama, iache jamii inayojielewa idai maendeleo na si kujipendekezaKwa jinsi ninavyofahamu Narumu ni kijiji cha ndani ndani huko kwahiyo kuwekewa lami wakati kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo hakuna lami sio sawa. Waache ubinafsi kwasababu barabara ya kutoka Njiapanda (machine tools) hadi geti la Kinapa kuna lami.
Kama mapato yao yanatosha kutengenezewa barabara isifanyike kisa shinyanga mjini hakuna barabara 🙂Kwa jinsi ninavyofahamu Narumu ni kijiji cha ndani ndani huko kwahiyo kuwekewa lami wakati kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo hakuna lami sio sawa. Waache ubinafsi kwasababu barabara ya kutoka Njiapanda (machine tools) hadi geti la Kinapa kuna lami.
Machawa hawajielewagi na hawajui wanachosimamiaKama mapato yao yanatosha kutengenezewa barabara isifanyike kisa shinyanga mjini hakuna barabara 🙂
Duuh kuna siku tulicheza mpira na Lyamungo tulipoteana mle kwenye mikahawa sintasahau, froma Lambo hiyo balaaAisee hiyo Barabara ni changamoto toka zamani sana...
Narum Lyamungo kila mwaka kukiwa namvua haipitiki kipindi cha jua ni vumbi lililoshindikana..
Imechangia sana kurudisha maendeleo ya wanarumu nyuma
Afu nyie wakibosho wavuta bangi na Kaka zenu wanachoma watu visu. Pia kumbuka Kilimanjaro Ni machame bana huko kwingine Ni sawa na kwao na vyasaka.Sio kyasaka mimi kibosho moja
Kweli bangi tunavuta. Maisha ni mazuri na vijiji vyetu tunaweka lami.Afu nyie wakibosho wavuta bangi na Kaka zenu wanachoma watu visu. Pia kumbuka Kilimanjaro Ni machame bana huko kwingine Ni sawa na kwao na vyasaka.
Karibu hapa rombo mkuu,uko wapi saivi wewe kysaka mwenzangu
Kwa hela zenu ama za watanzania. Kuna mkibosho siku moja kidogo anitoe roho ujue kisa sh 10 ilipeleaKweli bangi tunavuta. Maisha ni mazuri na vijiji vyetu tunaweka lami.
Hatuna utani na pesa.Kwa hela zenu ama za watanzania. Kuna mkibosho siku moja kidogo anitoe roho ujue kisa sh 10 ilipelea
Hayo hayotokuwa majiji bali vijiji.Kumbuka huku ni Kilimanjaro mkuu, Sasa kama kwenye kukusanya mapato tunayapita majiji matatu na wakati hapa ni Manisipaa tu unashangaa nini?
mlikuwa mnaenda wapi... sasa pale ni pakupotea kweli... hahahaDuuh kuna siku tulicheza mpira na Lyamungo tulipoteana mle kwenye mikahawa sintasahau, froma Lambo hiyo balaa
Sisi tulikuwa wageni, tulienda kwenye mechi kati ya Msufini na Lyamungo kukazuka booonge la ugomvi baada ya lyamungo kufungwa.mlikuwa mnaenda wapi... sasa pale ni pakupotea kweli... hahaha
Hapana mie najua mnajichanga tu wenyewe huko. Sio misallocations of resources kuleta lami kijijini kweli na huku Kuna sehemu hazina maji Safi. Kama pesa niza watanzania nadhani haijakaa sawa kabisa kutakuwa Kuna mtu analazimisha kuleta lami huko huku Kuna zahanati kibao sio salama kwa mama zetu kujifungulia.kutakuwakuna mkono wa mtu sio bure analazimisha tu hela ziende huko kisa tu anayo mandateHatuna utani na pesa.
Tunajenga lami kwa pesa za watanzania ambazo ni zetu.
Huko kilimanjaro barabara nyingi za kwenda vijijin zina lamiBarabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu