Kumbuka huku ni Kilimanjaro mkuuBarabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Kumbuka huku ni Kilimanjaro mkuu, Sasa kama kwenye kukusanya mapato tunayapita majiji matatu na wakati hapa ni Manisipaa tu unashangaa nini?Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Acha kila mtu aendelee kwa hatua zake. Hiyo barabara iwekwe lami mara moja la sivyo wamachame pandeni migomba hakuna kupoteza ardhi K’Njaro.Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Ahadi ni![emoji4]Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Kama ni uzushi hiyo Picha ni ya wapi?
Haya bana Sina nenoAhadi ni![emoji4]
Kwa wasomi na matajiri wa Tanzania.waliosoma kabla ya mzungu hajajua kusoma ama kuwaza Kuja afrika. Hata sijui why hawakwenda kuwatala wazungu na kuwauza waarabuKumbuka huku ni Kilimanjaro mkuu
Kumbe chanzo cha habari ni chadema?
Kodi mkusanye nyie mbuzi wa kijani mnalamba asali barabara ajenge mbowe hilo bichwa lako unafugia nywele tu hasara tupu .
This is Kilimanjaro!Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Hii barabara ni ile inayopita msikiti mkubwa kuelekea lyamungo sinde?Aisee hiyo Barabara ni changamoto toka zamani sana...
Narum Lyamungo kila mwaka kukiwa namvua haipitiki kipindi cha jua ni vumbi lililoshindikana..
Imechangia sana kurudisha maendeleo ya wanarumu nyuma