TAHURI: Tumuunge mkono Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona

Kwani mimi nikichanjwa wewe shida yako ni nini?
 
Kwa hiyo shida si chanjo bali umasikini wetu siyo?
 
Corona ni BIASHARA.
ukilijua hili Wala hautapata tabu na Corona.
Biashara na mtambo wa kugerenete pesa za kutatua matatizo yanayomkabili binadamu mkuu yaani makert based soln.Katika gani lingine linalomhusu mtu ambayo si biashara?
 
Kwenye Corona wameweka pesa nyingi sana tofauti na chanjo nyingine
Ndo Mana wanalazimisha pesa zao zirudi
Biashara na mtambo wa kugerenete pesa za kutatua matatizo yanayomkabili binadamu mkuu yaani makert based soln.Katika gani lingine linalomhusu mtu ambayo si biashara?
 
Baada ya ukimya mrefu Leo TAHURI wamejitokeza, nyie watetezi wa watu sasa kuna kazi ya kufanya mkifanikiwa mtapata thawabu kwa mwenyezi Mungu.

Wazee wastaafu wamenyimwa mafao yao ya mwezi ya NSSF, kiss cha kunyimwa hawakujihakiki! Hawa walionyimwa hawakupewa taarifa ya kujihakiki lakini sasa wamejitokeza kuwa bado hawajafa!

Hata hivyo hawapewi pesa mpaka mwezi wa pili! Tatizo ni la NSSF kutotoa taarifa kupitia namba za wazee hawa ambao baadhi yao hata kumbukumbu imepungua. Pensheni za wazee hawa ni ndogo sana, sasa hawa wazee wasioweza kufanyavibarua wataishije bila pesa?

TAHURI chukueni jukumu la kuatetea walipwe kwa kumuona waziri Jenista Mhagama ili awaelekeze NSSF wawalipe.
 
Hyo chanjo wangetumia wao kwanza WAPONE.
kwani lazma tupeana hizo chanjo si watuache TUFE.
Kwanini tunalazimishana hizo chanjo kuna SIRI GANI?.
mpe anayetaka asiyetaka ACHANA NAE
shida ipo wapi
Sasa kama haujui,chango wametumia wao na wengine maelfu wamejioroshesha kutumika kama sehemu ya utafiti wa chanzo.sisi huku shithole shida yetu ni ujinga na umaskini
 
Andaa hela mfuko wa shati .
HAKUNA chakula Cha bure
Achani kujifanya mnatupenda na kutusemea kila kitu kwa ujinga wenu wa kufikiri mnayajua sana mahitaji yetu. Acha mimi nichanjwe hata kwa hela yangu.
 
Hili ndio tamko zito? Anaetoa tamko wala hajitambui. Anaongelea matibabu kwenye virus?
 
Kwenye Corona wameweka pesa nyingi sana tofauti na chanjo nyingine
Ndo Mana wanalazimisha pesa zao zirudi
Kwa hiyo wao wainvest billions of money kufanya utafiti,kisha wapate chanjo then wewe kwa umaskini wako unaanza kuziponda eti vita vya kiuchumi,kumbe si vita vya kiuchumi bali umasikini wenu,sasa si muombe msaidiwe?
 
Hyo chanjo wangetumia wao kwanza WAPONE.
kwani lazma tupeana hizo chanjo si watuache TUFE.
Kwanini tunalazimishana hizo chanjo kuna SIRI GANI?.
mpe anayetaka asiyetaka ACHANA NAE
shida ipo wapi
Toka lini hawa weupe wakawa na msada na wewe ? Kinachoshangaza hiii kitu kulazimishaaa. Watupe mfano wa aliechanja akawa salama, ndo na sisi tuchanje
 
Kwani umeambiwa hyo chanjo Niya bure?
Sasa kama haujui,chango wametumia wao na wengine maelfu wamejioroshesha kutumika kama sehemu ya utafiti wa chanzo.sisi huku shithole shida yetu ni ujinga na umaskini
 
Unachelewa..
Nenda kachanjwe uje utupe mrejesho
Achani kujifanya mnatupenda na kutusemea kila kitu kwa ujinga wenu wa kufikiri mnayajua sana mahitaji yetu. Acha mimi nichanjwe hata kwa hela yangu.
 
Maisha ya mwanadamu ni muhimu kuliko kitu chochote duniani ikiwemo uchumi na hizo trillioni ulizotaja.
Huwezi kuacha kukopa hela kumtibia mwanao, mkeo babako au mamako ukitamani wafe ili usidaiwe πŸ™„ πŸ™„ πŸ™„ πŸ™„
Rais wetu ana sema uchumi wetu huwezi ukaulinganisha na kitu chochote hivyo hawezi akisimamisha ujenzi wa SGR au flyover au Mwalim hydropower eti kisa corona.Sasa kwa akili yake sijui kama huo uchumi upo kwa ajili ya watu na bila watu huo uchumi is nothing
 
Watusaidie kwa lipi wakati hatuna magonjwa wa Corona?
Hao wamefeli target yao ilikuwa waje wauze Africa ila MUNGU kawaumbua.
Waondo wanakufa kwa wingi na dawa haifanyi kazi
Kwa hiyo wao wainvest billions of money kufanya utafiti,kisha wapate chanjo then wewe kwa umaskini wako unaanza kuziponda eti vita vya kiuchumi,kumbe si vita vya kiuchumi bali umasikini wenu,sasa si muombe msaidiwe?
 
Watusaidie kwa lipi wakati hatuna magonjwa wa Corona?
Hao wamefeli target yao ilikuwa waje wauze Africa ila MUNGU kawaumbua.
Waondo wanakufa kwa wingi na dawa haifanyi kazi
Kujitoa ufahamu hakujawahi kuwa solution ya Tatizo,mwambie Jamaa yako aache kujificha arudi mjini,mwanaume hakimbiagi matatizo
 
Wao walipiga hesabu zao waje kuuza Africa.sasa mungu NAE Ana mipango yake wanaokufa niwao.
Kufa TUFE sisi huruma waone wao.
Malawi mpaka sasa wamepoteza mawaziri wanne,si nchi zote africa wanejitoa ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…