Taifa la Tanzania limekosa viongozi kama hayati Julius Nyerere na hayati John P Magufuli. Wananchi wanyonge watakandamizwa mpaka wakione cha moto

Taifa la Tanzania limekosa viongozi kama hayati Julius Nyerere na hayati John P Magufuli. Wananchi wanyonge watakandamizwa mpaka wakione cha moto

Mama anaupiga mwingiiiii [emoji2772][emoji2772]
Of course anaupiga ndio maana huwezi sikia Wala kuona mradi wowote umekwama..

Linganisha hizi Takwimu za daraja la wami hili 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-123421.png
    Screenshot_20220921-123421.png
    123 KB · Views: 2
Duu!sawa sawa bana...[emoji23][emoji23]
Ndio hivyo na iko hivyo kwenye sekta zote,huwezi linganisha speed ya Samia na Mwendazake,Samia ana pesa ila Mwendazake alikuwa na propaganda na porojo nyingi za majigambo kwa wajinga ndio maana aligombana na watu wenye akili wote..
 
Hivi mbona ni aibu kubwa sana kwa taifa kubwa lenye rasimali nyingi na utajili wa maliasili kama Tanzania kufikiria juu ya kukamua tozo toka kwa wananchi wanyonge badala ya kufikiria kutumia rasimali kama madini, uvuvi na kilimo kupata mapatoa ya kuendesha nchi.

Hayati Mwalimu na hayati Julius Magufuli walikuwa makini juu ya hili na hawakupenda kuona raia wa chini na wanyonge wakisumbuliwa kwa sababu taifa lao lina rasilimali za kutosha kujiendesha.

Ni kweli wakati wa hayati Mwalimu wananchi walikuwa wachache. Lakini alimudu kusomesha wananchi bure na matibabu bure hakukuwa na wawekezaji wakubwa wa uchimbaji madini hapa nchini. Leo hii kila kona madini yanachimbwa na raia wanapigwa tozo za kila namna.

Leo hii kuna vyanzo kibao vya mapato vya taifa letu lakini raia wanyonge ndio wananyanyaswa kwa tozo za kila namna .

Akumbumbwe hayati JK Nyerere na hayati JPM
JPM the best President of all the time RIP
 
Hivi mbona ni aibu kubwa sana kwa taifa kubwa lenye rasimali nyingi na utajili wa maliasili kama Tanzania kufikiria juu ya kukamua tozo toka kwa wananchi wanyonge badala ya kufikiria kutumia rasimali kama madini, uvuvi na kilimo kupata mapatoa ya kuendesha nchi.

Hayati Mwalimu na hayati Julius Magufuli walikuwa makini juu ya hili na hawakupenda kuona raia wa chini na wanyonge wakisumbuliwa kwa sababu taifa lao lina rasilimali za kutosha kujiendesha.

Ni kweli wakati wa hayati Mwalimu wananchi walikuwa wachache. Lakini alimudu kusomesha wananchi bure na matibabu bure hakukuwa na wawekezaji wakubwa wa uchimbaji madini hapa nchini. Leo hii kila kona madini yanachimbwa na raia wanapigwa tozo za kila namna.

Leo hii kuna vyanzo kibao vya mapato vya taifa letu lakini raia wanyonge ndio wananyanyaswa kwa tozo za kila namna .

Akumbumbwe hayati JK Nyerere na hayati JPM
Nchi hii ina LAANA
 
Usingemtaja huyu mtekaji, muuaji na mporaji wa mali za wanyonge ningekuona uko serious na mada yako na ningechangia hoja. Lkn hauko serious unafurahisha genge tu.
Toa mawazo yako. Si busara kushambulia hoja za mwenzako wakati wewe huna mbadala
 
If you hate someone hate them alone don't go around recruiting people to hate that person with you that's witchcraft...Huo ni uchawi...bila shaka ulipitiwa na fagio la chumaaaaa....

Joined August
 
Back
Top Bottom