Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Sababu kuu ya Tanzania kuwa na amani na utulivu subira ambayo Watanzania wamepewa kama tunu na Mwenyezi Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subira ya nini.Sababu kuu ya Tanzania kuwa na amani na utulivu subira ambayo Watanzania wamepewa kama tunu na Mwenyezi Mungu.
We jamaa wanakukula niniNdugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu badala ya matamanio yao binafsi.
Tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu waliamua kuilinda,kuitetea,kuihifadhi na kuilinda katiba yetu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wenye uroho na uchu wa madaraka.tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu ya wazalendo ambao waliamua kwa jasho na Damu kulibeba Taifa letu katika mioyo ,vifua na Mabega yao.
Tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu kuna watu waliamua kusahau na kuwa mbali na familia zao kwa ajili ya kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu. Ni uchapakazi wao, kujitoa na kujitolea kwao,uadilifu wao, uzalendo wao,uaminifu wao na kulinda viapo vyao kwa Taifa letu ndio kumefanya Taifa letu kuendelea kuwa lenye Amani,utulivu na usalama wa kutosha.
Watanzania tutambue ya kuwa hawa wazee wetu wameumia sana ,kuteseka sana ,kunusurika kifo na kupoteza Maisha yao kwa sababu ya kulilinda Taifa letu. Wamevuja jasho na Damu kutetea na kuilinda mipaka yetu. miili yao ilijaa na kuvuja jasho kwa ajili yetu watanzania. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu,kuwaombea na kutambua mchango wao na uzalendo wao uliotukuka kwa Taifa letu ambao hakuna pesa ya aina yoyote ile na ya kiwango chochote kile inaweza kulingana na kujitoa kwao walikofanya kujitoa Maisha yao kwa ajili yetu.
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwajalia Maisha marefu hawa Majenerali wetu.aendelee kuwapatia afya njema na uhai, kwa sababu ni hazina kwa Taifa letu na mawazo yao bado yanahitajika sana kwa Taifa letu.
View attachment 3143045
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shetani anakutumia vibaya sana.We jamaa wanakukula nini
Kama utaongelea kuwa salama bila kuhusisha ujinga utakua unakosea Big timeNdugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu badala ya matamanio yao binafsi.
Tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu waliamua kuilinda,kuitetea,kuihifadhi na kuilinda katiba yetu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wenye uroho na uchu wa madaraka.tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu ya wazalendo ambao waliamua kwa jasho na Damu kulibeba Taifa letu katika mioyo ,vifua na Mabega yao.
Tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu kuna watu waliamua kusahau na kuwa mbali na familia zao kwa ajili ya kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu. Ni uchapakazi wao, kujitoa na kujitolea kwao,uadilifu wao, uzalendo wao,uaminifu wao na kulinda viapo vyao kwa Taifa letu ndio kumefanya Taifa letu kuendelea kuwa lenye Amani,utulivu na usalama wa kutosha.
Watanzania tutambue ya kuwa hawa wazee wetu wameumia sana ,kuteseka sana ,kunusurika kifo na kupoteza Maisha yao kwa sababu ya kulilinda Taifa letu. Wamevuja jasho na Damu kutetea na kuilinda mipaka yetu. miili yao ilijaa na kuvuja jasho kwa ajili yetu watanzania. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu,kuwaombea na kutambua mchango wao na uzalendo wao uliotukuka kwa Taifa letu ambao hakuna pesa ya aina yoyote ile na ya kiwango chochote kile inaweza kulingana na kujitoa kwao walikofanya kujitoa Maisha yao kwa ajili yetu.
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwajalia Maisha marefu hawa Majenerali wetu.aendelee kuwapatia afya njema na uhai, kwa sababu ni hazina kwa Taifa letu na mawazo yao bado yanahitajika sana kwa Taifa letu.
View attachment 3143045
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Siyo kweliKama utaongelea kuwa salama bila kuhusisha ujinga utakua unakosea Big time
Weka yako mshamba wewe"Chawa wa mama" siku hizi unasahau kuweka mawasiliano yako
Hivyo vita wananchi - wanajeshi wa chinichini huko ndo walikuwa mstari wa mbele pia- wengi walijifia, wengine wako mtaani hali ngumu.Mwananchi ndiye alikwenda akapigana vita vya uganda na Tanzania?wananchi ndiye anakesha usiku kucha akilinda mipaka yetu? Mwananchi ndiye anakesha akipambana na Magaidi yenye silaha za kivita?
Asante Lucas.. Lakini pamoja na hayo yote niko tayari kukusaidia bure kabisa.. Una shida kubwa lakini pengine hujuiUnazeeka vibaya sana na kila siku akili yako na uwezo wako wa kufikiri unaendelea kushuka na kuporomoka kama mmomonyoko wa udongo.
Shida unayo wewe.Asante Lucas.. Lakini pamoja na hayo yote niko tayari kukusaidia bure kabisa.. Una shida kubwa lakini pengine hujui
Lucas kizuri chajiuza kibaya chajitembeza... Wanaosaidiwa ni walemavu na watu wasio na uwezo wa kufanya mambo wenyeweNenda kakimbize wewe . mimi nitakuwa namtafutia kura za ndio Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Siyo kosa la kosa,uchafu wa CCM ndio maendeleo kwako.Kazi ya CCM ni kuwaletea maendeleo watanzania.kazi ambayo imefanyika kwa ufanisi mkubwa sana tangia kupatikana kwa uhuru wa Taifa letu.
Mimi siyo chawaChawa kambini.
Alistaafu na 66 yrs.Gen Mabeyo mbona bado kijana? au miaka ya jeshini inakuwa tofauti