Taifa letu wapinzani kutekwa limekuwa jambo la kawaida kijana wa BAVICHA mkoa wa Mwanza amefikisha siku 15 na hakuna taarifa yoyote

Taifa letu wapinzani kutekwa limekuwa jambo la kawaida kijana wa BAVICHA mkoa wa Mwanza amefikisha siku 15 na hakuna taarifa yoyote

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Leo ni siku ya 15 kijana wa BAVICHA mkoa wa mwanza tangu amenyakuliwa na watu wasiojulikana hakuna taarifa yoyote ya maana iliyotolewa na viongozi wa serikali.

Kwa sasa nchi yetu siyo mahali salaama kuishi hususani kwa wapinzani wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii maisha ya wapinzani yamekuwa ya kuishi kama ndege pori.

Pamoja wanaharakati kupaza sauti utekaji unaendelea na watu kupotezwa bila kurudishwa hii ni hatari katika taifa letu.
 
Leo ni siku ya 15 kijana wa BAVICHA mkoa wa mwanza tangu amenyakuliwa na watu wasiojulikana hakuna taarifa yoyote ya maana iliyotolewa na viongozi wa serikali.
Kwa sasa nchi yetu siyo mahali salaama kuishi hususani kwa wapinzani wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii maisha ya wapinzani yamekuwa ya kuishi kama ndege pori.
Pamoja wanaharakati kupaza sauti utekaji unaendelea na watu kupotezwa bila kurudishwa hii ni hatari katika taifa letu.


"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.

Red brigade
iongezewe nguvu na iwe na kitengo cha intel

wale makomandoo wa Mbowe wako wapi
 
kuna kitabu kinaitwa “Muhuni wa kwanza duniani ni serikali wengine wanafata ‘’

Ukikurupukia kama Lucas mshamba anaweza kusema anayoropoka kila siku.

Serikali iliyopo madarakani ndio iliyobeba chama na viongozi ambao wanaweza kuwa wema au sio wema pale watakapotaka kunyamazisha au ubavu maguvu.
 
kuna kitabu kinaitwa “Muhuni wa kwanza duniani ni serikali wengine wanafata ‘’

Ukikurupukia kama Lucas mshamba anaweza kusema anayoropoka kila siku.

Serikali iliyopo madarakani ndio iliyobeba chama na viongozi ambao wanaweza kuwa wema au sio wema pale watakapotaka kunyamazisha au ubavu maguvu.
Kimsingi kama taifa timefikia pabaya sana ! Kupotezwa imekuwa jambo la kawaida na viongozi wa dini wamekaa kimya na watu wanaopotea mimi huwa sioni makosa yao
 
Kimsingi kama taifa timefikia pabaya sana ! Kupotezwa imekuwa jambo la kawaida na viongozi wa dini wamekaa kimya na watu wanaopotea mimi huwa sioni makosa yao
Kipo kitabu kasome utaelewa haya.
 
Viongozi wa dini zote msikae kimya huu utekaji umezidi Hawa wanoitwa hawajulikani ni mfumo wa sisiem acheni ukimya,? Askofu,mchungaji,nabii,shekhe,mufti, .acheni ukimya Hawa wanaotekwa ulixeni serikali kuhusu haya mambo. Viongozi msiombee tu serikali ,
 
Taifa la watu wasiojua kudai haki zao. Hili nalo tutamsukumia Muumba Mbingu na nchi atusaidie.
Na ndiyo maana CCM inatamba itatawala hadi wachoke - kutawala taifa lisilojielewa ni kazi nyepesi.
 
Kimsingi kama taifa timefikia pabaya sana ! Kupotezwa imekuwa jambo la kawaida na viongozi wa dini wamekaa kimya na watu wanaopotea mimi huwa sioni makosa yao
Ngoja na wao,familia zao watakuja kutekwa nao ndy akili zao zitakuja kukaa sawa

Ova
 
Leo ni siku ya 15 kijana wa BAVICHA mkoa wa mwanza tangu amenyakuliwa na watu wasiojulikana hakuna taarifa yoyote ya maana iliyotolewa na viongozi wa serikali.

Kwa sasa nchi yetu siyo mahali salaama kuishi hususani kwa wapinzani wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii maisha ya wapinzani yamekuwa ya kuishi kama ndege pori.

Pamoja wanaharakati kupaza sauti utekaji unaendelea na watu kupotezwa bila kurudishwa hii ni hatari katika taifa letu.
Ndiyo mkome kumsingizia Magufuli
 
Ndiyo mkome kumsingizia Magufuli
It seems like you are among of the people with a short-sighted mind.

Tatizo hili la Utekaji watu na Mauaji lilianza hata kabla ya Magufuli hajazaliwa. Vitendo hivi vya Utekaji watu vilikuwepo Tz tangu zamani Sana enzi za Utawala wa Awamu ya Kwanza na hadi Sasa, na vitaendelea kuwepo hadi hapo chanzo chake kitakapokomeshwa kabisa.
 
It seems like you are among of the people with a short-sighted mind.

Tatizo hili la Utekaji watu na Mauaji lilianza hata kabla ya Magufuli hajazaliwa. Vitendo hivi vya Utekaji watu vilikuwepo Tz tangu zamani Sana enzi za Utawala wa Awamu ya Kwanza na hadi Sasa, na vitaendelea kuwepo hadi hapo chanzo chake kitakapokomeshwa kabisa.
Tatizo lilikuwa kubwa sana wakati wa hayati Magufuli.
 
Hivi viongozi wa TISS huwa wanafikiria "intelligently" kweli?.
Au tumewapa kazi ya TISS watu wasio wazalendo?.
Nasikitika sana.
Na Mungu baba ashughulike na wale wote wanaoua na kuteka watanzania wenzetu.
NB: Uhai wetu u mikononi mwa Mungu.
 
Back
Top Bottom