Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi viongozi wa TISS huwa wanafikiria "intelligently" kweli?.
Au tumewapa kazi ya TISS watu wasio wazalendo?.
Nasikitika sana.
Na Mungu baba ashughulike na wale wote wanaoua na kuteka watanzania wenzetu.
NB: Uhai wetu u mikononi mwa Mungu.
Wapinzani wa JF au Wapinzani wa mitandaoni huwa hawatekwi???💭
Na hawa Wapinzani wa JF mbona huwa hawatekwi?
Kwasababu wanaishi kama ndege pori?
Kwa hiyo ni halali utekaji iendelee??????!!!!!!!!🇹🇿🇹🇿🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸It seems like you are among of the people with a short-sighted mind.
Tatizo hili la Utekaji watu na Mauaji lilianza hata kabla ya Magufuli hajazaliwa. Vitendo hivi vya Utekaji watu vilikuwepo Tz tangu zamani Sana enzi za Utawala wa Awamu ya Kwanza na hadi Sasa, na vitaendelea kuwepo hadi hapo chanzo chake kitakapokomeshwa kabisa.
Sikumumunya. Wapinzani wa JFWapinzani wa JF au Wapinzani wa mitandaoni huwa hawatekwi???
Umeandika kwa hasira sana.Are you serious???
FYI: Baadhi ya maiti za Watu ambazo zimekuwa zikiokitwa kwenye viroba huko mitaani kwenye mitaro ya maji, fukwe za bahari, mito, baadhi yao walikuwa watumiaji wazuri Sana wa mitandao ya kijamii.
Kwa hiyo ni halali utekaji iendelee??????!!!!!!!!🇹🇿🇹🇿🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
TISS ya sasa inatoka UVCCM unategemea uzalendo gani hapo wao kazi yao kubwa ni kulinda chama na maslahi yake mambo mengine hamnaHivi viongozi wa TISS huwa wanafikiria "intelligently" kweli?.
Au tumewapa kazi ya TISS watu wasio wazalendo?.
Nasikitika sana.
Na Mungu baba ashughulike na wale wote wanaoua na kuteka watanzania wenzetu.
NB: Uhai wetu u mikononi mwa Mungu.
Hatuna viongozi wadini Tanzania, kuna viongozi wa taasisi kama tasiasisi nyingine tu za kawaida viongozi wote machawa wanatuma mawakala wao kwenad kuomba michango ya mambo yao wala si watu wakuwategemea kabisa kwani nao wanatafuuta fedha tu kama NGO nyingine tu. Hawezi kukemea mabaya kama Yesu alivyokuwa anafanya aliwakemea waziwazi mafarisayo na masudukayo wanafiki.Kimsingi kama taifa timefikia pabaya sana ! Kupotezwa imekuwa jambo la kawaida na viongozi wa dini wamekaa kimya na watu wanaopotea mimi huwa sioni makosa yao
Kwa hao Watu, wao neno Uzalendo wanalitafsiri kwamba ni kama 'kujiunga na kuwa mwanachama mtiifu wa CCM, sambamba na kuimba mapambio ya kuabudu na kuisifu Ccm na mambo yake yote.' Wao wanajua kuwa huo ndio uzalendo, tena wanaita kuwa eti ni 'uzalendo wa kiTanzania.'TISS ya sasa inatoka UVCCM unategemea uzalendo gani hapo wao kazi yao kubwa ni kulinda chama na maslahi yake mambo mengine hamna
Je, tukiingia chadema madarakani ina maana tutawafukuza TISS wote kwasababu ni wa CCM?TISS ya sasa inatoka UVCCM unategemea uzalendo gani hapo wao kazi yao kubwa ni kulinda chama na maslahi yake mambo mengine hamna
Kazi za Majeshi ya Serikali katika nchi yoyote ile hapa duniani ni kulinda maslahi ya Watu wote katika nchi bila ya upendeleo usio wa haki na bila yaJe, tukiingia chadema madarakani ina maana tutawafukuza TISS wote kwasababu ni wa CCM?
chadema tutawezaje kulinda maslahi yetu? Manake hatuwezi danganyana na Sisi chadema hatuna maslahi.