Mbona mwigulu ana tuhuma za wizi wa fedha za umma na bado ni waziri wa fedha?Huyu alikuwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, awe na tuhuma kama hizo nani ataweza kumshawishi nani afuate sheria??
Ukiwa kiongozi unatakiwa ukae mbali na even harufu ya uovu, Gekul kachemka!!
Hilo tu!! Hampaswi kumlinganisha na Makonda licha ya tawala kuwa tofauti kabisa!!
Umekurupuka. Nisome tenamihemko na ghadhabu inashusha uzito wa hoja yako
unaendelea kuikosesha maana zaidiUmekurupuka. Nisome tena
Kama kweli kafanya huo uovu, anastahili adhabu, bila kujali kama waovu wenzake wamehukumiwa.Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
na kwamba...
Kwani yeye hakulijuwa hiloGekul hana watu, hana mizizi mikubwa ndani ya chama
Kwaiyo lisu kumtaja hadharani ndo ushahidi wa wazi Cha pili lisu ni mwanasheria kama ana ushahidi wa wazi kwanini asifungue kesi mahakamani?Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lisu kamtaja hadharani, mwandishi w magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikiomuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Madaraka yanalevya, haswa kwa mtu mpumbavu lazima apagawe, huyu alipaswa ajijengee connection nzito ndani ya chama chaoKwani yeye hakulijuwa hilo
Mbona alianza kulewa madaraka sifa mapema sana wakati huko alikokwenda yeye mgeni tu bado
Ova
Kwanini GSM wameporwa nyumba wanafungua kesi kwa manara baada ya mahakamani?Meza mate ulale
Mwambie huyo demu wako aache kuingizia binadamu wenzake chupa matakoniMm ndo nishamaliza kusema hivo
Kuingizia binadamu wenzake chupa matakoniGekul anatuhumiwa na nini kwani
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Hana mizizi, hana uimara!! Atang'oka..Gekul hana watu, hana mizizi mikubwa ndani ya chama
Double standard?????Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...