Taifa liache unafiki. Hivi uovu wa Gekul unafikia hata robo ya ule wa Makonda?

Iache treni iende Kigoma usiichepue iende Mpanda.
 
 
Mbona mwigulu ana tuhuma za wizi wa fedha za umma na bado ni waziri wa fedha?

Justification za kitoto hizi bro grow up!! Yule kijana kaongea kafanywa jambo la ukatili!! Kitendo cha kutajwa from the "horses mouth" tu kuwa kashiriki kuvunja katiba na yeye ni naibu waziri wa sehria na katiba!! No way...!! Aende tu

Mwigulu hakuna aliyesema ni hela ipi imepigwa? Wapi? Kiasi gani? Ila ndiyo tunasema kaiba, hata mie najua ni mwizi ila ushahidi sina!!!
 
Bashite ni mnyama zaidi,
 
Haya majitu ya huko Mbulu yana roho mbaya sana hasa yakiwa na madaraka.
Mh hujakosea wambulu kiboko halafi kwa wanawake sifa yao kuu ni uhuni na umalaya yan hao watu hawasemagi NO..kingine ni wabishi na hawajui kujenga hoja mnaweza kubishana kitu ambacho hakina mantik ya kubishana..
 
Kwamba hatua za jinai zinaangalia nafasi ya mtu na wakati? Hii ni akili ama nini? Anyway ni tawala tofauti lakini hilo lilitosha kumtopa nafasi aliyeonayo.
 
Weka hapa uovu wa makonda kwa ushahidi usionekane unajua kuongea tu shusha mikeka makonda usiwe chawa usiokuwa na data
 
Mkuu sijaelewa unajaribu ku justify kitu gani ? Ila nnachojua mimi makosa ya makonda yamezidi tena mbali kabisa lakin hakujustify huyu mama kumuingiza machupa yule dogo au we unaonaje ? Kila siku tunasema hii nchi inabid katiba mpya ije kwa kasi, mtu akisema hivyo hata kama hana chama mnamhusisha na chadema sijui kwa nini, Katiba mpya haitakuwa na upuusi wa double standars sawa ? Bashite na gekul wote ni mapuusi ila kwakuwa mmoja kapendelewa haiguarantee mwingine kupendelewa na kama ikiwa hivyo si hii nchi itakuwa ya hovyo sana kuliko ilivyo hapo ilipo ? Msijifiche kwenye kivuli cha gender raisi ni gender pendwa kabisa kwenu wanawake.
 
Taja watu walioteswa na Makonda.
 
Sijaiona hiyo clip mwenye nayo tafadhali anipatie
 
Kama vyombo vya usalama haviwezi kuthibitisha wizi wa Mwigulu, basi tuna serikali ya hovyo kuliko zote duniani
 
Hakuna maamuzi yenye kuhusisha mashitaka au vitendo vyenye uelekeo huo bila utashi wa kisiasa na nia ya kushitaki (political will and intention to prosecute).
Tofauti kuu ya haya matukio ni hiyo. Moja polisi wamejihusisha kwa uwazi kabisa jingine hawajawahi.
 
Ninashauri hata RPC, OCD na Maaskari waliomtesa huyo kijana wachukuliwe hatua. Inakuwaje kijana amelala Kituo cha Polisi siku nne bula dhamana huku akiteswa bila sababu. RPC,OCD wawajibike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…