Taifa limeingizwa kwenye mtego wa chuki kubwa

😂😂😂 ask me this over a drink probably vodka blood mary cocktail 🍹
I am in Nairobi, you are probably in Dar es Salaam. If you were in Arusha, I could drive there and sit you over some coffee............or vodka if it pleases you.
 
I am in Nairobi, you are probably in Dar es Salaam. If you were in Arusha, I could drive there and sit you over some coffee............or vodka if it pleases you.
Nothing is impossible under the sun but I’m married to Asprin and I love him so much.
 
Niko hapa na watz wenzangu wa kweli na wazalendo.

Tumefurika Ukumbi wa mpira tukishangilia our beloved Taifa stars.

Kazi kwao wanaoteseka kuaminisha ujinga.
 
Taifa stars inaombewa kufungwa kwasababu ya serikali inayochukiwa na wanasiasa wanaoitumia.
 
Chuki za kisiasa huwa zinakuja kwa kasi sana hasa pale inapotokea kiongozi mkuu wa nchi anatokea kwenye ile dini iliyoletwa na wazungu.
 
Naimani Taifa Stars hawata tuangusha leo. Mungu bariki Tanzania, Mungu bariki Taifa Stars..

ONE LOVE.
 
mkuu mbona una hofu isiyoweza kutatua tatizo?
mpanzi wa hii chuki anapaswa kung'olewa yeye na pando lake linajifia kwa kukosa wa kulimwagilia maji.

ikifungwa inaweza kuwa mwanzo mzuri wa waliokengeuka haiyumkini wakarudi kwenye mstari na dumu daima wakaiogopa mbegu hii ya magugu.
 
Umeanza kubadili msimamo baada ya kuona mnatiwa ndole siyo?
 
Mkuu nimeya copy/paste maneno yako kwenye notebook asee. Ingependeza sana kama watanzania wote wangeyaelewa kama nilivyoyaelewa mimi[emoji106]. Mungu ibariki Tanzania.
 
Watu wanashangilia kenya kupata goli kuliko ilivopata tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…