Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa pesa zao

Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa pesa zao

Naanza na swali, Je ! Hivi ni sahihi!?

Radioni, TV , Simu, Michezoni, Mpira(kubeti) ni kamari tupuu. Hivi ni sawa!!? Na je hii michezo haramu haina age restriction!?

Hivi ni nini kinaendelea nchini. Yani hapa nimewasha Radio huyu mtangazaji anavyohimiza watu wacheze hiyo buku ni hatari, yani hadi mishipa inamtoka.

Nakumbuka hayati Magufuli alizuia hizi kamari baada ya kuombwa na viongozi wa dini, ikawa banned kufanyika hadharani namna hii. Hivi sasa yoote imerudi .

Watu wanaibiwa tu. Hivi kwanini isifanyike kimyakimya. M mwenye shida aitafute huko kimyakimya.

Taifa linakuwaje la kiharamiaharamia namna hii na mamlaka husika za kulisimamia hili ni zipi!?? Au ndo tozo!?

Embu tulitafakari hili!?
Ni kweli kbsa umeongea jambo la muhimu sana. Kudoz
 
Hata Simba na Yanga kwa sasa zinatangaza kampini za kamari kupitia jezi zao[emoji15][emoji15]
 
Naanza na swali, Je ! Hivi ni sahihi!?

Radioni, TV , Simu, Michezoni, Mpira(kubeti) ni kamari tupuu. Hivi ni sawa!!? Na je hii michezo haramu haina age restriction!?

Hivi ni nini kinaendelea nchini. Yani hapa nimewasha Radio huyu mtangazaji anavyohimiza watu wacheze hiyo buku ni hatari, yani hadi mishipa inamtoka.

Nakumbuka hayati Magufuli alizuia hizi kamari baada ya kuombwa na viongozi wa dini, ikawa banned kufanyika hadharani namna hii. Hivi sasa yoote imerudi .

Watu wanaibiwa tu. Hivi kwanini isifanyike kimyakimya. M mwenye shida aitafute huko kimyakimya.

Taifa linakuwaje la kiharamiaharamia namna hii na mamlaka husika za kulisimamia hili ni zipi!?? Au ndo tozo!?

Embu tulitafakari hili!?
Hizi ni dalili za wazi za taifa kupoteza mwelekeo. Ukiona wananchi wanainiwa wazi wazi halafu wenye mamlaka wanaopaswa kusimamia sheria hawasemi kitu, basi ujue hii ni racketeering.

Sasa hivi bongo za vijana zinakuwa rewired kufikiri njia za mkato tu kujipatia kipato. Mabinti wanajiuza hadharani, vijana wao ni kamari tu, wasipokuwa na mitaji wakageuka panyaroad. Kama taifa tumekosa dira, tunajifariji kwa cheap politics, lakini hakuna nia njema kwa wananchi. Hii inaitwa legalized criminal gangs, kwa ajili ya kuwaibia wananchi wasio na ufahamu. Kama taifa tunaelekea shimoni.
 
Watu wanahitaji kulipa Bills sio kufurahisha watu
 
Ukiwa na aina ya siasa tulizo nazo hakuna rangi utaacha ona.

Anything to mesmerize the youth and get their minds off politics.

Half cooked tv channels and radio stations, foolish music and unschooled movies, imaginery celebrities, unrational punditry for games, gambling, etc etc.

Lakini bila mipango na juhudi madhubuti za uzalishaji mali, mkwamo na mlipuko utakuwa mkubwa sana huko mbeleni.
 
Ukiwa na aina ya siasa tulizo nazo hakuna rangi utaacha ona.

Anything to mesmerize the youth and get their minds off politics.

Half cooked tv channels and radio stations, foolish music and unschooled movies, imaginery celebrities, unrational punditry for games, gambling, etc etc.

Lakini bila mipango na juhudi madhubuti za uzalishaji mali, mkwamo na mlipuko utakuwa mkubwa sana huko mbeleni.
Yeah, linatengenezwa time bomb
 
Naanza na swali, Je ! Hivi ni sahihi!?

Radioni, TV , Simu, Michezoni, Mpira(kubeti) ni kamari tupuu. Hivi ni sawa!!? Na je hii michezo haramu haina age restriction!?

Hivi ni nini kinaendelea nchini. Yani hapa nimewasha Radio huyu mtangazaji anavyohimiza watu wacheze hiyo buku ni hatari, yani hadi mishipa inamtoka.

Nakumbuka hayati Magufuli alizuia hizi kamari baada ya kuombwa na viongozi wa dini, ikawa banned kufanyika hadharani namna hii. Hivi sasa yoote imerudi .

Watu wanaibiwa tu. Hivi kwanini isifanyike kimyakimya. M mwenye shida aitafute huko kimyakimya.

Taifa linakuwaje la kiharamiaharamia namna hii na mamlaka husika za kulisimamia hili ni zipi!?? Au ndo tozo!?

Embu tulitafakari hili!?
Na hili pia mkalitazame
 
Bhalaa Gani Mpaka Redio Na Television Ya Taifa Nao Wanachezesha Kamari
 
Back
Top Bottom