Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Bullshit
 
Taifa letu
Sasa km Taifa lenu! likisimama linatuhusu nini sisi?... wagagagigikoko? au....... ni ushamba wenu tu!! endeleeni kuwa Majuha!! sisi taifani kwetu tunapiga kazi kwa kwenda Mbele ...... iviiii!!

Naomba kuuliza ''una Nywele Mkuu''??
 
Kama wewe ni mfanyabiashara mkubwa hata ujifiche vipi biashara yako itakufanya ujulikane

Hata bakhressa sio mtu wa kuonekana. Ila biashara zake zimempa umaarufu

Mfano mwingine ali mafuruki,marehemu zakaria,

Sasa huyo bwana harusi unaemsifia kasimamisha nchi na sifa za mfanyabiashara mkubwa unampatia, huku hakuna hata mtu mmoja anaemjua humu. Maana yake ni sifa za kijinga unampatia
 
Huku watu wanatumia majina fake ndo maana kujuana ni ngumu acha ujinga
 
Sitaki mimi na huyo shemeji yako unaemtegemea kwa kila kitu,atakuja kuwaoa wewe na dada ako mmuzalie mapacha
Acha kujipendekeza kwa wanaume bwashee, huyo Gilsant si ajabu hata hakujui ila upo busy humu kumtetea na kulazimisha watu kumjua ilhali hajulikani.Atakuja kukula kitobo,shauri yako sasa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unavyosema hakuna hata mtu mmoja anayemjua umeshawauliza member wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…