Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Dhuuu!!!aisee unakuwa kama umefika mjini Leo kula jambo kwako ni geni sasa huyo jamaa mbona hatujawai msikia alafu kwa kukusaidia hamna mwanamke mjasiliamali below 35 wengi ni coat la kuuza mbususu tu.
You are full of negativity
 
First year mmeshaanza kusumbua wakati mnanuka maziwa
 
Hugo braza fala sana kutwa kukihonga hicho kidemu halafu wala hakishoboki nae sana kama yeye ikitoka simu mpya kanataka sasa mjasiriamali Wa wapi huyo?
 
JF kuna sadist wengi sana Kaka. Mara nyingi wanajiona wanajua vitu vingi na wakishajua hawajui kitu ili kujifariji wanakuattack. Wazoee tu
 
Picha ya mrembo aonekane usoni bhasi
 
Mtu akimuhonga mtuwe pia mna mind? Watu humu mbona mna makasiriko Sana...ulitaka akuhonge ww?
Watu wa humu once wakijua hawajui kitu, kukufanyia bullying ndio option yao ya kujifariji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…