Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Si bora ungesema ndoa ya kitale taifa limesimama hao hata hawajulikani
 
Kwaiyo mkuu unamaanisha na wewe wakati unaolewa mlikua mmeshafanikiwa?
Achen ujinga wa kumaliza tu shule twenu huna hata mbele wala nyuma unataka watu wakuchangie ufanye harus kubwa,na ukimaliza hyo harusi unaanza kupiga miayo kama mbwa hata kutafuta hela ya sabuni jero tu huwez,nyambafu

Tena wenye hz tabia ni nyie wenye ushamba wa ku ma unakuta mmezijua ukubwan
 
Japo mimi na wewe hatujuani lakini amini usiamini kama siwafahamu then they're nobodies.
 
Dhuuu!!!aisee unakuwa kama umefika mjini Leo kula jambo kwako ni geni sasa huyo jamaa mbona hatujawai msikia alafu kwa kukusaidia hamna mwanamke mjasiliamali below 35 wengi ni coat la kuuza mbususu tu.
Lol πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…