Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Taifa zima lipaze sauti mpaka wanaofanya uonevu waone aibu.
Kuanzia Masheikh, Maaskofu na Wachungaji, Wafugaji na Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi. Kesho kwa pamoja tupaze sauti kubwa Mtanzania mwenzetu mpenda haki aachiwe tena akiwa mzima wa afya.
Kuandaa maandamano ya hiari kudai katiba ni kosa? Maandamano aliyoandaa yanahatarisha amani?
Katiba ya JMT ibara ya 21(2) ipo wazi kila mtanzania anayo haki kushiriki masuala ya kitaifa ambayo yanamanufaa kwa umma.
Kwa kuandaa maanadamano ya hiari na ya amani kuna kosa?
Kama kuna hatari au uvunjifu wa amani, mbona hatujaambiwa kama taarifa za intelijensia zimebaini hatari yoyote?
Bishop Mwamakula aachiwe bila mashariti wala madhara.
Kuanzia Masheikh, Maaskofu na Wachungaji, Wafugaji na Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi. Kesho kwa pamoja tupaze sauti kubwa Mtanzania mwenzetu mpenda haki aachiwe tena akiwa mzima wa afya.
Kuandaa maandamano ya hiari kudai katiba ni kosa? Maandamano aliyoandaa yanahatarisha amani?
Katiba ya JMT ibara ya 21(2) ipo wazi kila mtanzania anayo haki kushiriki masuala ya kitaifa ambayo yanamanufaa kwa umma.
Kwa kuandaa maanadamano ya hiari na ya amani kuna kosa?
Kama kuna hatari au uvunjifu wa amani, mbona hatujaambiwa kama taarifa za intelijensia zimebaini hatari yoyote?
Bishop Mwamakula aachiwe bila mashariti wala madhara.