Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba DR Congo mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
This thread is in-congruent to us. It has not happened , and we hope it will never happen.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba DR Congo mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Kama ni kweli basi mzalendo wa kweli ni yule aliyejitoa kummaliza mzalendo wako.
 
Bado mzimu wa jeipiemu unakusumbua.

Kuwa mpole
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba DR Congo mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
We taga vipi,unataka kusemaje?

Baba yako alikuwa na matatizo ya moyo. Alikuwa anatumia moyo wa umeme halafu akaleta ubishi kwenye korona. Korona inawaonea sana wenye matatizo ya kiafya.

Kwa hiyo baba yako dikteta jiwe alikufa kwa korona. Kama ni laana utapata wewe unayezusha vitu ambavyo havipo!
 
Hiyo laana naielekeza kwa wote waliohusika kwa namna yoyote ile! Laana na iwatafune vizazi vyao vyote kwa jina la Mungu aliyehai, kwa jina la Yesu Kristo, amen!
Tanzania Mungu tunaomba uendelee kutuletea manabii wa mfano wa JPM, amen!
Kwa kuongezea, laana iwafikie wote waliohusika kuivuruga demokrasia, waliotoa amri ya kupigwa risasi tundu lissu, waliohusika na kupotea kwa Beno sanane na azory, waliowanyanyasa vyama pinzani kana kwamba wao wanahati miliki ya kuongoza nchi hii
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba DR Congo mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
umeshiba maharage ya wapi wewe?
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba DR Congo mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
tatizo lenu mkiitaja tanzania mnajua Tanzania ni wasukuma tu, kuna na makabila mengine jamami, mwacheni mwenda zake aende zake wengine tuliteseka sana, KILA KITU KANDA YA ZIWA, KILA KITU GEITA, KILA KITU CHATU. POOR MAGUFULI
 
Mtoa mada pole Sana, hii kazi ya kueneza chuki za kijinga zisizo na msingi ni ngumu Sana. Unapoteza muda tu hautofanikiwa, labda ungewatafuta mambulula wenzako pengine ungeweza kuwaaminisha hayo, unajiaibisha bure
 
Ulikuwa muimba mapambio umegeuka ghafla

Nimemgeuka nani🙄🙄🙄

JPM atabaki kuwa mwamba, shujaa na Rais wa karne

Wacha kazi iendelee na Ironlady SSH zao halisi la shujaa chini ya serikali makini ya CCM

Upo!?
 
Japokuwa upo nje ya mada ngoja nikujibu.

Kuwa mteja wa corner Bar afrika sana ndio sababu ya kuwa na ukimwi?

Kunywa kikombe Loliondo ndio sababu ya kuwa na ukimwi? Tumia akili we boya.
Kwa hiyo shughuli kubwa ya Corner Bar huijui? Au uko Biharamuko sijui Geita.?

Kwa taarifa yako Corner Bar ndiyo soko la changudoa. Changudoa ni Malaya wanaouza ngono. Mwendazake hata condom alikuwa haijui
 
Hahahaha. Watu mna data aiseeee
Kwenye mambo ya ngono alikuwa Hana simile. Wanawake wote kwenye cabinet yake yaani akina Jenista, Kairuki, Ummy Mwalimu, Jokate kwapitia mpaka wengine kawazalisha watoto
 
Kwenye mambo ya ngono alikuwa Hana simile. Wanawake wote kwenye cabinet yake yaani akina Jenista, Kairuki, Ummy Mwalimu, Jokate kwapitia mpaka wengine kawazalisha watoto
Huna akili pumbavu usiejitambua.
 
Back
Top Bottom