Taifa Stars akipiga pira la Gamondi, leo kufuzu ni 100%

Taifa Stars akipiga pira la Gamondi, leo kufuzu ni 100%

Kwani mama hajasema na wajomba zake watufanyie wepesi...😅
 
Wakijichanganya kushambulia ndio tutakufa mengi.

Mechi ya leo kiufundi Ni kuwaacha Algeria wacheze Mpira lakini hakuna kutufunga goli ndio Salama yetu.

Hii siyo mechi ya kutafuta ushindi, Ni mechi ya kutafuta sare makocha wazuri wanajuwa mechi hizi zinachezajwe, waache wao wapate ball possession hata 70% lakini hakuna goli, ila wakijichanganya tu counter attack moja tu score body inabadirika mnawakomalia mpaka mwisho moja bila.
Kocha atazingatia hilo
 
Usijipe matumaini ya kwamba hii mvua labda itapungua na kuwa manyunyu kwa sababu imeshanyesha vya kutosha!.....

Ama inanyeshea kwenye ardhi yake ya siku zote basi inshallah itabadilika kuwa manyunyu!!!! BIG NO!
 
Muda huo ntakuwa bize na shemeji yenu nikijipigia magori kama vile halaand,,,,sina time na timu ya taifa lolote liwakute tu
Sawa,na wewe likukute

Naomba jogoo wako asimame nusu mlingoti,
 
Usijipe matumaini ya kwamba hii mvua labda itapungua na kuwa manyunyu kwa sababu imeshanyesha vya kutosha!.....

Ama inanyeshea kwenye ardhi yake ya siku zote basi inshallah itabadilika kuwa manyunyu!!!! BIG NO!
Aahaaaa,weka utabiri wako
 
Tisijichanyanye kufunga goli"Ni sawa na kulala na demu mwenye ngoma,unaruhusiwa kumtomasa tomasa lakini
Ahaaaa,na sidhani kama Algeria watatuacha hivi hivi,kikubwa ni kupambana tu
 
Back
Top Bottom