Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Aahaaaaa,Niepushe na WAPUMBAVU, WAJINGA, ma lofa nk.
Relax mkuu,uzalendo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahaaaaa,Niepushe na WAPUMBAVU, WAJINGA, ma lofa nk.
Haitajiki Mungu kukufundisha jambo jepesi Kama HiloE Mungu NIFUNDISHE kunyamaza.
Aahaaaa Hawa ni Waarabu wenzetu kasoro rangi tuKwani mama hajasema na wajomba zake watufanyie wepesi...😅
Leo saa nne usikuWanacheza Lini??
Leo saa nneWanacheza Lini??
Kinyume chakeAlgeria 4_0 taifa stars
Kocha atazingatia hiloWakijichanganya kushambulia ndio tutakufa mengi.
Mechi ya leo kiufundi Ni kuwaacha Algeria wacheze Mpira lakini hakuna kutufunga goli ndio Salama yetu.
Hii siyo mechi ya kutafuta ushindi, Ni mechi ya kutafuta sare makocha wazuri wanajuwa mechi hizi zinachezajwe, waache wao wapate ball possession hata 70% lakini hakuna goli, ila wakijichanganya tu counter attack moja tu score body inabadirika mnawakomalia mpaka mwisho moja bila.
Pamoja mkuuKila la heri Taifa [emoji93]
Tuko pamoja
Tunawataka waende,wapambane kiumeKwa hiyo hamtaki kuwaona Aucho na Gifty wakienda AFCON?
🤛🤛🤛🤛🤛🤛🤛🤛🤛Tanzania nguvu moja
Tanzania unyama mwingi
Sawa,na wewe likukuteMuda huo ntakuwa bize na shemeji yenu nikijipigia magori kama vile halaand,,,,sina time na timu ya taifa lolote liwakute tu
Aahaaaa,weka utabiri wakoUsijipe matumaini ya kwamba hii mvua labda itapungua na kuwa manyunyu kwa sababu imeshanyesha vya kutosha!.....
Ama inanyeshea kwenye ardhi yake ya siku zote basi inshallah itabadilika kuwa manyunyu!!!! BIG NO!
Aahaaaa,acha uogaTutakacho kipata[emoji24][emoji24][emoji24]. Leo mi naangalia mpira huku nikifumba macho. Na mtima wangu ukiuma saaaaana.
Hapa ni uzalendoUkichanganya tu mambo ya simba na yamba stars haitoboi
Kule Pm umenikataa!?Aahaaaa,weka utabiri wako
AahaaaaSorry tunafungwa Lini?
Kwa hiyo leo utakaa kabisa ukiombea mizimu ya kwenu ili Boko atupie. Kweli duniani kuna maajabu maana leo ni mishangao tuTunawataka waende,wapambane kiume
Ahaaaa,na sidhani kama Algeria watatuacha hivi hivi,kikubwa ni kupambana tuTisijichanyanye kufunga goli"Ni sawa na kulala na demu mwenye ngoma,unaruhusiwa kumtomasa tomasa lakini