Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa michezo ni Nani kumbe?Serikali inafeli sana kama ni hivyo
Mwachie shemeji aishangilie timu ya taifa,wewe huna interest,yeye ana interest.Muda huo ntakuwa bize na shemeji yenu nikijipigia magori kama vile halaand,,,,sina time na timu ya taifa lolote liwakute tu
Na maombi yakatimie. Iramba nkuluMizimu yangu ya kinyiramba na Kiha inaniambia kuwa iwapo Taifa Stars atamimina pira Gamondi,basi kwenda Ivory Coast ni uhakika
Wacheze mpira wa popote kambi na kwamba kushinda ni dimba lolote siyo lazima iwe nyumbani
All the best
Utabiri:
Algers 1-2 Tanzania
We ndo yule Mudi kwenye ile clip nini maana inaonyesha uliikamia ile mbususustory yako inatufundisha nn 🤣
Li kikosi limejaa vyura...wapigwe tuu..Hii Simba mbovu? Bora iwe hivyo