Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #41
Nimempa Uganda apate goli moja ila Niger ashinde mechi nzimaKwa hiyo leo utakaa kabisa ukiombea mizimu ya kwenu ili Boko atupie. Kweli duniani kuna maajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimempa Uganda apate goli moja ila Niger ashinde mechi nzimaKwa hiyo leo utakaa kabisa ukiombea mizimu ya kwenu ili Boko atupie. Kweli duniani kuna maajabu
Hayo ndio mambo sasa, kula gwala👊👊💪Aahaaaa
Mmggh Tz hatuonyeshi hili gameLeo saa nne
Kinyume chake
Tunaongelea Algeria, umekaa kabisa unaombea Boko ang'aeNimempa Uganda apate goli moja ila Niger ashinde mechi nzima
Azam wanasemaje!?Mmggh Tz hatuonyeshi hili game
💪💪💪💪💪💪💪Hayo ndio mambo sasa, kula gwala👊👊💪
Nimelipa mechi nzima over 2.5Tunaongelea Algeria, umekaa kabisa unaombea Boko ang'ae
🤣😂🤣😂🤣 kuwa mzalendo basiiiNimelipa mechi nzima over 2.5
Boko aendi popote
Tunashinda hiyo mechiAlgeria washafuzu watachezesha kikosi b lakini kwa Tanzania hii kichwa cha mwendawazimu ata ile draw itatushinda
Hela Yako hii man C983546💪💪💪💪💪💪💪
Acha niifuateHela Yako hii man C983546
Serikali nzima inasikilizia fadhila za AZAMAzam wanasemaje!?
Serikali inafeli sana kama ni hivyoSerikali nzima inasikilizia fadhila za AZAM
Andika hapa formula uliyotumia wenye elimu ya Nyota tutaelewa kama wewe ni ukweli au magumashi tu, au umeambiwa na mtu?Najua hii wengi hamta amini lakini hesabu ya namba inakataa kabisa ushindi wa ALGERIA dhidi ya TANZANIA leo nitakuwa mbinafsi kama sijawasogezea taarifa hizi na ushindi wa TANZANIA utapatikana kwa bao moja pekee hicho ndicho nilichokiona kwenye maono yangu (wabillahi taufiq allah ndie mjuzi zaidi )
Can you show us?Najua hii wengi hamta amini lakini hesabu ya namba inakataa kabisa ushindi wa ALGERIA dhidi ya TANZANIA leo nitakuwa mbinafsi kama sijawasogezea taarifa hizi na ushindi wa TANZANIA utapatikana kwa bao moja pekee hicho ndicho nilichokiona kwenye maono yangu (wabillahi taufiq allah ndie mjuzi zaidi )
Algeria 1-3 taifa starsAlgeria 4_0 taifa stars