GANDA ASHINDI MKUU MASHEMEJI ZNAGU ILA LEOO AWATOKI KWAMCHINA TAKE MA WORDS SHIDA KUBWA IKO CAPEVD HUKOO LESOTHO ANAWEZA FANYA MIUJIZA MKAISHIA KUTAPIKA ZILE BIAToka lini maombi yakasaidia timu kushinda mpira?
Kama ni maombi basi tulitakiwa kushinda mechi kati yetu na Lesotho maana hata kwa wingi tuko wengi, zaidi ya milioni 58 na Lesotho wako milion 2 tu maana maombi yetu yangekua mengi kuliko wao.
Uganda anaondoka na ushindi mnono tu hapa na Lesotho wanashinda dhidi ya Cape Verde.
Cuf pia imulike mechi kati yetu na Uganda tusije kua tumepanga matokeo Uganda watufanyie fair ikitokea tukashinda.
Ni baada ya mpira wetu kuingiliwa na siasa ambayo tayari imeishatugawa. Suala hili hasa baada ya kungiliwa na Sir Bashite tayari mpasuko mkubwa umetokea na watu kutaka kushangilia Uganda. Naomba tafadhali pendekezeni jukwaa gani tukae tulete hamasa kwa Waganda ili watufunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh! Shikamoo Kaka Mtani!Kila la Kheri Timu Yangu ya Uganda
Uganda piga Team Amunike goli za kutosha tu
Natumai Okwi hutoniangusha
Sawa Mangi.
Watu kama nyie mnapaswa mfungwe jiwe kubwa shingoni kisha mtupwe baharini..hamna faida yeyote kama mnaendekeza usaliti kwa timu yetu ya taifa stars..au mlitak kwenye jezi kuchorwe mbalamwezi na nyota juu?
Hili ni taifa la kikristo ..kma hamtaki ondokeni mkaanzishe taifa lenu uko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh! Shikamoo Kaka Mtani!
Haya bana.Mungu Saidia Lesotho
Mungu Saidia Uganda
Mungu wanyime ushindi hata sare genge la Bashite na Amunike aka Team Wema.
Amin
Ni kweli tungeweza kushinda lakini hizo ahadi za kufunga mitaa kisa watu wale Pombe nahisi mungu anaweza kutuadhibu.Kwa waleo ambao hatupo tayari kuishangilia taifa stars tukutane hapa. Eleza sababu kwanini hutaishangilia Stars na badala yake utaishangilia the Cranes!
Mm binafsi sitaishangilia stars na badala yake nitaishangilia the cranes kwasababu zifuatazo.
1. Ushindi wa stars utaleta madhara mengi namakubwa kwa jamii kufuatia kufungwa kwa mitaaa na pombe kuuuzwa nusu bei hivyo kuwa na matukio mengi mabaya.
2. Mchezo huu kuhusisha wanasiasa
3.kuepuka aibu ya kuvuta mkia tukienda afcon.
Karibu ueleze sababu zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakukumbusha tuMMH. KWA HILI NASIMAMA NA TAIFA LANGUView attachment 1051947
KILA LA KHERI TAIFA STARS. [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Wasi wasi wako tu Mtani.
AiseeeeeKwa Moyo mmoja Nipo Uganda, Uganda tuharibu zamu yao, na tuifanye zamu ya Lesotho.