Hahahahaaaaaaa!Kwa kukusaidia ni Yule jamaa anayetembea ametanua makwapa nahisi ndo captain
Hisia zinaniambia ule ni utembeaji unaosema, 'nani kama mimi hapa?'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaaaa!Kwa kukusaidia ni Yule jamaa anayetembea ametanua makwapa nahisi ndo captain
Huyo alikuwa anakata gogo muda wote wa mchezo kahadithiwa tuLaumu mabeki wako wa kati waliokuwa wanarudi nyuma badala ya kumzuia mfungaji.Hivi umetazama mpira wenyewe au umehadithiwa?
Manula hajawahi kunivutia huenda anatumia ushirikina ila sio kipa mzuri kuliko woteLeo nimeshuhudia mtanange baina ya Taifa Stars na Benin kupitia luninga. Kusema ukweli Taifa Stars wamecheza vizuri kuliko wapinzani wao aliyewaangusha ni kipa Manula.
Namshauri Kocha wa Taifa Stars kutafuta kipa mahiri badala ya Manula. Kipa gani anashindwa kudaka mpira uliopigwa mita 30 kama ya leo.
Wapo akina Kakolanya, Metacha, Mgore n.k. Kwa nini kila uchaguzi wa Taifa Stars kipa ni Manula?. Achaneni na Manula. Leo lawama lazima zimwendee kutokana na goli lililofungwa na Benin.
naona kwenye kiwango mmeshindwa mmeingia kwenye ushirikina. Utopolo mnawaza kuroga tu. Kama hana uwezo aliwezaje kuwa kipa bora kwa miaka 7. Wewe ni nani ikiwa CAF wanatambua Manula ni kipa boraManula hajawahi kunivutia huenda anatumia ushirikina ila sio kipa mzuri kuliko wote
Hana lolote atazidi kuzigharimu timu anazozidakia. Kipa bora hawezi kuwa anafungwa mabao ya aina ileile kila matchnaona kwenye kiwango mmeshindwa mmeingia kwenye ushirikina. Utopolo mnawaza kuroga tu. Kama hana uwezo aliwezaje kuwa kipa bora kwa miaka 7. Wewe ni nani ikiwa CAF wanatambua Manula ni kipa bora
Kama huyo bocco ni bure kabisa😂😂Kikubwa kuwaamini bocco na sammata watuache kidogo
Unazungumzia mechi ipi? Na walitoa goli ngapi kwa ngapiCongo ya wapi hiyo?
Simba alivyoenda alifungwa goli nyingi za mbali?
Simba alivyoenda alifungwa goli nyingi za vichwa na kona ,si mipira ya mbali.
Bahati mbaya sana kwenye benchi kipa namba mbili ni Kabwili 😁.... Huyo Manula kutunguliwa magoli ya mbali, ni kawaida yake.
Taifa anakosa penalty kaizer kakosa clear chance kama tatuUnazungumzia mechi ipi? Na walitoa goli ngapi kwa ngapi
Tabu tupuBahati mbaya sana kwenye benchi kipa namba mbili ni Kabwili 😁
😁😁
Kabwili... ule mpira uliopigwa kuwa goli ni kipa gani wa Tanzania angedaka?