Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Madagascar kamfunga congo 1 kwa 0
Tupeni matokeo ya gongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupeni matokeo ya gongo
Poa nduguMadagascar kamfunga congo 1 kwa 0
Pamoja mkuuPoa ndugu
Vipi leo tunasifia au tuendelee kuponda?Leo nimeshuhudia mtanange baina ya Taifa Stars na Benin kupitia luninga. Kusema ukweli Taifa Stars wamecheza vizuri kuliko wapinzani wao aliyewaangusha ni kipa Manula.
Namshauri Kocha wa Taifa Stars kutafuta kipa mahiri badala ya Manula. Kipa gani anashindwa kudaka mpira uliopigwa mita 30 kama ya leo.
Wapo akina Kakolanya, Metacha, Mgore n.k. Kwa nini kila uchaguzi wa Taifa Stars kipa ni Manula?. Achaneni na Manula. Leo lawama lazima zimwendee kutokana na goli lililofungwa na Benin.