Taifa Stars tafuteni kipa mahiri na siyo Manula

Huyo kipa wako kaishia wapi leo Manila kawaumbua utopolo maana mwamnyeto alikuwa uchochoro Manula alikuwa anamfichia makosa
 
Anza ww kumsaidia kocha umtaje

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua Dani Mgore Kwenye michuano ya CAF under 20 alifungwa goli mbili karibu kila mechi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…