Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huo uwanja unatua ndege nyingi kubwa tu.Wakati wanatoa taarifa ya kusafiri na hiyo ndege yetu pendwa walikuwa hawajui kama inaweza kutua kwenye huo uwanja?
Mwakyembe ameogopa kusema kuwa hili dege la kibisa ni hasara tupu kulipeleka huko imebidi atunge story za kipuuzi.