Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Routes
There are 192 flights on 28 different routes from Praia Nelson Mandela International Airport, connecting RAI to 27 different cities in 14 different countries. The most popular routes connect Praia
Aeroporto internacional da Praia Cabo Verde
Icelandair lands at Praia Nelson Mandela airport

wameona watapata hasara maana $2000 ni parefuu
 
Siku zote uwa natilia shaka uwezo wa Mwakyembe, ina maana mpaka anakuja kutapeli wa Tanzania hakujua kama dreamliner haiwezi kutua huko? Uwanja wa ndege wa Praia una urefu wa mita 2100. Dreamliner inahitaji uwanja wenye urefu mita 2600 ili iweze kuruka.
 
Cheki madege makubwa uwanja wa kimataifa wa Cape Verde kwa jina la Praia Nelson Mandela international airport (RAI) ikiwemo hili la shirika la ndege la Cape Verde, Cabo Verde Airlines. Uwanja wa kimataifa wa Cape Verde ulipanuliwa mwaka 2012 na kuwekewa vifaa vya kisasa kuhudumia ndege zote kubwa pamoja na ongezeko la abiria kutokana na kisiwa hicho kuwa kivutio kwa utalii wa kimataifa.
Zama hizi watu hawadanganyiki
 
October 9, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania – Taifa Stars kitaondoka usiku wa leo kuelekea mjini Praia, Cape Verde kwa ndege ya kukodi kuifuata timu ya taifa ya huko kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa michuano ya AFCON inayotarajiwa kufanyika mapema mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea kambi ya timu hiyo Waziri Mwakyembe amesema, mabadiliko ya safari hiyo kutoka Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa. Aidha Waziri Mwakyembe amewataka wachezaji wa Taifa stars wakacheze kwa kujituma ili kuibuka na ushindi katika mchezo huo huku akiwasihi watanzania kuiombea timu hiyo. Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia na Nahodha Msaidi wa Taifa Stars Himidi Mao wameelezea maandalizi ya mchezo huo.
Habari & Video kwa hisani kubwa ya:
Source: Global TV Online
Kwani kuna mtu humu aliamini kuwa io dreamliner itaenda uko? Nilijua tu wataleta sababu yeyote Kama hii.[emoji3575][emoji773].
 
Huo uwanja unatua ndege nyingi kubwa tu.

Mwakyembe ameogopa kusema kuwa hili dege la kibisa ni hasara tupu kulipeleka huko imebidi atunge story za kipuuzi.
Kwanini ameshindwa kuchagua sababu ingine nzuri, kama shida ni uwanja, kwanini bombadear isiwapeleke ili kuondoa dukuduku!
 
Sawa tuseme uwanja ni mdogo Dreamliner haiwezi tua vipi kwa Bombardier ?

Msharudishwa IATA kwanza au bado ndio maana mkapigwa pini kuruka kwenye nchi za watu ?

Hivi zile Boeing zinazotua Cape Verde huwa zinatua kwenye maji ? Dah huu uongo sasa umezidi
 
Waziri anadanganya mchana kweupeee,hawajui zama za teknolojia hizi?
Nyie inatakiwa mue waelewa hii ndege inatua kwenye viwanja vikubwa tu duniani vilivyopo Tanzania ambavyo ni mwz,klmanjaro,jnia na chato Kinakuja,hivyo ndio viwanja 4 vikubwa duniani ambako dreamliner yetu inatua.
 
Back
Top Bottom