Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

Daaaah hii umenikumbusha mbali sana mkuu sjui jamaa kapotelea wapi na yule dada waliimba nae anaitwa sjui nani mi nilikua namwita Fatma...jina lake lilikua linanishinda kutamka

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah anaitwa fatuma nimdogo wake hard mad ... hiyo ngoma ilikuwa ni club bang moja kuntu sana ... zig dee sijui alipotelea wapi
 
Yeah anaitwa fatuma nimdogo wake hard mad ... hiyo ngoma ilikuwa ni club bang moja kuntu sana ... zig dee sijui alipotelea wapi
Way Back mzee HardMad na goma lake la Tamala ilikuwa ikipigwa club ni shida sana, mkono wa Mika Mwamba kama sikosei
 
Beat moja matata kwenye ngoma ya Black Rhino inaitwa Mistari
 
[emoji447] [emoji444] Chama chetu cha mapinduzi cha jenga nchi...[emoji443] [emoji445] [emoji448]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…