Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,243
- 1,186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beat moja matata kwenye ngoma ya Black Rhino inaitwa Mistari
[emoji2841][emoji2841][emoji2841]Nini mnataka madhee - Pig black
Jumba bovu - Mc D
Tanzanite - Singeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hii ngoma kali asee....tunaojua music tumeitaja bila kujua kama ishatajwa[emoji2841][emoji2841][emoji2841]
"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
Ni kisanga hilo Beat. Kukimbizana nalo inahitaji pumzi sana watoto wa siku hizi beats zao nyepesi sana
Majani alikuwa mkali wao sikiliza ile ngoma ya Mtoto Idd ya juma nature. Jamaa anamkono wa kupiga Beats zisizofananaKwa list fupi hii anaonekana P funk ameongoza kwa utengenezaji beat ubora, mkono wake utakuja kushikwa na producer Abbah endapo ataendelea kuwa serious na kazi na akiacha utoto.
Ninayo aiseee.... Nikiwa nataka hype lazima niibonyezeHatari sana hiyo hit song mkuu ... ilikuwa ikipigwa club lazima mtafutane aisee
Daaah nilikataa MJ alifanya kazi ya maana sana... Kama alimpendelea Mr Blue hiviStella, loverboy - Chege
Nilikataa - kina tid
Angempendelea blue naye asingeenda nalo vizuri. Ila nyimbo za zamani nzuri jaman maproducer wa siku hizi wanakosea wapiDaaah nilikataa MJ alifanya kazi ya maana sana... Kama alimpendelea Mr Blue hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaha basi enzi hzo blue alikuwa anaflow kibishoo sanaa.....Angempendelea blue naye asingeenda nalo vizuri. Ila nyimbo za zamani nzuri jaman maproducer wa siku hizi wanakosea wapi
Blu style yake ilikua amazing kweli.Hahahhaha basi enzi hzo blue alikuwa anaflow kibishoo sanaa.....
Dj wa sku hizi wanakesha you tube, nigeria, na kusample sample sana.... Enzi za akina Majani au Mika Mwamba walikuwa wanakomaa na vifaa duni ila wanatoa bonge la supu.
Sent using Jamii Forums mobile app